Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanalindwa, filamu wanazoonesha ni hizohizo mwakanendamwakarudi. Walipotozwa malimbikizo ya kodi wakasukumia wateja deni kwa kuongeza shilingi elfu moja! wanslindwa.Hawa jamaa lini watashusha gharama ya vifurushi vyao???
Vifurushi vyao havieleweki kwa kweli
Wanaboa sanaWanalindwa, filamu wanazoonesha ni hizohizo mwakanendamwakarudi. Walipotozwa malimbikizo ya kodi wakasukumia wateja deni kwa kuongeza shilingi elfu moja! wanslindwa.
Kifurushi cha nyota kiboreshwe namba ya kadi 02035255873Habari zenu wanaJamiiForums
Je una tatizo lolote unapotumia huduma zetu? Unaushauri wowote ili kuboresha huduma zetu?
Tafadhali tunaomba utumie thread hii, ili tukusaidie. Tafadhali tunaomba unapokuwa na tatizo ili tukusaidie kirahisi.
1. Utaje tatizo lako
2. Taja sehemu unayoishi
3. Pia kama unaweza tunaomba ututumie na namba yako ya smartcard!
STARTIMES tutajibu maoni, malalamiko na ushauri ule tu ambao utakuwa umejitosheleza na wenye nia ya kutusaidia kuboresha huduma zetu.
kumbuka namba zetu za huduma kwa wateja ni 0764700800 au 0677700800
Ahsanteni sana na karibuni nyote.
Familia imegomea kabisa, wanataka king'amuzi kingine.niwapiga Dana Dana naangalia peke yangu sasa, kwahiyo itarejea au LA?TV imaan, vipi jamani , zamani ilikuwepo, tuambieni inarejea lini?
Nyembe wa morogoro
mbona wameweka mkuuWekeni Wasafi TV kwenye decoder za dish...
Chenel namb ngapi kwenye dish?mbona wameweka mkuu
ilikuwa 333 lkn imehamishwa tena, sijakarii hyo namba waliyo hamishia.. Ila ipoChenel namb ngapi kwenye dish?