State to connect commuter rail and BRT system!

State to connect commuter rail and BRT system!

SGR inatengeneza faida. Ufisadi ndio umekithiri. Kila mmoja wa hawa Macho Madogo anaiba milioni moja kila siku. Hela nyingi sana zinazoliwa na hawa mabaradhuli wa China
Acha kuendelea kuwa mkaidi, wanaotoa pesa wanasema haitatengeneza faida, Macharia amesema mwaka wa kwanza imetengeneza hasara, Dr. Ndii alishasema kiuchumi haiwezi kutengeneza faida, Prof. Manyora amesema hivyo hivyo, wewe ni nani hata kuwapinga hawa wote?
 
Acha kuendelea kuwa mkaidi, wanaotoa pesa wanasema haitatengeneza faida, Macharia amesema mwaka wa kwanza imetengeneza hasara, Dr. Ndii alishasema kiuchumi haiwezi kutengeneza faida, Prof. Manyora amesema hivyo hivyo, wewe ni nani hata kuwapinga hawa wote?
Imekula kwao wakenya hahaha wao walidhani si mradi wa bagamoyo port tunakomaa nao y??? Tumejifunza kwenu thanx ..Mr president Jpm kaza baba msipoelewana nao futilia mbali tutatanua ports of dar tanga na mtwara bora polepole kuliko kuibiwaa
 
Angalia vile wanamwagika huku n utumbo! !!!! Hahahaha.Kitaeleweka tu
 
Watanzania na miwivu hawataki tupate BRT???? Funny though na @ joto la jiwe 😂 is bashing us...wivu peleka CCM
 
Watanzania na miwivu hawataki tupate BRT???? Funny though na @ joto la jiwe [emoji23] is bashing us...wivu peleka CCM
Woooiii
IMG-20190519-WA0002.jpeg
 
Acha kuendelea kuwa mkaidi, wanaotoa pesa wanasema haitatengeneza faida, Macharia amesema mwaka wa kwanza imetengeneza hasara, Dr. Ndii alishasema kiuchumi haiwezi kutengeneza faida, Prof. Manyora amesema hivyo hivyo, wewe ni nani hata kuwapinga hawa wote?
Mimi ni binadamu kama wao...
Hujui kuhusu wachina wanaoiba pesa ya tiketi?
 
Itaniumiza Vipi na 4% growth surely against 7% ??? tumewapiga mabao buana....
AFDB waseme 7%
Tanzania iseme 7%
World bank waseme 6.8%
IMF waseme 4%

So tumuamini nani??? Akili kichwani mwako
 
Watanzania na miwivu hawataki tupate BRT???? Funny though na @ joto la jiwe 😂 is bashing us...wivu peleka CCM

Hamuwezi pata BRT labda musubiri yesu ashuke unajua kwann? Kwasababu madeni yanawapumulia kisogoni😆😆😆😆
 
Acha kuendelea kuwa mkaidi, wanaotoa pesa wanasema haitatengeneza faida, Macharia amesema mwaka wa kwanza imetengeneza hasara, Dr. Ndii alishasema kiuchumi haiwezi kutengeneza faida, Prof. Manyora amesema hivyo hivyo, wewe ni nani hata kuwapinga hawa wote?

Ungemwambia akuletee official source kua SGR yao sasa inatengeneza faida😆😆
 
Wapi thika wapi pesa za tax payers😆😆👇👇👇👇
1EF36937-350F-4125-9259-BBE8DC372A15.jpeg
72C15563-E896-4E86-AF0F-CC35D56EBB36.jpeg
 
Mimi ni binadamu kama wao...
Hujui kuhusu wachina wanaoiba pesa ya tiketi?
Kwani hamna uwezo wa kuwazuia kuiba hizo tickets?, Kenya kila mtu ni mwizi sio wachina pekee, ndio sababu ninyi mpo kundi la "Failed states". Nothing works in Kenya.
 
Back
Top Bottom