Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

Hili tatizo limetokea pia kwangu, kwenye local channel ITV na star TV hazionekani tena. Majibu tafadhali kwa wahusika
 
Mkuu ukisoma terms and conditions wamejiruhusu kuongeza au kupunguza channel.ukianza kutumia maana yake umekubali.
 
Yaani hawa jamaa wanaboa sana. Kwanza graphics sifuri pia wana ka utapeli hivi. Jana asubuhi wamenitumia sms kuwa wataonyesha mechi za pre-season kati ya Man U vs Club America, na Real Madrid vs As roma kupitia Sports 2. Wakasema nunua kifurushi cha Uhuru ambacho ni 18,000/-....Sasa kwa kuwa napenda mpira nikajitosa bila kufikiria nikanunua kifurushi hicho. Cha ajabu wakaachia mi-channel mingine ya ajabu lkn hizo za Sports zikaandika "Channel not subscribed." Hii ni nini zaidi ya utapeli...mm sitaki mi-channel ya Kina Mithun Chakrabooty...nilitaka kuangalia mpira. Sasa hela yangu mmekula na game sikuona. Najiandaa kununua Azam au Dstv kabisa, sitaki shida mimi.
 
kwangu zipo local channel zote cjui kwenu, but kuna wakati network inakata kwa baadhi ya channel unachotakiwa kudanya nikufanya searching upya zinarudi
 
Habari,
kuanzia juzi majira ya saa 6 mchana, channel ye EATV imeondolewa kutoka kwenye king'amuzi cha STARTIMES. tunahitaji majibu toka kwenu na mamlaka Husika TCRA. its not fair! STATIMES mna matatizo gani na hizi stations! tumekurupuka kuingia digitali!


habari yako UNGA UNGA na wanajamii forum wote kwa ujumla

startimes HATUJAONDOA chanel yeyote katika orodha ya chanel zetu kama unavyodai, chanel zote zipo kama zilivyokuwa awali. Startimes tunatambua kuwa watanzania wanapenda chanel zenye maudhui ya kitanzania na hivyo moja ya mikakati yetu ni kuhakikisha tunaongeza chanel nyingi za nyumbani na sio kutoa chanel. tunajitahidi pia kuongeza chanel zote zilizopo mikoani kama IRINGA TV, moro TV, TANGA TV na zingine nyingi.

kupotea kwa chanel huwa kunasababishwa na kupotea kwa mawimbi na hivyo decoder yako kupoteza chanel husika, kumbuka chanel zetu zinaingia katika frequency 4 hivyo kunauwezekana antena yako haipokei frequency inayozibeba EATV na startv. tunakushauri ufanye automatic search upya.

Bonyeza MENU kisha chagua SYSTEM SETTING kisha chagua CHANEL SEARCH kisha chagua AUTOMATIC SEARCH. lazima chanel hizo zitarudi. endapo hazitarudi basi tambua kuwa antena yako imekuwa 'distarbuded' hivyo inabidi urekebishe na ufanye search upya

Ahsante.
 
Yaani hawa jamaa wanaboa sana. Kwanza graphics sifuri pia wana ka utapeli hivi. Jana asubuhi wamenitumia sms kuwa wataonyesha mechi za pre-season kati ya Man U vs Club America, na Real Madrid vs As roma kupitia Sports 2. Wakasema nunua kifurushi cha Uhuru ambacho ni 18,000/-....Sasa kwa kuwa napenda mpira nikajitosa bila kufikiria nikanunua kifurushi hicho. Cha ajabu wakaachia mi-channel mingine ya ajabu lkn hizo za Sports zikaandika "Channel not subscribed." Hii ni nini zaidi ya utapeli...mm sitaki mi-channel ya Kina Mithun Chakrabooty...nilitaka kuangalia mpira. Sasa hela yangu mmekula na game sikuona. Najiandaa kununua Azam au Dstv kabisa, sitaki shida mimi.


habari yako

startimes tumeonyesha mechi ya manchester na club Amerika katika chanel husika kama tulivyo sema. Kumbuka unapofanya malipo LAZIMA PIA UBADILISHE KIFURUSHI kupata kifurushi unachotaka. kama awali ulikuwa unatumia kifurushi cha mambo basi ukifanya malipo ya kifurushi cha uhuru, hazitofunguka chanel za uhuru AUTOMATICALLY, badala yake inabidi ubadilishe na kifurushi kuwa UHURU. unaweza kubadili kifurushi kwa kupiga *150*63# au piga namba yetu ya huduma kwa wateja 0764700800.

vinginevyo usipo badili kifurushi system zetu zitatambua kuwa umelipia kifurushi cha mambo miezi miwili na hivyo utaangalia miezi miwili kifurushi kidogo
 
Mkuu ukisoma terms and conditions wamejiruhusu kuongeza au kupunguza channel.ukianza kutumia maana yake umekubali.

