Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

Natumia king'amuzi cha antenna ni mwaka wa tatu sasa sipati Chanel kadhaa kama vile ETV, TABIBU, ATN, ARISE AND SHINE, HOPE nazingine. Naomba msaada. Naishi Tegeta MBWENI JKT.
 
Yaani takri bani week 2 sasa mchana kutwa Channel zote hakishiki ila ikifika saa 1 jioni zinafunguka zote.

Mbaya zaidi leo siku ya 3 ile channel ya Star Swahili ndo ina scratch sana na haionyeshi kitu.

Ukiwapigia cm wahudumu kila mtu na majibu yake.

Naomba wajuzi wa hizi mambo wanishauri.
 
Nina shida na remote control za TV za startimes zile za mwanzo kabisa, nikitumia hizi remote mpya ambazo si za TV hizo inasababisha nishindwe ku operate kwenye ku play USB

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu msaada king’amuzi changu cha star time dish kinanletea sms ifuatayo card problem check card please insert your smart card again & make sure the direction is correct nafata hayo maelekezo lakin ngoma imegoma any solution pls
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…