dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
namalizia kitu hapa kisha narudidronedrake ya kweli haya😆🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
namalizia kitu hapa kisha narudidronedrake ya kweli haya😆🤣🤣
Nile bia, halafu nianze kuona dunia iko juu chini😆🤣🤣Kula bia wewe acha uoga
Ngoja umeme ukirudi niitafute niipate niicheki huku nikishushia tende zangu na maziwa maana leo usiku nina kazi na mke wanguScarlet heart ni 🔥🔥, sijui ka Mvaa Kobazi ana ijua🤣😆
Huku kwetu, wamesha chukua umeme Wao😆🤣🤣🤣Ngoja umeme ukirudi niitafute niipate niicheki huku nikishushia tende zangu na maziwa maana leo usiku nina kazi na mke wangu
Kaka wanatuona manyaniHuku kwetu, wamesha chukua umeme Wao😆🤣🤣🤣
😂namalizia kitu hapa kisha narudi
Acha uogaNile bia, halafu nianze kuona dunia iko juu chini😆🤣🤣
Nyeto fc😆🤣🤣namalizia kitu hapa kisha narudi
hapana kabisa, majuzi nili enda na mabroo- Nika ishia kunywa chupa 5 za maji😆🤣🤣.Acha uoga
Nime ipenda hii ya 🙏💪💪Ili kuwa smater hustler unabidi Kuwa na commitment cleanest lifestyle ikiwemo ku-Abstain short term gratification like Alcohol, Sex , weed, Cigarettes,
..✌️
Umesoma shule na kupata elimu zaidi ya elimu ya madrasat?Dah kweli nime amini maisha Yana hitaji mengi.
👉Mwezi huu Ume kuwa wa ki utofauti Sana upande wangu, aisee niko bored kinyama.
Starehe zangu ni kula, kucheza game na kuangalia series.
👉Sinywi pombe, sivuti bangi na hata sio mtu wa viwanja.
Naona vitu ni vile vile, nothing seems new to me.
👉Watu wa style Kama yangu, huwa mna ishije🤒
View attachment 2783816
Sija wahi kwenda shule mkuu, hata huko madrasat napa sikia tu🤒Umesoma shule na kupata elimu zaidi ya elimu ya madrasat?
Si Scarlett heart ya mkorea? Kama ni hiyo mashineScarlet heart ni 🔥🔥, sijui ka Mvaa Kobazi ana ijua🤣😆
Lazima ni kibongeDah kweli nime amini maisha Yana hitaji mengi.
[emoji117]Mwezi huu Ume kuwa wa ki utofauti Sana upande wangu, aisee niko bored kinyama.
Starehe zangu ni kula, kucheza game na kuangalia series.
[emoji117]Sinywi pombe, sivuti bangi na hata sio mtu wa viwanja.
Naona vitu ni vile vile, nothing seems new to me.
[emoji117]Watu wa style Kama yangu, huwa mna ishije[emoji855]
View attachment 2783816
Yupo vizuri (singular)Mko vzr
Yeah,hahahahaYupo vizuri (singular)