Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
-
- #581
Nili peleka pc kwa fundi, aka ua kioo usiku siku lala ππ€£.Mie nilangushaga PC nilikuwa kwenye bodaboda nafika home kuwasha haiwaki nililia kama mtoto halafu mzigo ulikuwa mpya nimetoka nao kariakoo nililia sana ππ
ππ€£ππ Huyo fundi muhuni sanaπ€£ππNili peleka pc kwa fundi, aka ua kioo usiku siku lala ππ€£.
πJapo ali ni compeeate kioo chenye damage kidogoπ€£
HeheeeeKa shangazi tayana πππ
Sijawahi kupotea, napatikana kwenye Uzi wa vituko karibu.Uli potea mwana selfika π
Mkuu hii nzuri ila kwa kuwa ni movie wacha tu nitaenda library moja hivi ya mwanangu nikanyonye...Mkuu tumia hizi software kurudisha data zako zote zilizofutika ila unalipia 24usd yaani dollar 24 Download Recuva | Recover deleted files, free!
[URL unπfurl="true"]https://www.easeus.com/datarecoverywizard/free-data-recovery-software.htm[/URL]
Nakazia three timesMwanaume na gheto lake lenye godoro na Tv pekee ataishi maisha ya amani sana hadi pale atakapoanza kuyafuata matatizo ndo utaona room yake ina makorokoro kibao.
Nishampanga mshakaji nitaenda tu kuchukua siku nikipata muda...Zinarudi hizo kaka hadi file zako za mwaka juzi zinarudi ukitumia hizo software nilizo weka link
Asante sana kakaπ π ππPolee kaka πππ€£π
48000/= tshDola 24 nikienda Library naludi Pc ipo fullπ
Hapa niende tu Library π48000/= tsh
π π π π πNingekosa option nyingine ningefanya hii niliyopewa. Sio ubahili kakaπHuyo ni bahili mnoπ€£ππ€
Ipo vizuri...No hata kama haja backup zinarudi si zipo kwenye local c akilipia tu mzigo wake unarudi
Sana kakaIpo vizuri...
Kaka Kama una external kubwa, itume kwangu nikupe mzigo nilio nao.Hapa niende tu Library π
Ziwe hazija tafasiriwa Sasaπ€£π, halafu pc yako Ina storage ukubwa upiπ€£.Dola 24 nikienda Library naludi Pc ipo fullπ
kwani vina miaka π€£πππ, nasikia mwisho 35Heheeee
Nicheke mie
Hivi kuwa shangazi Kuna anzia miaka mingapi?π€π
Nisije nikawa nimepitilizaππ
Nita wastua na wazazi wako usijaliukifika kwenyestarehe yakupakuliwa nistue
Heeeeππkwani vina miaka π€£πππ, nasikia mwisho 35
We mwenyewe uko 28, so ni katoto π€£πππππHeeeeππ