Wame quote vifungu vya sheria vya kumpiga ban halafu ilipofika kwenye tamko wanasema Wana base kwenye credible information !!!! Kukitekeleza kifungu Cha sheria unatakiwa kubase kwenye credible evidence sio credible information.Trump na Pompeo wamechemka hiyo statement haina nguvu kisheriaUlitaka waweke wazi na hizo "credible evidence" kwani wako mahakamani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa wakili kihiyo kutoka Lumumba.Wame quote vifungu vya sheria vya kumpiga ban halafu ilipofika kwenye tamko wanasema Wana base kwenye credible information !!!! Kukitekeleza kifungu Cha sheria unatakiwa kubase kwenye credible evidence sio credible information.Trump na Pompeo wamechemka hiyo statement haina nguvu kisheria
Some people shida sana. Sheria wamekupa wao! Demokrasia wao! uliyajua haya bila wao kukutoa matongotongo? jua wako juu ya sheria!! funguka!!!Kwenye Sheria Kuna vitu viwili Kuna Credible evidence na credible information
Marekanii Walichonacho sio credible evidence Wana credible information
Statement yao kifupi eneo lenye utata hii Hapa na I quote
"Department has credible information that Makonda was involved in such violations in his capacity as the Regional Commissioner of Dar es Salaam.'
Kwa kuwa hawana credible evidence Wana tu credible information zuio lao ni null and void kisheria na halina uhalali Wala nguvu kisheria
Kwenye Sheria Kuna vitu viwili Kuna Credible evidence na credible information
Marekanii Walichonacho sio credible evidence wana credible information
Statement yao kifupi eneo lenye utata hii Hapa na I quote
"Department has credible information that Makonda was involved in such violations in his capacity as the Regional Commissioner of Dar es Salaam.'
Kwa kuwa hawana credible evidence Wana tu credible information zuio lao ni null and void kisheria na halina uhalali Wala nguvu kisheria
Hii thread umeandika ukiwa na akili zako timamu au ulikuwa ushabwia unga ?Kwenye Sheria Kuna vitu viwili Kuna Credible evidence na credible information
Marekanii Walichonacho sio credible evidence wana credible information
Statement yao kifupi eneo lenye utata hii Hapa na I quote
"Department has credible information that Makonda was involved in such violations in his capacity as the Regional Commissioner of Dar es Salaam.'
Kwa kuwa hawana credible evidence Wana tu credible information zuio lao ni null and void kisheria na halina uhalali Wala nguvu kisheria
Mmeanza kujinyea mapema hivi,subilini dawa iingie,mimi nimekujataza usifike kwangu,kunasheria gani unipangie,mlisema hamuhitaji misaada ya mabeberu,mbona leo mnapiga mayowe?Kwenye Sheria Kuna vitu viwili Kuna Credible evidence na credible information
Marekanii Walichonacho sio credible evidence wana credible information
Statement yao kifupi eneo lenye utata hii Hapa na I quote
"Department has credible information that Makonda was involved in such violations in his capacity as the Regional Commissioner of Dar es Salaam.'
Kwa kuwa hawana credible evidence Wana tu credible information zuio lao ni null and void kisheria na halina uhalali Wala nguvu kisheria
Unataka kumdhalilisha huyu asiyejitambua.YEHODAYA may be you don't know about evidence scenarios... It is from credible information that you can establish credible evidence... You cannot establish evidence without information
Jr[emoji769]
Therefore Makonda yuko free kusafirii kuingia Marekani apendavyo mpaka hapo watakapokuja kuwa na.ctedible evidence
Turuu! Mr Wizards' Presdaa! ... you are quite correct!. ''de! out going Yehodaya is Language twisting Dramatist!'' funny enough to the native speaker. ... Lool!!!!!!YEHODAYA may be you don't know about evidence scenarios... It is from credible information that you can establish credible evidence... You cannot establish evidence without information
Jr[emoji769]
Kwenye Sheria kuna vitu viwili kuna credible evidence na credible information
Marekanii walichonacho sio credible evidence wana credible information
Statement yao kifupi eneo lenye utata hii hapa, na I quote
"Department has credible information that Makonda was involved in such violations in his capacity as the Regional Commissioner of Dar es Salaam".
Kwa kuwa hawana credible evidence wana tu credible information zuio lao ni null and void kisheria na halina uhalali wala nguvu kisheria
Pigia mstari comment yako.This is just the beginning... Itakapokuja swala la mahakamani hakutakuwa tena na credible information bali credible evidence... Huwezi kuzungumzia ushahidi muda huu wakati hakuna mashtaka rasmi
Jr[emoji769]
Uko sahihi kabisa. Sasa kamwambie huyo shosti wako apande bombardier aende zake New York kutafuta mtoto mwingine... ndo wataamini kwamba sisi hatuchezewiKwenye Sheria kuna vitu viwili kuna credible evidence na credible information
Marekanii walichonacho sio credible evidence wana credible information
Statement yao kifupi eneo lenye utata hii hapa, na I quote
"Department has credible information that Makonda was involved in such violations in his capacity as the Regional Commissioner of Dar es Salaam".
Kwa kuwa hawana credible evidence wana tu credible information zuio lao ni null and void kisheria na halina uhalali wala nguvu kisheria
Wao wamesema wana 'credible information' hawajasema kama wana 'credible evidence' au hawana.
Ila msiwe na shaka, haya ndio maswali ya kuuliza mkiwa "The Hague"!
Tunza swali lako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna nchi ambazo Marekani hazipelekeshi. Brazil, katiba yao inamlinda mwananchi na chochote atakachofanyiwa nje ya Brazil. Mfano, wakati wa "vita" ya kupambana na ugaidi, iliamuliwa kila mtu akiingia Marekani akaguliwe mwili mzima pamoja na kuvuliwa mikanda na viatu! Brazil nao ikawa hivyo kwa kila raia wa Marekani atakayeingia kwao!!!! Walishuka matawi ya chini.Nasisi tumpige ban Pompeo na Trump kwa sababu hizo hizo wasituchezee hawa sisi ni Taifa huru.
Kilaza mwenzio huyo makowiseKwenye Sheria kuna vitu viwili kuna credible evidence na credible information
Marekanii walichonacho sio credible evidence wana credible information
Statement yao kifupi eneo lenye utata hii hapa, na I quote
"Department has credible information that Makonda was involved in such violations in his capacity as the Regional Commissioner of Dar es Salaam".
Kwa kuwa hawana credible evidence wana tu credible information zuio lao ni null and void kisheria na halina uhalali wala nguvu kisheria