Starehe za jiji la Dar es salaam linavyoshusha viwango vya wachezaji wa Simba na Yanga

Starehe za jiji la Dar es salaam linavyoshusha viwango vya wachezaji wa Simba na Yanga

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Hili jiji lisikie tu kwenye radio,ila Dar kuna starehe jamani,nimetembelea mikoa mingi nchini na nchi nyingi kidogo si haba,nyingine kwa kwenda phyisically nyingine kwa kusoma,kusikia,movies na mitandao .ila Dar bado ni kinara wa starehe,Jonas Mkude huwa anakula starehe mpaka anazima kesho yake anafungiwa,Chama kuna muda kiwango kilishuka kuja kufuatilia ni starehe za Tabata,
Obrey Chirwa,Amis Tambwe,Chama na wengine ukiwaambia warudi kwao watalia,Kapombe,Ngasa,Ajibu wanajua starehe zilizopo mjini hawawezi kuzipata hata Ibiza.n dio maana waligoma kucheza nje ya nchi
Ukiona mchezaji yupo Simba au Yanga na kiwango hakishuki mpe heshima yake,ujue ameamua kuzipa kisogo starehe za mjini,big up Shabalala na Aishi Manula.
Hawa wachezaji wanalipwa hela nyingi sana kuliko hata maafisa wa TRA stil wananunuliwa pombe na chawa wao na mademu wanaletewa.Mungu akupe nini tena .
Ukija kwenye Derby ya Simba na Yanga ndio usiseme wale first eleven hujiona kama wako mbinguni,nchi nzima inasimama kukuangalia,ikitokea ukafunga goli kwenye derby inabidi uzime simu maana utaishiwa chaji sms za mihamala ya M pesa,pongezi na mademu kujitongozesha...
Inataka moyo
 
Emmanuel Okwi alikuwa kila akisajiliwa nan timu za nje ya Tz lazima ataharibu arudi Simba.

Shangwe la uwanjani plus la nje la mashabiki plus kununuliwa vitu vya bure Kama mafuta ya petrol,bia za bure n.k huwafanya wachezaji wengi kutotaka kuondoka.

Morrison yupo Facebook akiomba apewe buku tu kwenye birthday yake! Na atapata tu.😁
 
Emmanuel Okwi alikuwa kila akisajiliwa nan timu za nje ya Tz lazima ataharibu arudi Simba.

Shangwe la uwanjani plus la nje la mashabiki plus kununuliwa vitu vya bure Kama mafuta ya petrol,bia za bure n.k huwafanya wachezaji wengi kutotaka kuondoka.

Morrison yupo Facebook akiomba apewe buku tu kwenye birthday yake! Na atapata tu.😁
Morison atarudi Yanga utaniambia,hawezi kuzitosa bata za mji huu
 
Acha vijana wale maisha. Maana ndiyo muda wao huu wa kufaidi.
 
Hili jiji lisikie tu kwenye radio,ila Dar kuna starehe jamani,nimetembelea mikoa mingi nchini na nchi nyingi kidogo si haba,nyingine kwa kwenda phyisically nyingine kwa kusoma,kusikia,movies na mitandao .ila Dar bado ni kinara wa starehe,Jonas Mkude huwa anakula starehe mpaka anazima kesho yake anafungiwa,Chama kuna muda kiwango kilishuka kuja kufuatilia ni starehe za Tabata,
Obrey Chirwa,Amis Tambwe,Chama na wengine ukiwaambia warudi kwao watalia,Kapombe,Ngasa,Ajibu wanajua starehe zilizopo mjini hawawezi kuzipata hata Ibiza.n dio maana waligoma kucheza nje ya nchi
Ukiona mchezaji yupo Simba au Yanga na kiwango hakishuki mpe heshima yake,ujue ameamua kuzipa kisogo starehe za mjini,big up Shabalala na Aishi Manula.
Hawa wachezaji wanalipwa hela nyingi sana kuliko hata maafisa wa TRA stil wananunuliwa pombe na chawa wao na mademu wanaletewa.Mungu akupe nini tena .
Ukija kwenye Derby ya Simba na Yanga ndio usiseme wale first eleven hujiona kama wako mbinguni,nchi nzima inasimama kukuangalia,ikitokea ukafunga goli kwenye derby inabidi uzime simu maana utaishiwa chaji sms za mihamala ya M pesa,pongezi na mademu kujitongozesha...
Inataka moyo
Kweli kbisa dar bwana kweli mpira lazima ushuke ukiendekeza hizi starehe za mujini. Totoz ndio usiseme.
 
Jamaa wanakula sana maisha
Utaachaje kula maisha wakati wee unacheza timu kubwa vimwana ndio kama hivyo wanajitupa tuu wapo radhi uwagegegde wakatambe mtaani kuwa umemgegeda. Alafu unajua wanawake wanawapenda wachezaji maana wanapiga mwendo mzeya kwenye kula mbususu
 
Si unaona kapombe anamlilia mama asther wa sinza?

Simba ndio wanaongoza kwa ulevi kwanzia wachezaji mpaka viongozi
 
Aliulizwa Chirwa tofauti ya Azam na Yanga ni nini?

Alijibu "Yanga ukiwa pale hutumii hela yako ya mshahara kwenye mavazi, chakula na mahitaji mengine.... kwasababu siku ukifunga goli, ukipita kkoo au sehemu yenye maduka unaweza kurudi na begi la nguo na viatu, zawadi za mashabiki au ukapewa hela nyingi tu bila kutarajia,au anaweza kuja boss anayekukubali(mwenye hela) akakupa laki 2 au 5.....ila hapa Azam fc mshahara wako tu na ukipita mtaani hakuna mwenye muda nawewe "
 
Back
Top Bottom