Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

Habari zenu wanaJamiiForums

Je una tatizo lolote unapotumia huduma zetu? Unaushauri wowote ili kuboresha huduma zetu?

Tafadhali tunaomba utumie thread hii, ili tukusaidie. Tafadhali tunaomba unapokuwa na tatizo ili tukusaidie kirahisi.

1. Utaje tatizo lako
2. Taja sehemu unayoishi
3. Pia kama unaweza tunaomba ututumie na namba yako ya smartcard!

STARTIMES tutajibu maoni, malalamiko na ushauri ule tu ambao utakuwa umejitosheleza na wenye nia ya kutusaidia kuboresha huduma zetu.

kumbuka namba zetu za huduma kwa wateja ni 0764700800 au 0677700800

Ahsanteni sana na karibuni nyote.
Kingamuzi changu hakionyeshi
TBC1,
TBC2
CHANNEL TEN,
STAR TV,
E-TV (south A),
TV1.
Nipo PUGU KINYAMWEZI- DSM
Antena ya nje ya startimes (miba samaki yenye wire wa startimes)
02035172153
 
Kingamuzi changu hakionyeshi
TBC1,
TBC2
CHANNEL TEN,
STAR TV,
E-TV (south A),
TV1.
Nipo PUGU KINYAMWEZI- DSM
Antena ya nje ya startimes (miba samaki yenye wire wa startimes)
02035172153


habari yako, je kingamuzi chako kinakupa ujumbe gani juu ya screen? Kiuhalisia TBC1 lazima inonekane hata kama haujafanya malipo, tafadhari naomba tujulishe unapata ujumbe gani juu ya screeni yako!
 
EHHH NIPO MABIBO TOKA JANA NO SIGNAL MARA NO SERVICES MUDA MWINGINE NOTE SUBSCRIBESD NA NIMELIPIA NI KAAZIMA CHA JAMANI YANGU MAANA ALISHAACHAGA KUTUMIA VINGAMUZI VYENI KITAMBO SANA NAYO CARD ERREL
SHIDA NINI WAUNGWNA?
 
EHHH NIPO MABIBO TOKA JANA NO SIGNAL MARA NO SERVICES MUDA MWINGINE NOTE SUBSCRIBESD NA NIMELIPIA NI KAAZIMA CHA JAMANI YANGU MAANA ALISHAACHAGA KUTUMIA VINGAMUZI VYENI KITAMBO SANA NAYO CARD ERREL
SHIDA NINI WAUNGWNA?


habari yako, No signal au No service kunasababishwa na kutopokea au upokeaji hafifu wa mawimbi. hii maranyingine hupelekea kupata ujumbe no assess not subscribed. tafadhari angalia maungio ya antnea yako, pia uelekeo wa antena yako uelekee katika minara yetu, makongo au kisarawe

tatizo la smart card error hutokana na kuchomekwa kadi vibaya, tafadhari chomoa kadi yako, kisha ifute vizuri kwa kitambaa safi na irudishie ile chipu ikiangalia chini ikiwa mbele.

tafadhari kama tatizo litaendelea tutumie namba yako ya simu tutakutumia fundi wetu hapo mabibo.
 
Hamna ujumbe

habari yako, tafadhari angalia vizuri, katika screen yako, ving'amuzi vyetu kama havionyeshi lazima vitaonyesha ujumbe hapo juu ya screen mfano No signal, No service, Smart card error, No access not subcribed, Not paired etc
 
habari yako, tafadhari angalia vizuri, katika screen yako, ving'amuzi vyetu kama havionyeshi lazima vitaonyesha ujumbe hapo juu ya screen mfano No signal, No service, Smart card error, No access not subcribed, Not paired etc
No service
 
Nipo Wilaya ya Mwanga mkoa wa Kilimanjaro.

King'amuzi changu kilisumbua nikakipela Ofisi ya mkoa Jengo la Kindoroko nikakutana na Kijana mmoja anaitwa Noel.


Akaniambia kuwa kina tatizo hivyo nilipie 20,000/= ili wanibadilishie kingine....

