Starehe za jiji la Dar es salaam linavyoshusha viwango vya wachezaji wa Simba na Yanga

Pia bia unanunuliwa na demu mkali unatafutiwa๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Hii Bongo tuendelee kuwaheshimu kina Sammata maana mimi mtu wa kawaida tu pale DSM nimekula maisha pata picha hao wenye majina [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mie nadhan bongo wachezaji wetu hawajitambui kwa njia moja au nyingine

Sisi bado tupo amachure wao wapo professional
 
Hii inaitwa Cheap Popularity ukiiendekeza lazima uharibu career yako

Do it at your own risk
 
Huo mji siutaki ku usikia niliunguza mil 6 kwa sababu ya starehe kuja kustuka Sina kitu .
Kurudi mkoani ilibid nipande Fuso nilikaa kwa nyuma napigwa upepo huku nikiwapungia watu mkono kuiaga Dar .
Ahaaaa dah
 
Hii Bongo tuendelee kuwaheshimu kina Sammata maana mimi mtu wa kawaida tu pale DSM nimekula maisha pata picha hao wenye majina [emoji23][emoji23][emoji23]
Bata hazizoeleki ni vile tu hatuna hela
 
Mie nadhan bongo wachezaji wetu hawajitambui kwa njia moja au nyingine

Sisi bado tupo amachure wao wapo professional
Usiwalaumu,wengi ni wadogo kiumri na hawana management ya kuwaongoza,ulaya kuna wazazi waliamua kuwa ndio mameneja wa watoto wao.mbape ,neyma,ronaldinho ets
 
Mbona wakina Mbappe na Neymar wako Paris (The City Of Love) lakini hawashuki viwango?
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚sijui kafanya utafiti wake wapi Aisee,Mueleze atembee aache ushamba. Watu wako paris, pesa wanazo, umaarufu wanao na viwango havishuki
 
Na wakiendekeza huo ujinga watabaki Tz hapahapa hutawasikia kwenye ligi za maana duniani.
 
Washamba wa Paris viwango vinashuka,Neyma alitakiwa kuwa zaidi ya Messi ila ushamba wa starehe ndio huyo anakufa bila balondor,pia kule wana njia nyingi za kuwadhibiti wachezaji wao kuhusu nidhamu
Ingawa hata bata la kwao Brazil hasa mji wao mkuu Brazilia huaga sio la kitoto mkuu, labda Neyma wakati akiwa kwao hakua na HELA ndio maana hakuwahi ku enjoy.
Mleta UZi kanifungua macho, kumbe wachezaji kung'ang'ani kucheza Tanzania hasa Yanga na Simba hua sio mpira tu, kuna na starehe and this is why Chama karudi? Aiseee. Kumbe ni kweli kwamba Tanzania sio nchi masikini aise
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