Statement ya Marekani ya zuio kwa watanzania ina utata huu kisheria

Statement ya Marekani ya zuio kwa watanzania ina utata huu kisheria

Wame quote vifungu vya sheria vya kumpiga ban halafu ilipofika kwenye tamko wanasema Wana base kwenye credible information !!!! Kukitekeleza kifungu Cha sheria unatakiwa kubase kwenye credible evidence sio credible information.Trump na Pompeo wamechemka hiyo statement haina nguvu kisheria
Tulieni wakati waja na hauko mbali mtaonyeshwa kila kitu, zipo video footage za kuanzia msafara Dar-Dodoma na kila kilichojiri sijui mtaweka wapi nyuso zenu. Ni bora mngekaa kimya, hiyo chimbu chimbu yenu mtatoka na nyoka. Hawa jama mpaka kutoa statement ile wamekusanya ushahidi wa kutosha usiokuwa na shaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye Sheria kuna vitu viwili kuna credible evidence na credible information

Marekanii walichonacho sio credible evidence wana credible information

Statement yao kifupi eneo lenye utata hii hapa, na I quote

"Department has credible information that Makonda was involved in such violations in his capacity as the Regional Commissioner of Dar es Salaam".

Kwa kuwa hawana credible evidence wana tu credible information zuio lao ni null and void kisheria na halina uhalali wala nguvu kisheria


!
!
sasa kwa kuwa lina utata mwambie aende basi
 
Lifute basi.. Maana wewe ni Mmarekani
Kwenye Sheria kuna vitu viwili kuna credible evidence na credible information

Marekanii walichonacho sio credible evidence wana credible information

Statement yao kifupi eneo lenye utata hii hapa, na I quote

"Department has credible information that Makonda was involved in such violations in his capacity as the Regional Commissioner of Dar es Salaam".

Kwa kuwa hawana credible evidence wana tu credible information zuio lao ni null and void kisheria na halina uhalali wala nguvu kisheria

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tulieni wakati waja na hauko mbali mtaonyeshwa kila kitu, zipo video footage za kuanzia msafara Dar-Dodoma na kila kilichojiri sijui mtaweka wapi nyuso zenu. Ni bora mngekaa kimya, hiyo chimbu chimbu yenu mtatoka na nyoka. Hawa jama mpaka kutoa statement ile wamekusanya ushahidi wa kutosha usiokuwa na shaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mmmm hadithi hii alikufundisha Nani kijiwe Cha chadema mkishapuliza bangi

Say no to bangi
 
Hahahaha, hawa WAUAJI WA BEN SAANANE NA AZORY GWANDA wamekamatika sasa. Hii ni dunia tu, tuishi kwa kuheshimu haki za wengine pia.
 
Kwenye Sheria kuna vitu viwili kuna credible evidence na credible information

Marekanii walichonacho sio credible evidence wana credible information

Statement yao kifupi eneo lenye utata hii hapa, na I quote

"Department has credible information that Makonda was involved in such violations in his capacity as the Regional Commissioner of Dar es Salaam".

Kwa kuwa hawana credible evidence wana tu credible information zuio lao ni null and void kisheria na halina uhalali wala nguvu kisheria

CIA = Central Intelligence Agency na mjomba wao
MI6 = Secret Intelligence Service (Covert operations) na wenziwe wanayajua mengi ikiwa mimi na wewe tunayajua
 
Kwenye Sheria kuna vitu viwili kuna credible evidence na credible information

Marekanii walichonacho sio credible evidence wana credible information

Statement yao kifupi eneo lenye utata hii hapa, na I quote

"Department has credible information that Makonda was involved in such violations in his capacity as the Regional Commissioner of Dar es Salaam".

Kwa kuwa hawana credible evidence wana tu credible information zuio lao ni null and void kisheria na halina uhalali wala nguvu kisheria
Watalitekeleza hivo hivo.
We baki na hizo void zako hali jamaa keshapigwa pini kuingia States na hiyo itambana kupata Visa ya zaidi ya nchi 15 duniani.
 
Kwenye Sheria kuna vitu viwili kuna credible evidence na credible information

Marekanii walichonacho sio credible evidence wana credible information

Statement yao kifupi eneo lenye utata hii hapa, na I quote

"Department has credible information that Makonda was involved in such violations in his capacity as the Regional Commissioner of Dar es Salaam".

Kwa kuwa hawana credible evidence wana tu credible information zuio lao ni null and void kisheria na halina uhalali wala nguvu kisheria
Haya mwambieni Bashite akaombe VISA atapata

Sent from my Nokia 6.1 using Tapatalk
 
Makonda anatuhumiwa kwa mauaji!Hili linanitafakarisha sana,inawezekana kweli DSM inaongozwa na muuaji!
 
Kwenye Sheria kuna vitu viwili kuna credible evidence na credible information

Marekanii walichonacho sio credible evidence wana credible information

Statement yao kifupi eneo lenye utata hii hapa, na I quote

"Department has credible information that Makonda was involved in such violations in his capacity as the Regional Commissioner of Dar es Salaam".

Kwa kuwa hawana credible evidence wana tu credible information zuio lao ni null and void kisheria na halina uhalali wala nguvu kisheria

Umesahau ile station ya radio? Mbona evidence zipo nyingi tu
 
Kwenye Sheria kuna vitu viwili kuna credible evidence na credible information

Marekanii walichonacho sio credible evidence wana credible information

Statement yao kifupi eneo lenye utata hii hapa, na I quote

"Department has credible information that Makonda was involved in such violations in his capacity as the Regional Commissioner of Dar es Salaam".

Kwa kuwa hawana credible evidence wana tu credible information zuio lao ni null and void kisheria na halina uhalali wala nguvu kisheria
Akili za Ki Lumumba bana,

Hivi kukutaza wewe usije kwangu nahitaji sheria yoyote? Yaani niwe na either information au evidence au hata nisiwe navyo hata kimojawapo nikijiskia tu wewe usije kwangu nina haki na uwezo wa kukuambia.
 
Kwenye Sheria kuna vitu viwili kuna credible evidence na credible information

Marekanii walichonacho sio credible evidence wana credible information

Statement yao kifupi eneo lenye utata hii hapa, na I quote

"Department has credible information that Makonda was involved in such violations in his capacity as the Regional Commissioner of Dar es Salaam".

Kwa kuwa hawana credible evidence wana tu credible information zuio lao ni null and void kisheria na halina uhalali wala nguvu kisheria
Kwahito Zuio lao kwa makonda ni batili?? Kesho msindikize Makonda USA
 
Akili za Ki Lumumba bana,

Hivi kukutaza wewe usije kwangu nahitaji sheria yoyote? Yaani niwe na either information au evidence au hata nisiwe navyo hata kimojawapo nikijiskia tu wewe usije kwangu nina haki na uwezo wa kukuambia.
Hawa ndio akina Ole Sabaya, Mrisho gamble na Akina Happi wanajaribu kumtia moyo mpendwa wao imeshabackfire.
 
Kwenye Sheria kuna vitu viwili kuna credible evidence na credible information

Marekanii walichonacho sio credible evidence wana credible information

Statement yao kifupi eneo lenye utata hii hapa, na I quote

"Department has credible information that Makonda was involved in such violations in his capacity as the Regional Commissioner of Dar es Salaam".

Kwa kuwa hawana credible evidence wana tu credible information zuio lao ni null and void kisheria na halina uhalali wala nguvu kisheria
Kwanini Pompeo asitekwe au apewe kesi ya uhujumu uchumi na utakatishaji wa "makatazo"?
 
Back
Top Bottom