Starehe zote za hii dunia ni ubatili na hasara tu

Usitutegee mkuu,zipo nyingi sana,tuendelee kuzipelekea moto


Unashindana na ulipotoka Mkuu, ardhi aipatii maumivu hata kidogo ila anaepata maumivu ni yule anaichimba ardhi


MWANAMKE ni ardhi, MWANAUME ni mchimbaji


Usipapelekee moto mahali ulipotoka, unaungua mwenyewe pole pole na baada ya muda mfupi hutaisha na kupuputika kabisa kiroho na kimwili
 


Majuto gani kwa Mfano, ungetaja ili watu tujifunze madhara ya ngono
 
sasa unasema starehe zote duniani, wakati unaongelea wanawake tu! jaribu kuwa serious kidogo kaka.

kuna msemo unasema "starehe ya masikini ni ngono"
 
Weka picha za hao wananawake kwanza, unaweza ukawa unapiga mizigo mibovu lazima uje kulalamika
 
Kautofauti kapo kakubwa tu sema labda hukua makini
 
hiyo namba umekula watz tupu? kama hivyo hufai kitu.
 
Unachokiongea ni sawa na mtu anaesema "majumba na magari MAZURI ni vitu vya kupita"
 
Hadi yatukute. Pesa utoe (lodge), usafiri ulipe, posho umpe, chakula na mazaga mule, jasho likutoke, uchi wa "ke" Bado uko vile vile, dadeki... sometimes unaweza hisi hakuna jahanamu Wala Nini, moto wetu ni huu wa dunia...hebu tutulie aisee.
 
Mwalimu alitwambia tusome tupate kazi tutakuwa na uwezo wa kubadili wanawake tutakavyo, huu ulikuwa ushauri wa hovyo sana na ndio ulinichochea kuwa na notebook kuorodhesha wote.
Umenikumbusha mbali mkuu, tukiwa chuo mwaka mwaka 3 wakumaliza kuna lecture mmoja tuliyekuwa tunamkubali sana alitwambia tukiwa class you guys whatch out msije mkamaliza chuo hapa hujapata mchumba, hiyo kauli ilinihamasisha sana.
 
13yrs x 365days = 4,745 days
Tshs 28,300.000 ÷ 574 women = Tshs 49.303/= per game
4,745 days ÷ 574 games = 8days interval
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…