Stars vs Moroco in JF

Stars vs Moroco in JF

kocha ovyoooooooooooooooooooooooo unatoa mshambuliaji unaingiza mshambuliaji wakati tunatakiwa tushinde, huyo aende huko huko kwao
 
dakika ya 81 bado 2 - 1
Morocco wanatawala mchezo.., stars kama watazamaji wanakimbiza vivuli
 
kocha ovyoooooooooooooooooooooooo unatoa mshambuliaji unaingiza mshambuliaji wakati tunatakiwa tushinde, huyo aende huko huko kwao
angeingiza beki ili tushinde au kiungo? mi nazani washambuliaji ndo wanafunga. au siyo?
 
We going to win,we a tzs.we can do it.we lov ur nchi.
 
Hakuna cha kutafuta visingizio, hawa jamaa wametushinda mpira, naona hata hizi 2-1 tumejitahidi.
 
Naona 2-1 ila Mfungaji wetu TV zao wanakosea wanaandika Badalla ndio mfungaji wetu ndio nani huyo? lazima wapigwe fine kwa kukosea. hawa tutawanyamazisha Dk ya 92 leo tutalia wote uwanjani.
wameanza na K. BADALLA, k maana yake Kassim, ila hilo lingine , labda ndo analolitumia kwenye cheti, bongo hii
 
ushabiki na upenzi kwa taifa starz sasa basi hii ndo match ya mwisho...bado dar young african na arsenal..kila cku mipresha ya nini..kama ni huo mmh siyo hizi.
 
Tutabuluza mkia kwenye kundi letu, hawa MOROCCO watakuwa wa kwanza kwenye kundi letu
 
ushabiki na upenzi kwa taifa starz sasa basi hii ndo match ya mwisho...bado dar young african na arsenal..kila cku mipresha ya nini..kama ni huo mmh siyo hizi.
pole ndugu yangu, Yanga nayo ni timu basi
 
Back
Top Bottom