Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)


habari tafadhri fika na king'amuzi chako duka la startimes lililo karibu yako
 
kwanini mtu analipia kifurushi cha week mbili lkn kinadumu kwa siku saba tu
 
Yani ninyi startimes ,nimehangaika sanaaaa kuchakachua king'amuzi chenu cha dish dth lakini wapi,sijui hata mnatumia mbinu gani kuvilinda wala kuweka frequency mpya huwezi ,zna search zile zile 22 ,,duuuuu nyie kiboko nikisema nichelewe kuchomeka cable ya kutoka kwenye lnb/dish pale kifurushi kinapokata labda niweke usiku ,baada ya muda kinakata duuuuuuu.

Nimecheza sanaaa na card lakn wapi,nimecheza na waya zile za kusoma card holaaa tu.
 
Ninahitaji msaada! Nililipia kifurushi cha nyota...cha kushangaza sipati channeli ya ndani hata moja! Natumia dishi, namba ya king'amuzi 01819174472
 
Nmenunua king'amuzi chenu 4/11/2017 nikaambiwa kuwa kuna ofa ya mwezi mmoja ila mpaka leo napata local channels tu, je ofa ni kwa hizi local tu? au taarifa niliyopewa ni wrong. na kama ofa inakuwa channels zote kwanini mi sizipati?

Yaani zinakataa hadi nizilipie. Naomba ufafanuzi.
 
Mim king'amuzi changu akisaport ata local channels yaan nisiporipia bas hakuna kuangalia king'amuzi, yaan mnanitesa kwel ata tbc nayo nilipie jaman??
 
Star times mnazingua sana sasa mbona sioni local channel sasa yapata mwezi
 
Mnakera kama ukinunua kifurushi mpaka kuwapigia Kwani hamuwezi Kuunganisha automatically Wakati hela mmeshaiona inakera
 
MNA channels ngapi! Na vingamuzi vyenu vinauzwa tsh ngapi kwa Mwanza!? Majibu plz
 
Habari zenu star times! Mimi naitwa Stanslaus kimpanti Niko moro, napenda kujua hapo awali mlikuwa mnatuachia chanels za ndani tbc1,startv,Chanel ten na ITV tunaangalia free baadaye sijui nini kilitokea, mkaziondoa ikabaki tbc1 pekee.
 
Kwa kupitia matangazo yenu tulilipia sh 5,000 ili kuweza kupata JTV. Kwa bahati mbaya/nzuri hamkutimiza ahadi yenu na hadi leo wakazi wa mikoani hatuna access na hiyo JTV.

Tunasikitishwa sana na udanganyifu mliotufanyia na kuwataka muwe wastaarabu katika biashara yenu vinginevyo wengine tutaachia ngazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…