Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna anaelazimisha mkuu. It was just a suggestion/request. Kwanza na comment nimedelete maana hawakawii watu kuja kunishukia kama mwewe hapa.Kwanini umuanike marehemu kwa vitu ambavyo yeye
Hata sisi tuliomshabikia tulikuwa na visu shingoniAlipoona misukosuko kwa max akaona akaushe kabisa magufuli ilikua shida
Tulia weweeeOne man down!
R.I.P
Uwe makini siku nyingine ku suggest/ request vitu vya ovyo.Hakuna anaelazimisha mkuu. It was just a suggestion/request. Kwanza na comment nimedelete maana hawakawii watu kuja kunishukia kama mwewe hapa.
FUTUHIIII.Asante mkuu na wewe pia
Hebu na wewe tusitishiane amani najishusha ila naona unanipandia kichwani sasa. Humu tuko huru kuuuliza lolote sijavunja sheria hapa. Hicho kitu cha ovyo ni wewe na kichwa chako kama kimepokea na kuformat hovyo. Wangapi wanajatwa humu majina wakiwa marehemu? Ni vile nimedelete tuu kuona kuna watu kama ww wenye akili kama zako kukuza jambo na kufanya topic.Uwe makini siku nyingine ku suggest/ request vitu vya ovyo.
Hebu na wewe tusitishiane amani najishusha ila naona unanipandia kichwani sasa. Humu tuko huru kuuuliza lolote sijavunja sheria hapa. Hicho kitu cha ovyo ni wewe na kichwa chako kama kimepokea na kuformat hovyo. Wangapi wanajatwa humu majina wakiwa marehemu? Ni vile nimedelete tuu kuona kuna watu kama ww wenye akili kama zako kukuza jambo na kufanya topic.
Sijakuelewa shubiriKama kawaida yaani kama jana bandika bandua
Sijakuelewa shubiri
Soma yani toka mwanzo nimejaribu kumuelezea kwa uzuri ila naona yeye sasa ndo kawa editor wa humu JF sasa. Kila ukiandika hki anakuja na hiki.Uliniahidi kule kua mtu akikuanza wewe unamaliza , nilivosoma unamueleza mkuu kakupanda kichwani nikasema naona ameanza wewe unamaliza tu
Vyema umefuta utumbo wako,na huu nao nina Imani utaufuta kwa sababu haujiamini na una kiherehere kikubwa.Hebu na wewe tusitishiane amani najishusha ila naona unanipandia kichwani sasa. Humu tuko huru kuuuliza lolote sijavunja sheria hapa. Hicho kitu cha ovyo ni wewe na kichwa chako kama kimepokea na kuformat hovyo. Wangapi wanajatwa humu majina wakiwa marehemu? Ni vile nimedelete tuu kuona kuna watu kama ww wenye akili kama zako kukuza jambo na kufanya topic.
Sifuti na ww acha shobo zako usikurupukie watu usiowajua vizuri. Unaandika utumbo tuu... nina kiherehere nimekuandikia ww ukisome?.mm na ww nani mwenye kiherehere. Yani muda wote kumbe ndo ulikua unatype huu utumbo hapa.Vyema umefuta utumbo wako,na huu nao nina Imani utaufuta kwa sababu haujiamini na una kiherehere kikubwa.
Majina ya marehem yapo kwenye page za precision air jaribu kufatilia utayaona unaweza kugundua jina la mtu unaemfahamuTungejua jina lake member mwenzetu jamani ukute ni ndugu na jamaa tuliowazika wengine majirani zetu.
SawaMajina ya marehem yapo kwenye page za precision air jaribu kufatilia utayaona unaweza kugundua jina la mtu unaemfahamu