Zion Train
JF-Expert Member
- Jun 5, 2008
- 501
- 78
kocha ovyoooooooooooooooooooooooo unatoa mshambuliaji unaingiza mshambuliaji wakati tunatakiwa tushinde, huyo aende huko huko kwao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
angeingiza beki ili tushinde au kiungo? mi nazani washambuliaji ndo wanafunga. au siyo?kocha ovyoooooooooooooooooooooooo unatoa mshambuliaji unaingiza mshambuliaji wakati tunatakiwa tushinde, huyo aende huko huko kwao
angeingiza beki ili tushinde au kiungo? mi nazani washambuliaji ndo wanafunga. au siyo?
wameanza na K. BADALLA, k maana yake Kassim, ila hilo lingine , labda ndo analolitumia kwenye cheti, bongo hiiNaona 2-1 ila Mfungaji wetu TV zao wanakosea wanaandika Badalla ndio mfungaji wetu ndio nani huyo? lazima wapigwe fine kwa kukosea. hawa tutawanyamazisha Dk ya 92 leo tutalia wote uwanjani.
ok, umesomekaangetoa beki aingize mshambuliaje mwingine
pole ndugu yangu, Yanga nayo ni timu basiushabiki na upenzi kwa taifa starz sasa basi hii ndo match ya mwisho...bado dar young african na arsenal..kila cku mipresha ya nini..kama ni huo mmh siyo hizi.