habari yako

startimes HATUJAONDOA chanel yeyote katika orodha ya chanel zetu kama unavyodai, chanel zote zipo kama zilivyokuwa awali. Startimes tunatambua kuwa watanzania wanapenda chanel zenye maudhui ya kitanzania na hivyo moja ya mikakati yetu ni kuhakikisha tunaongeza chanel nyingi za nyumbani na sio kutoa chanel. tunajitahidi pia kuongeza chanel zote zilizopo mikoani kama IRINGA TV, moro TV, TANGA TV na zingine nyingi.

kupotea kwa chanel huwa kunasababishwa na kupotea kwa mawimbi na hivyo decoder yako kupoteza chanel husika, kumbuka chanel zetu zinaingia katika frequency 4 hivyo kunauwezekana antena yako haipokei frequency inayozibeba EATV na startv. tunakushauri ufanye automatic search upya.

Bonyeza MENU kisha chagua SYSTEM SETTING kisha chagua CHANEL SEARCH kisha chagua AUTOMATIC SEARCH. lazima chanel hizo zitarudi. endapo hazitarudi basi tambua kuwa antena yako imekuwa 'distarbuded' hivyo inabidi urekebishe na ufanye search upya

Ahsante.
 
habari yako

startimes HATUJAONDOA chanel yeyote katika orodha ya chanel zetu kama unavyodai, chanel zote zipo kama zilivyokuwa awali. Startimes tunatambua kuwa watanzania wanapenda chanel zenye maudhui ya kitanzania na hivyo moja ya mikakati yetu ni kuhakikisha tunaongeza chanel nyingi za nyumbani na sio kutoa chanel. tunajitahidi pia kuongeza chanel zote zilizopo mikoani kama IRINGA TV, moro TV, TANGA TV na zingine nyingi.

kupotea kwa chanel huwa kunasababishwa na kupotea kwa mawimbi na hivyo decoder yako kupoteza chanel husika, kumbuka chanel zetu zinaingia katika frequency 4 hivyo kunauwezekana antena yako haipokei frequency inayozibeba EATV na startv. tunakushauri ufanye automatic search upya.

Bonyeza MENU kisha chagua SYSTEM SETTING kisha chagua CHANEL SEARCH kisha chagua AUTOMATIC SEARCH. lazima chanel hizo zitarudi. endapo hazitarudi basi tambua kuwa antena yako imekuwa 'distarbuded' hivyo inabidi urekebishe na ufanye search upya

Ahsante.

Naam! Nimefanya ulivyoelekeza na mambo yako byeeeeee!! Star times for life.
 
Habari,
kuanzia juzi majira ya saa 6 mchana, channel ye EATV imeondolewa kutoka kwenye king'amuzi cha STARTIMES. tunahitaji majibu toka kwenu na mamlaka Husika TCRA. its not fair! STATIMES mna matatizo gani na hizi stations! tumekurupuka kuingia digitali!

Mbona mimi naona EATv? Wewe uko bonde gani?
 
Ipo siku nitawashitaki hawa mabepari, wakati walipokuwa wananiuzia hicho king'amuzi walini convince kwa local channels ukiachilia mbali kuwa ili kupewa kibali na tcra ku operate lazma uhakikishe unarusha local channels zote freely, sasa naona wanatuchokonoa sana, mara wapunguze masafa, maana mtu upo hapa Dar lakini channels za kibongo zina stuck, alafu zile za kwao zipo strong. Hii haivumiliki
 
habari yako UNGA UNGA na wanajamii forum wote kwa ujumla

startimes HATUJAONDOA chanel yeyote katika orodha ya chanel zetu kama unavyodai, chanel zote zipo kama zilivyokuwa awali. Startimes tunatambua kuwa watanzania wanapenda chanel zenye maudhui ya kitanzania na hivyo moja ya mikakati yetu ni kuhakikisha tunaongeza chanel nyingi za nyumbani na sio kutoa chanel. tunajitahidi pia kuongeza chanel zote zilizopo mikoani kama IRINGA TV, moro TV, TANGA TV na zingine nyingi.

kupotea kwa chanel huwa kunasababishwa na kupotea kwa mawimbi na hivyo decoder yako kupoteza chanel husika, kumbuka chanel zetu zinaingia katika frequency 4 hivyo kunauwezekana antena yako haipokei frequency inayozibeba EATV na startv. tunakushauri ufanye automatic search upya.

Bonyeza MENU kisha chagua SYSTEM SETTING kisha chagua CHANEL SEARCH kisha chagua AUTOMATIC SEARCH. lazima chanel hizo zitarudi. endapo hazitarudi basi tambua kuwa antena yako imekuwa 'distarbuded' hivyo inabidi urekebishe na ufanye search upya

Ahsante.

