Stars iliyolipwa posho zote na Rais Samia imefungwa, Tujipange zaidi

Stars iliyolipwa posho zote na Rais Samia imefungwa, Tujipange zaidi

Anna Nkya

Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
69
Reaction score
341
Cousin yangu anayechezea timu ya Taifa, alinieleza kwamba juzi baada ya kutembelewa na Waziri Mkuu, walilipwa posho zao zote ikiwemo malimbikizo ya nyuma.

Posho ambazo walikuwa hawajalipwa zilikuwa zinashusha Morali kwenye kambi, lakini Waziri Mkuu aliyeagizwa na Rais Samia Suluhu kuitembelea timu hiyo, alifahamu jambo hilo akalitatua.

Stars imetendewa haki na Serikali ya Rais Samia, ikiwa ni moja kati ya mipango yake ya kuzisaidia timu zote za Taifa (Rejea hatua alizochukua tangu aingie madarakani katika kuendeleza michezo ikiwemo Kuhuisha Mfuko wa Taifa wa michezo, kuanza ujenzi wa viwanja, kuondoa kodi kwenye nyasi bandia na hatua nyingine njema)

Matokeo ya leo yanahusu mpira wenyewe, Tumezidiwa wa DRC.

HATA HIVYO : Tuna safari ndefu bado. Tujenge timu zetu za Taifa.

WhatsApp Image 2021-11-09 at 7.05.08 PM(1).jpeg
 
Wale wazee wote kwenye ile timu wastaafishwe kwa manufaa ya umma, nasisitiza wazee wote, hata hayo majina yanayotokea ulaya yote hayana maana, watafutwe vijana wapya toka timu za ndani.
 
Taifa legelege huza timu legelege.
Mazoezi ni kitu muhimu hasa kwa sisi tulionyuma kimpira wenzetu wakiwa na wastani wa masaa 6 sisi tuwe na masaa 7 .
Stamina ni muhimu kwenye mchezo.
 
Cousin yangu anayechezea timu ya Taifa, alinieleza kwamba juzi baada ya kutembelewa na Waziri Mkuu, walilipwa posho zao zote ikiwemo malimbikizo ya nyuma.

Posho ambazo walikuwa hawajalipwa zilikuwa zinashusha Morali kwenye kambi, lakini Waziri Mkuu aliyeagizwa na Rais Samia Suluhu kuitembelea timu hiyo, alifahamu jambo hilo akalitatua.

Stars imetendewa haki na Serikali ya Rais Samia, ikiwa ni moja kati ya mipango yake ya kuzisaidia timu zote za Taifa (Rejea hatua alizochukua tangu aingie madarakani katika kuendeleza michezo ikiwemo Kuhuisha Mfuko wa Taifa wa michezo, kuanza ujenzi wa viwanja, kuondoa kodi kwenye nyasi bandia na hatua nyingine njema)

Matokeo ya leo yanahusu mpira wenyewe, Tumezidiwa wa DRC.

HATA HIVYO : Tuna safari ndefu bado. Tujenge timu zetu za Taifa.

View attachment 2007208
Oneni aibu,viwanja vipi vinajengwa au kiwanja kipi kimejengwa,huyu bibi ni laana kwa Taifa,unajua matokeo ya timu ya taifa ya netball,inashika mkia,kila kitu bibi anadhani nikumwaga hela,wajanja wanazipiga tu
 
Utaya fungaje yale mandude kwa mfano? Tusimlaumu kocha wala wachezaji wamefanya kadiri ya uwezo wao. Hivi dula mbabe anaweza kupigana na tyson fury? Au antony Joshua? Yele ni ma supper heavy duty extra sawa na magoliati
🤣
🤣 🤣
 
Mpira ni maandalizi kuanzia chini

Huu usimba na yanga unaaribu sana soka

Ova
 
Cousin yangu anayechezea timu ya Taifa, alinieleza kwamba juzi baada ya kutembelewa na Waziri Mkuu, walilipwa posho zao zote ikiwemo malimbikizo ya nyuma.

