Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
😀😀😀 wewe hautokufaa eehUtakufa wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀 wewe hautokufaa eehUtakufa wewe
kinga ya COVID 19 au?[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Unakumbuka Kinga?
kutafuna vibinti vile virembo vinavyopenda kuandika sms za xaxa, ko, nk vinavyojifanya vinaenda na wakatiSalam Wakuu,
Starehe zangu kubwa ni Kula, kulala, kufanikisha ndoto zangu, family ikifurahi.
and last , kula watoto flan hiv walaini wenye shade
Hakuna raha kama kula mademu wenye ngongingo or Chura
Yellow fever.kinga ya COVID 19 au?
Kuendesha gari
Kusafiri( nataman hata maisha yangu yooote niwe nasafr tu, yan nisafir hata nmalize hii dunia nzma)
Kuskiza mziki[emoji7]
Kula kula( spend wali,na nyama ya ng'ombe)
Kulala [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]( nkatili vyooote lkn c kulala jaman, napenda kulala [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787])
Kwa sasa ni kusali sana na meditation
Kujifunza vitu vipya
dah tumefanana kwenye hili hakuna mkoa ambao sijaenda ndani ya TZ and this year kuanzia mwezi wa 10 naanza rasmi kutembea nje ya TZKusafiri nafurahi mnoooo, especially sehemu ambayo sijawahi fika hata kuwe mbwinde
dah tumefanana kwenye hili hakuna mkoa ambao sijaenda ndani ya TZ and this year kuanzia mwezi wa 10 naanza rasmi kutembea nje ya TZ
Hongera Sana,tuagane Basi ukiondoka😁dah tumefanana kwenye hili hakuna mkoa ambao sijaenda ndani ya TZ and this year kuanzia mwezi wa 10 naanza rasmi kutembea nje ya TZ
kama utakuwa na passport karbuHongera Sana,tuagane Basi ukiondoka😁
Kukata gogo, the best time of the day
Kuendesha gari
Kusafiri( nataman hata maisha yangu yooote niwe nasafr tu, yan nisafir hata nmalize hii dunia nzma)
Kuskiza mziki[emoji7]
Kula kula( spend wali,na nyama ya ng'ombe)
Kulala [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]( nkatili vyooote lkn c kulala jaman, napenda kulala [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787])