mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Hili jiji lisikie tu kwenye radio,ila Dar kuna starehe jamani,nimetembelea mikoa mingi nchini na nchi nyingi kidogo si haba,nyingine kwa kwenda phyisically nyingine kwa kusoma,kusikia,movies na mitandao .ila Dar bado ni kinara wa starehe,Jonas Mkude huwa anakula starehe mpaka anazima kesho yake anafungiwa,Chama kuna muda kiwango kilishuka kuja kufuatilia ni starehe za Tabata,
Obrey Chirwa,Amis Tambwe,Chama na wengine ukiwaambia warudi kwao watalia,Kapombe,Ngasa,Ajibu wanajua starehe zilizopo mjini hawawezi kuzipata hata Ibiza.n dio maana waligoma kucheza nje ya nchi
Ukiona mchezaji yupo Simba au Yanga na kiwango hakishuki mpe heshima yake,ujue ameamua kuzipa kisogo starehe za mjini,big up Shabalala na Aishi Manula.
Hawa wachezaji wanalipwa hela nyingi sana kuliko hata maafisa wa TRA stil wananunuliwa pombe na chawa wao na mademu wanaletewa.Mungu akupe nini tena .
Ukija kwenye Derby ya Simba na Yanga ndio usiseme wale first eleven hujiona kama wako mbinguni,nchi nzima inasimama kukuangalia,ikitokea ukafunga goli kwenye derby inabidi uzime simu maana utaishiwa chaji sms za mihamala ya M pesa,pongezi na mademu kujitongozesha...
Inataka moyo
Obrey Chirwa,Amis Tambwe,Chama na wengine ukiwaambia warudi kwao watalia,Kapombe,Ngasa,Ajibu wanajua starehe zilizopo mjini hawawezi kuzipata hata Ibiza.n dio maana waligoma kucheza nje ya nchi
Ukiona mchezaji yupo Simba au Yanga na kiwango hakishuki mpe heshima yake,ujue ameamua kuzipa kisogo starehe za mjini,big up Shabalala na Aishi Manula.
Hawa wachezaji wanalipwa hela nyingi sana kuliko hata maafisa wa TRA stil wananunuliwa pombe na chawa wao na mademu wanaletewa.Mungu akupe nini tena .
Ukija kwenye Derby ya Simba na Yanga ndio usiseme wale first eleven hujiona kama wako mbinguni,nchi nzima inasimama kukuangalia,ikitokea ukafunga goli kwenye derby inabidi uzime simu maana utaishiwa chaji sms za mihamala ya M pesa,pongezi na mademu kujitongozesha...
Inataka moyo