Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

Hawa jamaa lini watashusha gharama ya vifurushi vyao???
Vifurushi vyao havieleweki kwa kweli
 
Hawa jamaa lini watashusha gharama ya vifurushi vyao???
Vifurushi vyao havieleweki kwa kweli
Wanalindwa, filamu wanazoonesha ni hizohizo mwakanendamwakarudi. Walipotozwa malimbikizo ya kodi wakasukumia wateja deni kwa kuongeza shilingi elfu moja! wanslindwa.
 
Habari zenu wanaJamiiForums

Je una tatizo lolote unapotumia huduma zetu? Unaushauri wowote ili kuboresha huduma zetu?

Tafadhali tunaomba utumie thread hii, ili tukusaidie. Tafadhali tunaomba unapokuwa na tatizo ili tukusaidie kirahisi.

1. Utaje tatizo lako
2. Taja sehemu unayoishi
3. Pia kama unaweza tunaomba ututumie na namba yako ya smartcard!

STARTIMES tutajibu maoni, malalamiko na ushauri ule tu ambao utakuwa umejitosheleza na wenye nia ya kutusaidia kuboresha huduma zetu.

kumbuka namba zetu za huduma kwa wateja ni 0764700800 au 0677700800

Ahsanteni sana na karibuni nyote.
Kifurushi cha nyota kiboreshwe namba ya kadi 02035255873
 
Mbona leo bollywood africa haiongei kiswahili nadhani hii ni kiyuganda jaman seeting pale inaonyesha kiswahili
 
TV imaan, vipi jamani , zamani ilikuwepo, tuambieni inarejea lini?
Nyembe wa morogoro
Familia imegomea kabisa, wanataka king'amuzi kingine.niwapiga Dana Dana naangalia peke yangu sasa, kwahiyo itarejea au LA?

Uongo nimeishiwa utasema ni Nina ownership katika king'amuzi , hebu toa majibu hapa, kuhusu hiyo TV imaan
 
Startimes naomba kuuliza kwann kingamuz changu nanunua kifurush cha mwez lakin kina kaa wik mbili tu nin shida naomba msaada nimechoka kulipia startimes
 
Back
Top Bottom