Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #21
Wame jua kuni adhibu😁🤣🤣Hahahaha hiyo title kibokoooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wame jua kuni adhibu😁🤣🤣Hahahaha hiyo title kibokoooo
Majukumu ninayo mkuu, sema muda mwingine una kuwa bored tu.Jitengenezee majukumu. Kama huwezi kuwa na familia sasa fuga hata mbwa utawaza cha kumlisha na itabidi ukitafute. Binadamu kukosa majukumu unakuwa na msongo wa mawazo na maisha ya huzuni.
Naipata kiasi, Kisha nafanya yaliyo muhimu kwangu.Kama pesa ushaipata basi tafuta rafiki wa kike aitumie ili usiwe bored
Mkuu niko extremely happy, but some times Kuna ka hali ka kuwa boredkuna watu wanaishi kama wewe na wana furahi sana, ukiona kitu hakikuridhishi ujue hakikufai, chukua hatua, ni juu yako
nimemaliza
Kama una majukumu tayari basi badilisha mfumo wako wa kupumzika. Badala ya kutazama movie fanya kitu kingine mfano kumtoa binti wa jirani aliye 18+ dinner mkaongea mawili matatu, kumtembelea rafiki yako kwake, kujifunza kitu kipya mfano lugha.Majukumu ninayo mkuu, sema muda mwingine una kuwa bored tu.
Nita jaribu, ila Nita ishia kuongea nae tu.Kama una majukumu tayari basi badilisha mfumo wako wa kupumzika. Badala ya kutazama movie fanya kitu kingine mfano kumtoa binti wa jirani aliye 18+ dinner mkaongea mawili matatu.
Title ya mwanzoni ilikua ipi mzee wa kula, kucheza game na kuangalia series😂Wame jua kuni adhibu😁🤣🤣
Thanks mkuu, Nita jaribu hi🙏🙏.Going somewhere during evening ndo mpango mzima kwakweli. Unaenda unakaa sehemu,unakunywa kongolo na ndizi 2 saaafi kabisa.Unakutana na watu wapya then unarudi home unalala. Si lazima unywe pia
Ni Mimi tu, au Kuna wengine pia mko hivi 🤒Title ya mwanzoni ilikua ipi mzee wa kula, kucheza game na kuangalia series😂
Nipo kigamboni beach kaka napoteza muda wamenizimia umeme nipo baharini nachezea maji hapaBro Charles kilian Kuna vibe gani??, Maana series Zina chosha
Dah mlioko mjini mna Raha, niko nanjilinjii nasubiri wakate umeme Wao🤣😁Nipo kigamboni beach kaka napoteza muda wamenizimia umeme nipo baharini nachezea maji hapa
Unaweza ongea nae pia. Lengo si lazima kufanya ngono, unaweza tafuta binti ambaye anakuheshimu ukamtoa outing ukamsikiliza mawazo yake, ukamshauri, mkapiga story mbili tatu ukimpenda ukamtaka ukamtongoza si dhambi pia.Nita jaribu, ila Nita ishia kuongea nae tu.
👉Maana lawama za ukoo, sizi taki🤒
😂😂😂Una umri gani mkuu? Fanya uoe update majukumu
🤣🤣Huku hakuna raha kaka tunakatiwa umeme hadi kero tunabaki kupoteza muda beachDah mlioko mjini man Raha, niko nanjilinjii nasubiri wakate umeme Wao🤣😁
We SI team mvinyo🤣😁😁, mi naangalia movie, kula kwa Sana, ime Isha hiyo🤣😁😁.08-1700 job…
Mf hapa ndio narudi home.. nikifika naoga nachill kwa Tv + niangalie nakula nini/ nalala.
Wkend.. siborekagi aisee 😂
Tena naonaga hainitoshi..
Una nicheka 🤔🤔, Akati ni wale wale😁🤣🤣