Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

Wadau,

Kuna siku linisikia kwa watu kuwa startimes wao siku 30 hazifiki wanakuwa wanakata, mimi nikaona kama stori tu, nikidhani kuwa system inakuwa automatic, so ikifika siku 30 inakata yenyewe. Kumbe wamekuwa wakifanya ivyo kama utamaduni wao, nilianza kushituka mwezi june nililipia bundle tarehe 8 ilipofika tarehe 1 likakata nikahisi nilichanganya tarehe, (kumbe wanakata wao).

Mwezi July nimelipa bundle tarehe 8 tena na leo WAMEKATA, so ndani ya miezi 2 wameniibia siku 14, kwa miezi 3 watakuwa wameniibia karibia mwezi 1. So hawa hawana sifa tena yakuendelea kutoa huduma. Je TCRA munalijua hili? Je startimes hawastahili kufungiwa? Je niwangapi wanafanyia hivi nahawaja-notice?
Kiongozi, kuna mambo huwa tunawalaumu hawa service providers kwa 'ignorance' yetu. Baada ya wewe kuunga kifurushi then kikaisha baada ya nusu mwezi uslichukua hatua gani?

Sasa fanya hivi, Inawezekana kabisa hata hujui upo kifurushi gani, Inawezekana unaweka bundle la 'nyota' kumbe umejiunga bundle la 'mambo'. Dial *150*63# ili ujuwe upo kifurushi gani, then baada ya hapo unaweza kuhama kifurushi kimoja kwenda kingine bila tatizo na ukatumia pesa yako hadi mwisho wa mwezi.

Unaweza; Kuangalia salio na aina ya kifurushi, Kubadilisha kifurushi hnachohitaji etc.

Tusiwaite wezi kwa kuwa tu tupo ignorant na hatutaki kujifunza. Dial 0764 700 800 wakusaidie.

CC StarTimes Tanzania.
 
Kiongozi, kuna mambo huwa tunawalaumu hawa service providers kwa 'ignorance' yetu. Baada ya wewe kuunga kifurushi then kikaisha baada ya nusu mwezi uslichukua hatua gani?

Sasa fanya hivi, Inawezekana kabisa hata hujui upo kifurushi gani, Inawezekana unaweka bundle la 'nyota' kumbe umejiunga bundle la 'mambo'. Dial *150*63# ili ujuwe upo kifurushi gani, then baada ya hapo unaweza kuhama kifurushi kimoja kwenda kingine bila tatizo na ukatumia pesa yako hadi mwisho wa mwezi.

Unaweza; Kuangalia salio na aina ya kifurushi, Kubadilisha kifurushi hnachohitaji etc.

Tusiwaite wezi kwa kuwa tu tupo ignorant na hatutaki kujifunza. Dial 0764 700 800 wakusaidie.

CC StarTimes Tanzania.
Nimewasiliana noa wameniambia eti niko kwenye kifurushi cha mambo na sibuka ambacho ni 15,000. Na mimi sijawahi kujiunga na hicho kifurushi cha sibuka na mambo, niko mambo tu after all kuna kipindi walikuwa wanatangaza kifurushi cha mambo 12,000.

Hiyo na mambo na sibuka wala sijui ni nini? Inamaana waliniunga wenyewe. Maana mimi niko mambo toka 2012. Huu ndiyo ninasema wizi
 
Nimewasiliana noa wameniambia eti niko kwenye kifurushi cha mambo na sibuka ambacho ni 15,000. Na mimi sijawahi kujiunga na hicho kifurushi cha sibuka na mambo, niko mambo tu after all kuna kipindi walikuwa wanatangaza kifurushi cha mambo 12,000. Hiyo na mambo na sibuka wala sijui ni nini? Inamaana waliniunga wenyewe. Maana mimi niko mambo toka 2012. Huu ndiyo ninasema wizi
Uliungwa by default, hilo sio tatizo. Kila kitu kipo wazi sana, dial *150*60# utajua kila kitu. Hakuna sababu ya kuogopa kuwa unaibiwa.

Mfano, mimi mwezi huu nimejiunga "mambo", mwezi ujao mambo yakiwa vizuri najiunga "uhuru" kwa kutumia hiyo USSD hapo.
 
Wizi mwingine bhana ivi hiyo SIBUKA ina nini cha maana mpaka ikifanye kifurushi kiwe 15,000?. Ni moja kati ya channel mbovu hapa bongo. Meneja masoko wa Sibuka ni kipofu....
 
Hivi remote za king'amuzi chenu mnauzaje?

Jamii Forums mobile app
 
Yan najuta kuingia mkenge nikanunua ichi kishumbusi tangu jana nimelipia lakini bado akioneshi television yoyote ata zile radio zao za wapi uko aziongei yani ni msalaba mtupu kila mda ni kuscrach tuu yani ni matatizo matupu

Mwenye namba zao za huduma kwa wateja naomba anisaidie tafadhali ili niwapigie wakinizingua narudi dukani kuchukua azam

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina ushauri kuna SMS nililetewa kutoka startimes ilikuwa inasema unaweza klipia king,amuzi kwa siku 1000 shilling au kwa mwezi elfu kumi na mbili vipi kuhusu kile kifurushi cha wiki mbili ambacho kilikuwa ndo at least
 
Back
Top Bottom