Ohoooooo.......Pombe na nyinyi
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13][emoji4][emoji38][emoji5][emoji4][emoji12]
Ushimen, hapa jamaa amezama kwa Mungu akifanya toba jmn
Haha. Hapana mkuu..Basi itakuwa punye etooo
Mapishi ya rafiki zangu wa kike.Kuonja onja nini?
Haaah hahh haa asante mkuu acha niwe napost nyng mkuustarehe yangu kubwa ni kusoma post za MSAGA SUMU yaani huwa naburudika kwelikweli
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Ushimen, hapa jamaa amezama kwa Mungu akifanya toba jmn
Kula mbege au maji ya tbs au dawascokula maji
Mhh!
Mbona unavyopenda vina utata utata
Na wanaweza kua wanapendana pia.Mnapenda vitu sawa
yote sichaguiKula mbege au maji ya tbs au dawasco
female or male?Sex Sex Sex Sex........
Basi karibu huku kuna maji ya kipumuyote sichagui