Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina kazi ndugu yangu ni blaa blaa tuuHahahha unafanya kaz saa ngap
Mademu wenye vyura wanashawishi sana akivua lazima kitu kiinuke hata kama umechoka hafu ukute anayajua mapenzi utakoma
Starehe yangu Ni kufanya tafiti za Nguvu ya Mungu ambapo nina weka Madhabu yangu ndani na kufanya Sadaka ya kutezwa kama akina Abraham na huwa naonyeshwa kila ninachotaka kukiona kwenye macho kama vidoe vile.. hivyo hujisikia raha sana.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Football matter Na Traveling kwa Sana!
Starehe kubwa ni swala, hustling, kufanya mazoezi, kuogelea, kuji update, ku check series on spare time
Kujilaza nikichat aisee
Nasoma comments...
"Kugegeduanaa gegeduu" in diamond voice song baikoko[emoji94]
Unajua kusoma kweli mkuu?Acha kudanganya watu wewe... Sadaka ya kuteketeza mnyama Kwa njia ya kumuomba MUNGU inajibu haraka kuliko udhaniavyo, rejea sadaka ya Gidion baada ya MUNGU kumtokea kumpa kazi ya kuwakomboa wana Israel mikononi mwa wa Midian, rejea sadaka ya NUHU baada ya kutoka kwenye safina, tena hiyo inasema baada ya sadaka kuteketea ule Moshi ulipokua ukipanda juu, MUNGU akasikia vizuri ile harufu ya ule moshi wa sadaka, akashuka kumpa maagizo NUHU.
Unajua kusoma kweli mkuu?
Soma tena nilichoandika
Hakuna ukimwi siku hizi...mara ya mwisho kumuona mtu amepata maambukizi mapya ni lini? Wagonjwa wengi ni wale wale wa zamani😳😳😳😳Unakumbuka Kinga?
Ooh sawaHakuna ukimwi siku hizi...mara ya mwisho kumuona mtu amepata maambukizi mapya ni lini? Wagonjwa wengi ni wale wale wa zamani
Hakuna ukimwi siku hizi...mara ya mwisho kumuona mtu amepata maambukizi mapya ni lini? Wagonjwa wengi ni wale wale wa zamani