Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu bora uwapigie simu startimes au nenda kwenye ofisi zao ,humu hawàtakujibu chochote huyu hajibu sijui hawajamlipa mshahara wake maana hajbu chochote.Ikiwa mteja kaibiwa king'amuzi chake na mwizi anaendelea kukitumia na kulipia kwenu mnamsaidiaje aliyeibiwa kupata king'amuzi chake? Je aliyeibiwa akija na RB mnaweza kumpa namba za simu za mwizi wake?
AhsanteMkuu bora uwapigie simu startimes au nenda kwenye ofisi zao ,humu hawàtakujibu chochote huyu hajibu sijui hawajamlipa mshahara wake maana hajbu chochote.
Ukiwà na RB itakuwa rahisi kwako kukusaidia.
Nenda tu mkuu ofisiñi kwao,Tv ya startimes inch 32 kioo kimepasuka, naweza kupata kingine? na bei yake je?
Sasa hiyo ni bure kivipi wakati umeshalipia?Siku hizi wanakuambia lipa pesa kwanza ndio wakuwekee Chanel za bure
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nyie startimes customer càre yenu ni ya kipumbavu sanaa na hamko serious kabisaaaa,wateja wenu watawakimbia hivi karibuni na nitahakikisha magufuri anawapiga chini hamfai kabisaaaaa ninyi na hao wachina wenu wajinga.
Hahahahaha kitunze mkuu mwez wa sita kuna kombe la dunia.Nina king'amzi cha Star times anae hitaji aje nimpe bureee napatikana mbagala ukihitaji ni pm
Jamaa wanaboa sana aiseeHahahahaha kitunze mkuu mwez wa sita kuna kombe la dunia.
Baada washushe wao wanapandisha na wakati DSTV wanataka wafanye FTA iwe Tshs 12,000 na watapata wateja wengi sana. Shaurri yaoHahahahaha kitunze mkuu mwez wa sita kuna kombe la dunia.