Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UsikaliliSio sifa , utapungukiwa nguvu za kiume
Uwezo wako wa kufikiri utafifia ,uchumi utayumba.
Sawa Mr KagameHujakosea, angalia usiishie kubambia.
Haya mambo tafuta pesa, yatakufuata wala hutayafuata. Kama unasoma jikunje haswaaa na uwe na malengo.
Starehe hazina mwisho na hakuna kuchelewa wala kutosheka. Chagua fungu jema, mengine yatakuja kijana
Mziki ulioshiba sio lazima uwasumbue majirani, inategemea nyumba yako iko je. Mimi napiga mziki wangu mzito kiasi lakini ukiwa kwenye uzio hausikiki, inategemea nyumba yako ilivyoInaonekana wewe ni mswahili sana eeh.
Mm binafsi napenda kusikiliza mziki wenye sauti ndogo kwa manufaa yangu bila kuwabugudhi wengine
Nilishawahi kujaribu
Ila ilibaki kidogo nijikate mtama aseee
Wala siwezi
Kweli kabisa mkuu mziki ulioshiba hauna makelele kama jamaa anavofikiriaMziki ulioshiba sio lazima uwasumbue majirani, inategemea nyumba yako iko je. Mimi napiga mziki wangu mzito kiasi lakini ukiwa kwenye uzio hausikiki, inategemea nyumba yako ilivyo
YaapMnapenda vitu sawa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sawa Mr Kagame
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wewe ni mkweli, kwa msisitizo umeiweka kwa avatar yakoNdumu na K
Wapi?
Hapana sijapanga wala siishi uswahiliniinategemea mkuu kama unaishi uswahilini na umepanga chumba huna budi kusikiliza kimziki kidogo.