Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

habari tutumie namba yako ya kadi
Namba ya kadi 02035939630 ,nilikuwa na tatizo la kutoona hizo local channels mkaniambia nije ofisini kwenu na decoda yangu,

Nilikuja ofisini kwenu mkasema kadi ni ya kurenew ila kwasasa kadi zimeisha mpaka ziletwe tena,nikauliza iwapo nikiunga kifurushi kwa kadi hii nitaweza kuona channels? Mukanijibu UNAWEZA KUONA BILA MATATIZO na nikija nikirenew kadi bundle langu litahamishiwa katika kadi mpya nikafurahia maelezo hayo.

Nikalipia kifurushi nikaenda zangu cha ajabu nafika nyumbani naona zile local channel tu sioni channels nyingine zozote yaana kuna clouds,itv,star tv,tabibu,channel 10,eatv,tv1, na tbc1 sasa hapo nafanyeje?

maana bundle langu linaenda bure na mimi lengo langu niipate st swahili.......na nyinginezo pia please msaada hapo
 
Niko Babati Manyara s/card 01819018404 nataka niondolewe kwenye mtandao wenu ili niwe huru kutumia receiver yangu nje ya mtandao wenu.
 
Kwa nini channel ya tv imani imeondolewa? Na mna mpango gani wa kujiunga na super sport 9/10 kwa ajili ya michezo ya wrestling?
 
Kwa sasa inaonekana kuna baadhi ya channel mmeshachomoa mfano tv1 tatizo ni nini?

Pili local channel zimechomoka na tukitaka kufanya resfactory setting tunakuta mmeblock kwa pin, kwa nini mnawapa Wateja wenu usumbufu wa kuita mafundi na kula hela zao ?
 
Habari zenu wanaJamiiForums

Je una tatizo lolote unapotumia huduma zetu? Unaushauri wowote ili kuboresha huduma zetu?

Tafadhali tunaomba utumie thread hii, ili tukusaidie. Tafadhali tunaomba unapokuwa na tatizo ili tukusaidie kirahisi.

1. Utaje tatizo lako
2. Taja sehemu unayoishi
3. Pia kama unaweza tunaomba ututumie na namba yako ya smartcard!

STARTIMES tutajibu maoni, malalamiko na ushauri ule tu ambao utakuwa umejitosheleza na wenye nia ya kutusaidia kuboresha huduma zetu.

kumbuka namba zetu za huduma kwa wateja ni 0764700800 au 0677700800

Ahsanteni sana na karibuni nyote.

Ninalo.

Kwa mwezi wa pili tangu uanze, channel 495 TV1, na kwa zaidi ya mwaka sasa channel 367 Gospel videos haipo hewani. Nini tatizo?

smart card yangu ni 02139229317.

nb. nimepiga customers care, hakuna suluhu, nimesearch upya kwa default setting lkn haijarejea.
 
Hbr star times, mm Niko mwanza namba yangu n 0764811295 nahitaji kisimbuzi chenu! Naombeni maelezo plz
 
Mie king'amuzi changu kina-scratch na kutoa message hii "Out of Service" ile mbaya. Natumia king'amuzi cha attena na atena ipo vzr so tatizo linaweza kuwa ni nn.?!
 
Hawa jamaa [HASHTAG]#startimes[/HASHTAG] vipi? Mbn hawajitokezi kujibu maswali na maoni yetu?
 
Tbc 1 Tu Ndo Ipo Na Tuliambiwa Zitakuw 6 Free, Namba Ya Card Hyo 02035723544
 
Back
Top Bottom