Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

Tunàomba mtuwekee local radio stations kwenyeking'amuzi cha dish,hukmikoani kuna maeneo hatupati mwawimbi ya local radio fanyeni kama Azam
 
Hatupati ujumbe wowote,na isitoshe mmehamishia upande wa redio na hazionyeshi chochote,
 
Kwanini hamtoi taarifa kuhusu kilichotokea mpaka Local channel zote kutokuonekana?Mbona kifurushi kikiisha mnatujulisha kwa meseji?
 
Startimes, na vin'gamuzi vingine vyote in wakati sasa mubadilike yani mteja akinunua kifulushi kiwe kinachaji kutokana mteja anavyo tumia (mf luku),na c iv mnavyokata kwa mwezi mteja atumie actumie ukiisha mwezi tu inaxpare binafc ninaona ni unyonyaji, ebu nendeni na wakati bc
 
Mmeachia chanell ten achieni naizo nyingine acheni uhuni nyie startimes au mpka tugairi kutumia kingamuzi chenu ndio muamini, kifurushi kikiisha hamjazirudisha silipii tena
 
Mmeachia chanell ten achieni naizo nyingine acheni uhuni nyie startimes au mpka tugairi kutumia kingamuzi chenu ndio muamini, kifurushi kikiisha hamjazirudisha silipii tena
Kweli kabsaa ngoja tuendeleee kupga mambo kwa mheshimiwa kama watazingua kuendelea wahame nchi.
 
Hizo chanel za local wanataka tulipie pia hii nchi km familia ya kambale kila mtu anamamlaka yake
 
Tafadhalini Startimes wengine hamtutendei haki, mfano mimi king'amuzi changu chenye smart card na. 02035066969 hakioneshi kabisa chaneli zile za ndani zinazotakiwa kuoneshwa bila malipo isipikuwa TBC 1, lakini pia ninapolipia kifurushi cha mambo basi hunigharimu tshs 6,000/= kuangalia baadhi chaneli pamoja na hizo za ndani lakini baada ya siku 7 zinafungwa na kubakia TBC 1 tu.

Je kuna nini hapa, kama mmenielewa naomba ufafanuzi wa tatizo hili na kama hakuna maelezo basi naomba mnifungulie hizo chaneli za ndani kama TCRA walivyoagiza, natanguliza shukrani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…