[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] umenichekesha sanaaStar Times nyie wapuuzi mnatuuzia mpaka TBC1.
Zamu yenu itafika tu
Kiongozi, kuna mambo huwa tunawalaumu hawa service providers kwa 'ignorance' yetu. Baada ya wewe kuunga kifurushi then kikaisha baada ya nusu mwezi uslichukua hatua gani?Wadau,
Kuna siku linisikia kwa watu kuwa startimes wao siku 30 hazifiki wanakuwa wanakata, mimi nikaona kama stori tu, nikidhani kuwa system inakuwa automatic, so ikifika siku 30 inakata yenyewe. Kumbe wamekuwa wakifanya ivyo kama utamaduni wao, nilianza kushituka mwezi june nililipia bundle tarehe 8 ilipofika tarehe 1 likakata nikahisi nilichanganya tarehe, (kumbe wanakata wao).
Mwezi July nimelipa bundle tarehe 8 tena na leo WAMEKATA, so ndani ya miezi 2 wameniibia siku 14, kwa miezi 3 watakuwa wameniibia karibia mwezi 1. So hawa hawana sifa tena yakuendelea kutoa huduma. Je TCRA munalijua hili? Je startimes hawastahili kufungiwa? Je niwangapi wanafanyia hivi nahawaja-notice?
Nimewasiliana noa wameniambia eti niko kwenye kifurushi cha mambo na sibuka ambacho ni 15,000. Na mimi sijawahi kujiunga na hicho kifurushi cha sibuka na mambo, niko mambo tu after all kuna kipindi walikuwa wanatangaza kifurushi cha mambo 12,000.Kiongozi, kuna mambo huwa tunawalaumu hawa service providers kwa 'ignorance' yetu. Baada ya wewe kuunga kifurushi then kikaisha baada ya nusu mwezi uslichukua hatua gani?
Sasa fanya hivi, Inawezekana kabisa hata hujui upo kifurushi gani, Inawezekana unaweka bundle la 'nyota' kumbe umejiunga bundle la 'mambo'. Dial *150*63# ili ujuwe upo kifurushi gani, then baada ya hapo unaweza kuhama kifurushi kimoja kwenda kingine bila tatizo na ukatumia pesa yako hadi mwisho wa mwezi.
Unaweza; Kuangalia salio na aina ya kifurushi, Kubadilisha kifurushi hnachohitaji etc.
Tusiwaite wezi kwa kuwa tu tupo ignorant na hatutaki kujifunza. Dial 0764 700 800 wakusaidie.
CC StarTimes Tanzania.
Uliungwa by default, hilo sio tatizo. Kila kitu kipo wazi sana, dial *150*60# utajua kila kitu. Hakuna sababu ya kuogopa kuwa unaibiwa.Nimewasiliana noa wameniambia eti niko kwenye kifurushi cha mambo na sibuka ambacho ni 15,000. Na mimi sijawahi kujiunga na hicho kifurushi cha sibuka na mambo, niko mambo tu after all kuna kipindi walikuwa wanatangaza kifurushi cha mambo 12,000. Hiyo na mambo na sibuka wala sijui ni nini? Inamaana waliniunga wenyewe. Maana mimi niko mambo toka 2012. Huu ndiyo ninasema wizi
siku hizi utapeli mwingi na wa njia tofaut tofautHawafai mi nimelipia wiki ya tatu sasa lakini hawajaingiza
Sent from my VF685 using JamiiForums mobile app
Kuna maeneo mengi arusha kwwa ving'amuzi vinavyotumia antena signal za tbc1,tbc2,tv1 zipo chini sana halafu clouds tv haipatikaniKaribu sana JF StarTimes Tanzania
Mjibu mdau hapa.
Au bofya hapa
JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Hivi remote za king'amuzi chenu mnauzaje?
Jamii Forums mobile app
Hivi remote za king'amuzi chenu mnauzaje?
Jamii Forums mobile app
Shukranhabari yako, zinapatikana katika maduka yetu, tsh 7000