Starehe zote za hii dunia ni ubatili na hasara tu

Starehe zote za hii dunia ni ubatili na hasara tu

Usitutegee mkuu,zipo nyingi sana,tuendelee kuzipelekea moto


Unashindana na ulipotoka Mkuu, ardhi aipatii maumivu hata kidogo ila anaepata maumivu ni yule anaichimba ardhi


MWANAMKE ni ardhi, MWANAUME ni mchimbaji


Usipapelekee moto mahali ulipotoka, unaungua mwenyewe pole pole na baada ya muda mfupi hutaisha na kupuputika kabisa kiroho na kimwili
 
Umenikumbusha jamaa mmoja yeye alikuwa anatembea na wanawake tofauti wa kila rika ila wake za watu ndo walikuwa wengi na alikuwa anahakikisha anapiga nao selfie.

Kwenye simu alikuwa na picha zaidi ya 200 na zote kabigia akiwa guest house tofauti.

Majuto aliyokuwa nayo ni mengi kuliko furaha. Naungana na wewe Mke mmoja anatosha sana.


Majuto gani kwa Mfano, ungetaja ili watu tujifunze madhara ya ngono
 
sasa unasema starehe zote duniani, wakati unaongelea wanawake tu! jaribu kuwa serious kidogo kaka.

kuna msemo unasema "starehe ya masikini ni ngono"
 
Weka picha za hao wananawake kwanza, unaweza ukawa unapiga mizigo mibovu lazima uje kulalamika
 
Kautofauti kapo kakubwa tu sema labda hukua makini
 
Unachokiongea ni sawa na mtu anaesema "majumba na magari MAZURI ni vitu vya kupita"
 
Hadi yatukute. Pesa utoe (lodge), usafiri ulipe, posho umpe, chakula na mazaga mule, jasho likutoke, uchi wa "ke" Bado uko vile vile, dadeki... sometimes unaweza hisi hakuna jahanamu Wala Nini, moto wetu ni huu wa dunia...hebu tutulie aisee.
 
Mwalimu alitwambia tusome tupate kazi tutakuwa na uwezo wa kubadili wanawake tutakavyo, huu ulikuwa ushauri wa hovyo sana na ndio ulinichochea kuwa na notebook kuorodhesha wote.
Umenikumbusha mbali mkuu, tukiwa chuo mwaka mwaka 3 wakumaliza kuna lecture mmoja tuliyekuwa tunamkubali sana alitwambia tukiwa class you guys whatch out msije mkamaliza chuo hapa hujapata mchumba, hiyo kauli ilinihamasisha sana.
 
Tangu January 2011 mpaka june 2024 nimetembea na wanawake 574 toka ndani na nje ya nchi yetu. Nimetumia zaidi ya milioni 28.3 kutekeleza uovu huu kwa kuhonga na kulipia gharama mbalimbali ili kujionea raha ya ngono.

Nilichobaini ni kuwa tofauti ya wanawake ni ma housing na miguno tu.

Ushauri: Ngono inaweza kukupotezea fedha, furaha, uhuru na ubinadamu.

Ukitaka ngono, oa mke 1 tu, anatosha, mengine ni ubatili na kujilisha upepo.
13yrs x 365days = 4,745 days
Tshs 28,300.000 ÷ 574 women = Tshs 49.303/= per game
4,745 days ÷ 574 games = 8days interval
 
Back
Top Bottom