Starehe zangu ni kula, kucheza game na kuangalia series

Starehe zangu ni kula, kucheza game na kuangalia series

Hayo ndo Maisha huwa naishi since nasoma primary Uganda

Kula vizuri Sana
Kuvaa vizuri Sana hapa Mimi nikivaa vizuri huwa sitoki Wala kwenda popote

Kusoma vitabu
Kukaa mtandaoni

Faida zake
Huwezi pata magonjwa ya ngono yoyote

Unasave pesa na bajeti.

Unapata Muda Mwingi wa ku-dig knowledge.

Job-home hii ndo naishi baada yakuwa Mtu mzima

Ili kuwa smater hustler unabidi Kuwa na commitment cleanest lifestyle ikiwemo ku-Abstain short term gratification like Alcohol, Sex , weed, Cigarettes,

..✌️
UWABATA
 
Na kauli mbihu Ni 🤣🤣😆
FB_IMG_16973076517525546.jpg
 
Back
Top Bottom