Nikalipa 20,000 wakaniandika kwenye daftari... Tukasumbuana sana kuhusu risiti....


Tatizo imekuwa kila nikiwapagia simu hawapokei .... Natoka Usangi kufatilia king'amuzi Moshi Mjini natumia 8,000

Nimeenda zaidi ya mara 6.... Kila siku ni tarehe .. Nikiwapigia simu hawapokei.


Nimejarbu kuwasiliana na makao makuu mara 2 Sipati msaada.



Je! Ofisi za StarTimes mmeajiri vijana wasanii??



Kama hamuwezi nirudishieni King'amuzi changu.
 
Mkiendelea kukaa kimya nitang'oa na dish niwapelekee......
 
Nipo Wilaya ya Mwanga mkoa wa Kilimanjaro.

King'amuzi changu kilisumbua nikakipela Ofisi ya mkoa Jengo la Kindoroko nikakutana na Kijana mmoja anaitwa Noel.


Akaniambia kuwa kina tatizo hivyo nilipie 20,000/= ili wanibadilishie kingine....

Nikalipa 20,000 wakaniandika kwenye daftari... Tukasumbuana sana kuhusu risiti....


Tatizo imekuwa kila nikiwapagia simu hawapokei .... Natoka Usangi kufatilia king'amuzi Moshi Mjini natumia 8,000

Nimeenda zaidi ya mara 6.... Kila siku ni tarehe .. Nikiwapigia simu hawapokei.


Nimejarbu kuwasiliana na makao makuu mara 2 Sipati msaada.



Je! Ofisi za StarTimes mmeajiri vijana wasanii??



Kama hamuwezi nirudishieni King'amuzi changu.


Habari yako, pole sana kwa usumbufu, tafadhari tunaomba tutumie namba zako za mawasiliano au namba ya smart card, tutalifanyia kazi, tunaomba radhi kwa usumbufu ulioupata
 
Nipo Wilaya ya Mwanga mkoa wa Kilimanjaro.

King'amuzi changu kilisumbua nikakipela Ofisi ya mkoa Jengo la Kindoroko nikakutana na Kijana mmoja anaitwa Noel.


Akaniambia kuwa kina tatizo hivyo nilipie 20,000/= ili wanibadilishie kingine....

Nikalipa 20,000 wakaniandika kwenye daftari... Tukasumbuana sana kuhusu risiti....


Tatizo imekuwa kila nikiwapagia simu hawapokei .... Natoka Usangi kufatilia king'amuzi Moshi Mjini natumia 8,000

Nimeenda zaidi ya mara 6.... Kila siku ni tarehe .. Nikiwapigia simu hawapokei.


Nimejarbu kuwasiliana na makao makuu mara 2 Sipati msaada.



Je! Ofisi za StarTimes mmeajiri vijana wasanii??



Kama hamuwezi nirudishieni King'amuzi changu.
Yaani hivyo vya dish ndio pasua kichwa kabisaaa, nimehangaika nacho hadi nimechoka kipo tu ndani hakina kazi, natafuta ela ninunue dstv
 
Habari yako, pole sana kwa usumbufu, tafadhari tunaomba tutumie namba zako za mawasiliano au namba ya smart card, tutalifanyia kazi, tunaomba radhi kwa usumbufu ulioupata



Leo ni siku ya 21 siangalii TV...... Nimepeleka tatizo ktk ofisi za Mkoa lkn sipati msaada


Nimepiga simu makao makuu mara 3.... Hakuna msaada zaidi ya blah blah tu.........


Nimepewa namba za Meneja wa StarTimes mkoa wa Kilimanjaro.... Nimempigia simu hapokei.. Nimemtumia SmS hajibu..


Nimewatumia namba yangu Inbox ...... Naomba msaada tafadhali.
 
Asante yenu itakuwa na maana kwangu kama mtafanikiwa kunitatulia tatizo langu...


Namba nimewatumia Inbox

tumepata, hivi punde utapigiwa simu na watoa huduma wetu, ahsante kwa kuchagua startimes
 
Naomba kujua idadi ya vifurushi vyenu na gharama zake.
 
Back
Top Bottom