Posho ambazo walikuwa hawajalipwa zilikuwa zinashusha Morali kwenye kambi, lakini Waziri Mkuu aliyeagizwa na Rais Samia Suluhu kuitembelea timu hiyo, alifahamu jambo hilo akalitatua.

Stars imetendewa haki na Serikali ya Rais Samia, ikiwa ni moja kati ya mipango yake ya kuzisaidia timu zote za Taifa (Rejea hatua alizochukua tangu aingie madarakani katika kuendeleza michezo ikiwemo Kuhuisha Mfuko wa Taifa wa michezo, kuanza ujenzi wa viwanja, kuondoa kodi kwenye nyasi bandia na hatua nyingine njema)

Matokeo ya leo yanahusu mpira wenyewe, Tumezidiwa wa DRC.

HATA HIVYO : Tuna safari ndefu bado. Tujenge timu zetu za Taifa.

View attachment 2007208
It was too late. Posho zinatakiwa kulipwa kwa wakati kuna chombo maalum kinachossimamia timu za taifa siyo mpaka president aingilie kati. Hata hivyo posho zisingeweza kubadili chochote kwa mchezo wa leo. Tulizidiwa mbinu na ujuzi. Mi nashauri kuwepo na mipango ya muda mrefu ya kutengeneza na kukuza national team yenye malengo ya hakika siyo kubahatisha
 
Cousin yangu anayechezea timu ya Taifa, alinieleza kwamba juzi baada ya kutembelewa na Waziri Mkuu, walilipwa posho zao zote ikiwemo malimbikizo ya nyuma.

Posho ambazo walikuwa hawajalipwa zilikuwa zinashusha Morali kwenye kambi, lakini Waziri Mkuu aliyeagizwa na Rais Samia Suluhu kuitembelea timu hiyo, alifahamu jambo hilo akalitatua.

Stars imetendewa haki na Serikali ya Rais Samia, ikiwa ni moja kati ya mipango yake ya kuzisaidia timu zote za Taifa (Rejea hatua alizochukua tangu aingie madarakani katika kuendeleza michezo ikiwemo Kuhuisha Mfuko wa Taifa wa michezo, kuanza ujenzi wa viwanja, kuondoa kodi kwenye nyasi bandia na hatua nyingine njema)

Matokeo ya leo yanahusu mpira wenyewe, Tumezidiwa wa DRC.

HATA HIVYO : Tuna safari ndefu bado. Tujenge timu zetu za Taifa.

View attachment 2007208
Posho huinua morali haiinui kiwango kidogo cha soka tulichonacho. DRC ni ya 28 kwa mujibu wa FIFA, na Tanzania ni ya 130, unaweza ukaiona tofauti kati ya hizi nchi kiuwezo uwanjani.
 
Hahaaa watu wakale wapi team imejaa wageni tu tz hakuna mpira wacha wale hela ya rais ilikuwa haina kazi
Pic%20Layer_20211111131418277.jpg
 
Utaya fungaje yale mandude kwa mfano? Tusimlaumu kocha wala wachezaji wamefanya kadiri ya uwezo wao. Hivi dula mbabe anaweza kupigana na tyson fury? Au antony Joshua? Yele ni ma supper heavy duty extra sawa na magoliati
Hahahaaaaaa magoliati!!!
 
CCM wana nuksi, walivyoweka mkono wao tu sisi tukajua kipigo na mbwa mwizi kinafuata.

Mambo ya michezo hayataki siasa, CCM wana usafi gani kuipa baraka Taifa stars kama si kuipaka nuksi.
 
Timu za wenzetu ndio huwa wanafanya hivi?
 
Jamani nauliza tu , Je walipewe booster? Walipata Jani?
Kama hawakupata tusilaumu
 
Back
Top Bottom