Anna Nkya
Member
- Oct 21, 2021
- 69
- 341
Cousin yangu anayechezea timu ya Taifa, alinieleza kwamba juzi baada ya kutembelewa na Waziri Mkuu, walilipwa posho zao zote ikiwemo malimbikizo ya nyuma.
Posho ambazo walikuwa hawajalipwa zilikuwa zinashusha Morali kwenye kambi, lakini Waziri Mkuu aliyeagizwa na Rais Samia Suluhu kuitembelea timu hiyo, alifahamu jambo hilo akalitatua.
Stars imetendewa haki na Serikali ya Rais Samia, ikiwa ni moja kati ya mipango yake ya kuzisaidia timu zote za Taifa (Rejea hatua alizochukua tangu aingie madarakani katika kuendeleza michezo ikiwemo Kuhuisha Mfuko wa Taifa wa michezo, kuanza ujenzi wa viwanja, kuondoa kodi kwenye nyasi bandia na hatua nyingine njema)
Matokeo ya leo yanahusu mpira wenyewe, Tumezidiwa wa DRC.
HATA HIVYO : Tuna safari ndefu bado. Tujenge timu zetu za Taifa.
Posho ambazo walikuwa hawajalipwa zilikuwa zinashusha Morali kwenye kambi, lakini Waziri Mkuu aliyeagizwa na Rais Samia Suluhu kuitembelea timu hiyo, alifahamu jambo hilo akalitatua.
Stars imetendewa haki na Serikali ya Rais Samia, ikiwa ni moja kati ya mipango yake ya kuzisaidia timu zote za Taifa (Rejea hatua alizochukua tangu aingie madarakani katika kuendeleza michezo ikiwemo Kuhuisha Mfuko wa Taifa wa michezo, kuanza ujenzi wa viwanja, kuondoa kodi kwenye nyasi bandia na hatua nyingine njema)
Matokeo ya leo yanahusu mpira wenyewe, Tumezidiwa wa DRC.
HATA HIVYO : Tuna safari ndefu bado. Tujenge timu zetu za Taifa.