Kiongozi, kuna mambo huwa tunawalaumu hawa service providers kwa 'ignorance' yetu. Baada ya wewe kuunga kifurushi then kikaisha baada ya nusu mwezi uslichukua hatua gani?
Sasa fanya hivi, Inawezekana kabisa hata hujui upo kifurushi gani, Inawezekana unaweka bundle la 'nyota' kumbe umejiunga bundle la 'mambo'. Dial *150*63# ili ujuwe upo kifurushi gani, then baada ya hapo unaweza kuhama kifurushi kimoja kwenda kingine bila tatizo na ukatumia pesa yako hadi mwisho wa mwezi.
Unaweza; Kuangalia salio na aina ya kifurushi, Kubadilisha kifurushi hnachohitaji etc.
Tusiwaite wezi kwa kuwa tu tupo ignorant na hatutaki kujifunza. Dial 0764 700 800 wakusaidie.
CC
StarTimes Tanzania.