Status za WhatsApp zimekuwa njia nzuri kwa watu mnaojuana kujuzana, kuburudishana, kuelimishana, n.k. Facebook na Instagram hakuna usiri

Status za WhatsApp zimekuwa njia nzuri kwa watu mnaojuana kujuzana, kuburudishana, kuelimishana, n.k. Facebook na Instagram hakuna usiri

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Ni mara chache sana mtu atapost facebook na instagram, inaweza kuwa mara 1 kwa mwezi lakini huku status za whatsapp mtu anaweza kupost kila siku maana hata watu wanaoziona ni wale aliowasevu na anaweza kuwachuja zaidi, pia hata watu watao like ama ku comment ni siri yake sio wazi wazi.
  • Mtu akifiwa tutajua kwa haraka kupitia status
  • Mtu akipanadishwa cheo hupendelea zaidi status kupost.
  • Mtu akipata mtoto atapendelea kutumia WhatsApp status kutufahamisha kwa picha
  • Mtu akioa tutaziona video kwa status watu wake tunaomjua
  • Tunawajua hata watoto wa wenzetu wa mbali kupitia status
  • Marafiki wa zamani kam wa shule ya msingi pia inakuwa burudani kuona status zao
Kwa ufupi status zinakuwa na taarifa za mtu binafsi kuzidi hata magroup ambayo kunawatu wengine hatujuani na tusingependa mambo yetu binafsi wayaone

Imekuwa ni njia nzuri sana ya kuhabarishana, kuburudishana, kuelimishana, n.k na ni ngumu kukuta mtu anapost upuuzi maana kwenye namba alizosevu wapo hata wazazi wake.
 
Sijui hata hio status inapatikana wapi huku kwny watsup.
inngia sehemu ya status hapa, kama kuna wenzako wanapost utaziona na wewe ukitaka kuweka unaminya kwenye "my status" hapo

WhatsApp-status-section-Android.jpg
 
Wengine hata status huwa hawaweki, ila wale waliokua wanapost Facebook wamehamia WhatsApp
facebook hakuna usiri ndio maana wengi wnapost mara chache na post zinakuwa sio za maisha ya kawaida hata mtu usiemjua akiona ni poa tu.

Whasapp iko poa zaidi maana unachoposti kinafika tu kwa namba ulizosevu kwenye simu ambazo nyingi ni watu mnaojuana, pia unaweza kuchuja namba zingine zisione status zako.
 
Si anaambiwa na wengine jamaa yako kampost mtu fulani huo ujanja wa kizamani kuna jamaa alikuwa anashangaa haoni status za demu wake na sio kawaida akawauliza washikaji wenye namba za demu wake wakamwambia kuna mhuni kawekwa status , akastukia mchezo anaochezewa😀😀
Una mpost bebi alafu kwenye status privacy unamuweka aone yeye peke yake😊
 
Yes Facebook haina privacy na wachache wanalijua ilo na wasiolijua wanaishia kuaibika na kuchoreka kwenye jamii , ndo maana ulaya na US uwa hawaikubali sana, facebook uki like page za ovyo au kucomment lazima watu walio kwenye circle ya friends wanajulishwa ndo maana mimi na account mbili za fb moja kama parody la kufanyia ujinga lililo na utambulisho fake japo kwa watu wenye knowledge kubwa ya mitandao ni simple kukutambua
facebook hakuna usiri ndio maana wengi wnapost mara chache na post zinakuwa sio za maisha ya kawaida hata mtu usiemjua akiona ni poa tu.

Whasapp iko poa zaidi maana unachoposti kinafika tu kwa namba ulizosevu kwenye simu ambazo nyingi ni watu mnaojuana, pia unaweza kuchuja namba zingine zisione status zako.
 
Si anaambiwa na wengine jamaa yako kampost mtu fulani huo ujanja wa kizamani kuna jamaa alikuwa anashangaa haoni status za demu wake na sio kawaida akawauliza washikaji wenye namba za demu wake wakamwambia kuna mhuni kawekwa status , akastukia mchezo anaochezewa😀😀
Hahaha noma sana, sema mpori pori sio rahisi kushtuka
 
Kuna jamaa status huwa anapost video za xxx ana viewers zaidi ya 5000 huko kuna siku akapost screenshot ya viewers,viewers kibao na anasema kabisa kama unaona nazingua kupost X futa namba yangu lakini watu tumeng'ang'ana tu nikajua hapa njia ya mbinguni ni nyembamba sana kwa waafrica!
 
Yes Facebook haina privacy na wachache wanalijua ilo na wasiolijua wanaishia kuaibika na kuchoreka kwenye jamii , ndo maana ulaya na US uwa hawaikubali sana, facebook uki like page za ovyo au kucomment lazima watu walio kwenye circle ya friends wanajulishwa ndo maana mimi na account mbili za fb moja kama parody la kufanyia ujinga lililo na utambulisho fake japo kwa watu wenye knowledge kubwa ya mitandao ni simple kukutambua
Simu hizi huwa nawasanifu waporipori wakichangia kwenye page za hovyo huwa nacheka sana
 
Mimi nawaburudisha viewers wangu kwa nyimbo za kikongo Kila siku, tuliache hili,wakuu mwenye Guitar (sio la umeme) naomba aniuzie,Bei ya wanyonge
 
Back
Top Bottom