joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Acha kuendelea kuwa mkaidi, wanaotoa pesa wanasema haitatengeneza faida, Macharia amesema mwaka wa kwanza imetengeneza hasara, Dr. Ndii alishasema kiuchumi haiwezi kutengeneza faida, Prof. Manyora amesema hivyo hivyo, wewe ni nani hata kuwapinga hawa wote?SGR inatengeneza faida. Ufisadi ndio umekithiri. Kila mmoja wa hawa Macho Madogo anaiba milioni moja kila siku. Hela nyingi sana zinazoliwa na hawa mabaradhuli wa China
Imekula kwao wakenya hahaha wao walidhani si mradi wa bagamoyo port tunakomaa nao y??? Tumejifunza kwenu thanx ..Mr president Jpm kaza baba msipoelewana nao futilia mbali tutatanua ports of dar tanga na mtwara bora polepole kuliko kuibiwaaAcha kuendelea kuwa mkaidi, wanaotoa pesa wanasema haitatengeneza faida, Macharia amesema mwaka wa kwanza imetengeneza hasara, Dr. Ndii alishasema kiuchumi haiwezi kutengeneza faida, Prof. Manyora amesema hivyo hivyo, wewe ni nani hata kuwapinga hawa wote?
Itaniumiza Vipi na 4% growth surely against 7% ??? tumewapiga mabao buana....Tanzania itakuumiza kichwa bureπππ
Hamna shida kamuda kenyewe kadogoooo..... Nachojua vichina hua haviniangushii ,,, hahahahΓ aaItaniumiza Vipi na 4% growth surely against 7% ??? tumewapiga mabao buana....
WoooiiiWatanzania na miwivu hawataki tupate BRT???? Funny though na @ joto la jiwe [emoji23] is bashing us...wivu peleka CCM
SGR inatengeneza faida. Ufisadi ndio umekithiri. Kila mmoja wa hawa Macho Madogo anaiba milioni moja kila siku. Hela nyingi sana zinazoliwa na hawa mabaradhuli wa China
Mimi ni binadamu kama wao...Acha kuendelea kuwa mkaidi, wanaotoa pesa wanasema haitatengeneza faida, Macharia amesema mwaka wa kwanza imetengeneza hasara, Dr. Ndii alishasema kiuchumi haiwezi kutengeneza faida, Prof. Manyora amesema hivyo hivyo, wewe ni nani hata kuwapinga hawa wote?
AFDB waseme 7%Itaniumiza Vipi na 4% growth surely against 7% ??? tumewapiga mabao buana....
Watanzania na miwivu hawataki tupate BRT???? Funny though na @ joto la jiwe π is bashing us...wivu peleka CCM
Angalia vile wanamwagika huku n utumbo! !!!! Hahahaha.Kitaeleweka tu
Acha kuendelea kuwa mkaidi, wanaotoa pesa wanasema haitatengeneza faida, Macharia amesema mwaka wa kwanza imetengeneza hasara, Dr. Ndii alishasema kiuchumi haiwezi kutengeneza faida, Prof. Manyora amesema hivyo hivyo, wewe ni nani hata kuwapinga hawa wote?
Labda mpaka yesu ashuke ndio watajengaπππWhen&where BRT built in Kenya?
SGR inatengeneza faida. Ufisadi ndio umekithiri. Kila mmoja wa hawa Macho Madogo anaiba milioni moja kila siku. Hela nyingi sana zinazoliwa na hawa mabaradhuli wa China
Mabao kama haya πππππ byebye tourismItaniumiza Vipi na 4% growth surely against 7% ??? tumewapiga mabao buana....
Kwani hamna uwezo wa kuwazuia kuiba hizo tickets?, Kenya kila mtu ni mwizi sio wachina pekee, ndio sababu ninyi mpo kundi la "Failed states". Nothing works in Kenya.Mimi ni binadamu kama wao...
Hujui kuhusu wachina wanaoiba pesa ya tiketi?
[/URLhttps://youtu.be/feNwOvedM4s] ...talk.com/byo?rid=77694]JamiiForums mobile appWow great news...
Kitu hicho hapo pimbi za Kenya zioneWow great news...