Starehe zangu ni kula, kucheza game na kuangalia series

Ni lugha gani nzuri kujifunza kwa hii dunia achana na kichina? Maana boss wetu anatusihi tujifunze kifaransa Ila najihisi nimezeeka kujifunza lugha mpya?
 
Wewe bado haujaanza kuishi. Na nina uhakika either ni student au ni muongo, attention seeker anayetafuta kurelate, na nina uhakika ni under 22 kama zaidi ya hapo basi relatively lazima utakuwa huna akili. Sasa subiri uanze kuishi, then utagundua life sio fair na usipokuwa mjanja utageuzwa doormat na utapigika mpaka utaona game na movie ni upumbavu. And the fact kwamba ndani ya mwaka tu tayari una posts 15,500, means approximately una post comments 36 per day on average. Hiyo ni evidence tosha kwamba hauna majukumu wala haujaanza kuishi na mimi nipo sahihi.

Prome me wrong dogo.
 
I got no time or energy, to prove anything about my life to a random stranger.
 
Mbona schedule kama yangu mzee...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…