Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #181
Hapana aisee, bia siwezi kabisa.Kula bia kijana ng'ata papuchi sawa 😄
👉Kuhusu manzi, bado sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana aisee, bia siwezi kabisa.Kula bia kijana ng'ata papuchi sawa 😄
unafeli tafuta moja yenye mavi uwe unapeta peta weekend huku unacheza padiSina chick bro
Nope bro, Nina mengi ya kuzingatiaunafeli tafuta moja yenye mavi uwe unapeta peta weekend huku unacheza padi
Utatisha mkubwa, niorodheshee za Forensic mpyaPowaa💪💪💪, uki taka list nyingine sema.
And that's who I am🤒🤒, Mambo we mdada usiye penda pesa😂🙃U mean no Malice to nobody
Najua zako we ni mashangazi 😂😂Aiseee
Ukiwa tayari nambie🤒🤒Utatisha mkubwa, niorodheshee za Forensic mpya
Niko tayariUkiwa tayari nambie🤒🤒
🤣🤣🤣🤣Kama Kweli sipendi pesa NinyongweAnd that's who I am🤒🤒, Mambo we mdada usiye penda pesa😂🙃
SI zozote ambazo huja ona???, Au lazima Mwaka huu??Niko tayari
Jamani 😂😂😂, he acha niendelee kutafuta 🙃🤒🤒🤣🤣🤣🤣Kama Kweli sipendi pesa Ninyongwe
umesahau kumuandikia na dawa za UTIunafeli tafuta moja yenye mavi uwe unapeta peta weekend huku unacheza padi
Uzinzi ni hatari, mi sito uweza🤒🤒umesahau kumuandikia na dawa za UTI
sio style mbaya,kinachotakiwa ni kuwa game mpy mpya na series mbalimbali za kukuburudisha,pia anza kusoma vitabu kupitia app mbalimbaliDah kweli nime amini maisha Yana hitaji mengi.
[emoji117]Mwezi huu Umekuwa wa kiutofauti sana upande wangu, aisee niko bored kinyama.
Starehe zangu ni kula, kucheza game na kuangalia series.
[emoji117]Sinywi pombe, sivuti bangi na hata sio mtu wa viwanja.
Naona vitu ni vile vile, nothing seems new to me.
[emoji117]Watu wa style kama yangu, huwa mnaishije[emoji855]
View attachment 2783816
Vitabu ndo usiseme mkuu, kuanzia self dvpt, finance, novels za lugha ya maliia na hata kiswahilisio style mbaya,kinachotakiwa ni kuwa game mpy mpya na series mbalimbali za kukuburudisha,pia anza kusoma vitabu kupitia app mbalimbali