Asanteni Star times nilikua na tatizo kama hilo sasa nimeingia humu nianzishe uzi nikakuta uzi huuuseful
sasa naangalia habari itv swadakta kabisa.

sasa nina tatizo moja.
remote yangu imeharibika nahitaji remote nyingine.
Naomba mwongozo namna ya kupata remote nyingine.
 
habari yako startimes tumeonyesha mechi ya manchester na club Amerika katika chanel husika kama tulivyo sema. Kumbuka unapofanya malipo LAZIMA PIA UBADILISHE KIFURUSHI kupata kifurushi unachotaka. kama awali ulikuwa unatumia kifurushi cha mambo basi ukifanya malipo ya kifurushi cha uhuru, hazitofunguka chanel za uhuru AUTOMATICALLY, badala yake inabidi ubadilishe na kifurushi kuwa UHURU. unaweza kubadili kifurushi kwa kupiga *150*63# au piga namba yetu ya huduma kwa wateja 0764700800.vinginevyo usipo badili kifurushi system zetu zitatambua kuwa umelipia kifurushi cha mambo miezi miwili na hivyo utaangalia miezi miwili kifurushi kidogo
Sasa, hamtuelezi hayo mapema mpaka inakuwa hivi. Mnapotuma sms mnapaswa kutupa na maelekezo hayo, otherwise namba hiyo nilipiga sana & hakuna aliyepokea. Asante lkn kwa ufafanuzi, nitajaribu kufanya hivyo.
 
habari yako

startimes HATUJAONDOA chanel yeyote katika orodha ya chanel zetu kama unavyodai, chanel zote zipo kama zilivyokuwa awali. Startimes tunatambua kuwa watanzania wanapenda chanel zenye maudhui ya kitanzania na hivyo moja ya mikakati yetu ni kuhakikisha tunaongeza chanel nyingi za nyumbani na sio kutoa chanel. tunajitahidi pia kuongeza chanel zote zilizopo mikoani kama IRINGA TV, moro TV, TANGA TV na zingine nyingi.

kupotea kwa chanel huwa kunasababishwa na kupotea kwa mawimbi na hivyo decoder yako kupoteza chanel husika, kumbuka chanel zetu zinaingia katika frequency 4 hivyo kunauwezekana antena yako haipokei frequency inayozibeba EATV na startv. tunakushauri ufanye automatic search upya.

Bonyeza MENU kisha chagua SYSTEM SETTING kisha chagua CHANEL SEARCH kisha chagua AUTOMATIC SEARCH. lazima chanel hizo zitarudi. endapo hazitarudi basi tambua kuwa antena yako imekuwa 'distarbuded' hivyo inabidi urekebishe na ufanye search upya

Ahsante.

Customet care yenu mbovu mbovu mbovu...hawapokei cm..aliekua zamu jana.asubuh ameboa sanaaaa..fuatikieni
 
Habari,
kuanzia juzi majira ya saa 6 mchana, channel ye EATV imeondolewa kutoka kwenye king'amuzi cha STARTIMES. tunahitaji majibu toka kwenu na mamlaka Husika TCRA. its not fair! STATIMES mna matatizo gani na hizi stations! tumekurupuka kuingia digitali!

mbona ipo bana
 
Kama wanataka dikoda zao zidode na zisiuze kabisa watoe izo chaneli za mengi
 
Customet care yenu mbovu mbovu mbovu...hawapokei cm..aliekua zamu jana.asubuh ameboa sanaaaa..fuatikieni

habari yako UNGA UNGA na wanajamii forum wote kwa ujumla

startimes HATUJAONDOA chanel yeyote katika orodha ya chanel zetu kama unavyodai, chanel zote zipo kama zilivyokuwa awali. Startimes tunatambua kuwa watanzania wanapenda chanel zenye maudhui ya kitanzania na hivyo moja ya mikakati yetu ni kuhakikisha tunaongeza chanel nyingi za nyumbani na sio kutoa chanel. tunajitahidi pia kuongeza chanel zote zilizopo mikoani kama IRINGA TV, moro TV, TANGA TV na zingine nyingi.

kupotea kwa chanel huwa kunasababishwa na kupotea kwa mawimbi na hivyo decoder yako kupoteza chanel husika, kumbuka chanel zetu zinaingia katika frequency 4 hivyo kunauwezekana antena yako haipokei frequency inayozibeba EATV na startv. tunakushauri ufanye automatic search upya.

Bonyeza MENU kisha chagua SYSTEM SETTING kisha chagua CHANEL SEARCH kisha chagua AUTOMATIC SEARCH. lazima chanel hizo zitarudi. endapo hazitarudi basi tambua kuwa antena yako imekuwa 'distarbuded' hivyo inabidi urekebishe na ufanye search upya

Ahsante.

Manasema hamjapunguza channel mbona ctn haionekani mwezi wa 3 huu lkn hamshughuliki nayo na wala hamtoi taarifa kwa nn haionekani
 
Back
Top Bottom