mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
cheki ulivyomuoga unadivert argument🤣Alie sema tuta chomwa nani 🤔😆🤣
dah, enewei tuishi tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
cheki ulivyomuoga unadivert argument🤣Alie sema tuta chomwa nani 🤔😆🤣
Dogo mi dini yangu ni upendo na amani🤒cheki ulivyomuoga unadivert argument🤣
dah, enewei tuishi tu
Poa brother vp haliFabian Vitus niaje dogo🤒
Ni lugha gani nzuri kujifunza kwa hii dunia achana na kichina? Maana boss wetu anatusihi tujifunze kifaransa Ila najihisi nimezeeka kujifunza lugha mpya?Kama una majukumu tayari basi badilisha mfumo wako wa kupumzika. Badala ya kutazama movie fanya kitu kingine mfano kumtoa binti wa jirani aliye 18+ dinner mkaongea mawili matatu, kumtembelea rafiki yako kwake, kujifunza kitu kipya mfano lugha.
Mambo ni mengi mda wa kuishi mchache huwezi yamaliza.
Kijapan mkuu😆🤣Ni lugha gani nzuri kujifunza kwa hii dunia achana na kichina? Maana boss wetu anatusihi tujifunze kifaransa Ila najihisi nimezeeka kujifunza lugha mpya?
If you are serious, basi french ni lugha nyepesi na nzuri mkuuNi lugha gani nzuri kujifunza kwa hii dunia achana na kichina? Maana boss wetu anatusihi tujifunze kifaransa Ila najihisi nimezeeka kujifunza lugha mpya?
Ngoja nianze kujifunza hii lugha taratibuIf you are serious, basi french ni lugha nyepesi na nzuri mkuu
I got no time or energy, to prove anything about my life to a random stranger.Wewe bado haujaanza kuishi. Na nina uhakika either ni student au ni muongo, attention seeker anayetafuta kurelate, na nina uhakika ni under 22 kama zaidi ya hapo basi relatively lazima utakuwa huna akili. Sasa subiri uanze kuishi, then utagundua life sio fair na usipokuwa mjanja utageuzwa doormat na utapigika mpaka utaona game na movie ni upumbavu. And the fact kwamba ndani ya mwaka tu tayari una posts 15,500, means approximately una post comments 36 per day on average. Hiyo ni evidence tosha kwamba hauna majukumu wala haujaanza kuishi na mimi nipo sahihi.
Prome me wrong dogo.
Nzuri mkuu, Anza kujifunza zile basic words, Kama tulivyo na this, and, at.Ngoja nianze kujifunza hii lugha taratibu
Mbona schedule kama yangu mzee...Dah kweli nime amini maisha Yana hitaji mengi.
👉Mwezi huu Umekuwa wa kiutofauti sana upande wangu, aisee niko bored kinyama.
Starehe zangu ni kula, kucheza game na kuangalia series.
👉Sinywi pombe, sivuti bangi na hata sio mtu wa viwanja.
Naona vitu ni vile vile, nothing seems new to me.
👉Watu wa style kama yangu, huwa mnaishije🤒
View attachment 2783816
pande hizi sisi Huku ni vere tu🤒Oyaa Intel....huku ni mukidee fulu shangwe
Tuko wengi Sana, Kuna mzee namjua ana schedule Kama hii.Mbona schedule kama yangu mzee...
Naelekea kucheki series ya scarlet heart- Korea.Mageton apa nimechoka kuchek movie nkaingia humu kucheki wana mnasemaje na pia kupata new things
Oh...niko German... FrankfurtNaelekea kucheki series ya scarlet heart- Korea.
👉Pande zipi??, SI ulisema hauko bongo??