Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #61
Railat ndo uka enda na jumla😁🤣🤣Tunaishi hivyo hivyo kama wewe mkuu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Railat ndo uka enda na jumla😁🤣🤣Tunaishi hivyo hivyo kama wewe mkuu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sawa mkuuMkuu hizi siku 3, naona Kama watu walio Kwenye ndoa Wana faidi.
👉But muda bado mkuu🙏
Ko ni zero alcohol???, Kama vipi Nisije jaribu. Nika ishia kuuza bar ya watu😁🤣🤣Google 😂😂 spesheli kwa wasio tumia vilevi
Huyu hata akiwa nje, hatu ezi muokoa😁🤣🤣🤣😂😂😂😂 yuko floor gani?
Ya 2,3?
😂😂 sa hv nimetoka morogoro niko mji wa mapenzi kidogo demu wangu bado nko naeAcha bangi 🤣😁😁, we SI uko morogoro🤣😁😁😁.
👉 Vipi Dem wako uli mpata😁🤣
Kumbe kiswahili una jua🤣😁😁😂😂 sa hv nimetoka morogoro niko mji wa mapenzi kidogo demu wangu bado nko nae
Hiyo weekend una fanyaga ma nini 🤣😁, Kama sio season tu🤣Nina majukumu kiasi cha kwamba masaa 48 ya wkend hayanitoshi
Yaani wanaboa. Umeme wamekataa tangu asubuhi😢Nipo kigamboni beach kaka napoteza muda wamenizimia umeme nipo baharini nachezea maji hapa
Tuko same category aisee, sema sometimes una kosa ka vibe fulani 🤒.Kula , kuangalia series/movie/documentaries,kucheza game,kuangalia mpira weekend kama hamna mpira mimi hua naishi kwa tabu sana uzuri manzi yangu nae anapenda kunisapoti kuangalia mpira so mara nyingi tunatoka tunaenda sehemu kula na kuangalia mpira. Ila mambo ya kunywa sijui club na mimi haviendani kabisa
Tafuta mchuchu awe anakupa sapoti, sisi tusikua na marafiki wengi tunaishi kwa shida sana , unakaa mtaani watu hata hawakujuiTuko same category aisee, sema sometimes una kosa ka vibe fulani [emoji855].
[emoji117]Ume nizidi hapo kwa manzi tu[emoji38][emoji1787]
Kuna girl tuli Anza kuwa na feelings towards each other.Tafuta mchuchu awe anakupa sapoti, sisi tusikua na marafiki wengi tunaishi kwa shida sana , unakaa mtaani watu hata hawakujui
Sema maybe niki pata pure innocent,(if you know, what I mean)Tafuta mchuchu awe anakupa sapoti, sisi tusikua na marafiki wengi tunaishi kwa shida sana , unakaa mtaani watu hata hawakujui
Tafuta mmoja akikisha kama wewe sio muongeaji sana yeye anakua muongeaji (sio wale wa uswahili wanaopenda vishuhuri kila siku au wale wavaa vijora) hakikisha kuna vitu mnaendana kidogo. Mfano mimi sio muongeaji sana wala sipendi sana kuzoeana na watu ila manzi yangu yeye ni muongeaji, nilikua siwezi kuongea na simu hata kwa dakika 5 ila sasahivi tukiongea kwa simu tunatumia mpka masaa matatuSema maybe niki pata pure innocent,(if you know, what I mean)
Wewe faham tu bado hujakua, ukikua utajua tuuSamahani mkuu, kwani kukua mwisho wake ni lini🤔🤔.
Sija icheki kaka
Wanatuona manyani myYaani wanaboa. Umeme wamekataa tangu asubuhi😢