Stendi Kuu ya Mabasi Dodoma ni kama airport za mbele, Rais Magufuli afanya kweli

Stendi Kuu ya Mabasi Dodoma ni kama airport za mbele, Rais Magufuli afanya kweli

Kabisa mkuu ile design ni kituko sana. Halafu wao wanadai inashindana na airport sijui ya wapi-total nonsense. Dodoma na Iringa bus stand wamehemka sana aibu tupu. Si heri wangejenga simple kama ya Songea tujue moja?
Songea Msamala kile ni kituo cha kimataifa mkuu😀

Dodoma bado wana eneo kubwa sana naamini kazi haijaisha...pale wenye basi zao wakihamishia ofisi pataonekana padogo..

Everyday is Saturday...........................😎
 
Songea Msamala kile ni kituo cha kimataifa mkuu😀

Dodoma bado wana eneo kubwa sana naamini kazi haijaisha...pale wenye basi zao wakihamishia ofisi pataonekana padogo..

Everyday is Saturday...........................😎

Ninakubakubaliana na wewe mkuu Songea wamejitahidi sana. Ila Dodoma, Iringa na Kibaha wamenifanya nibadili kauli yangu kwamba haitakuwepo stand nyingine mbaya kabisa nchini kama ya Msamvu Morogoro maana wameipiga bao kwa ubaya.
 
Ni stand ya hovyo ambayo sijawahi kuiona. Landscaping na planning yake ni hovyo sana. Gari ikishusha abiria lazima irudi nyumba ili iweze kutoka. Mbwembwe nyingi sana lakini dimensionaly imefeli pakubwa
Kajenge ya kwako au hama nchi usilete ukima hapa...
 
Hongera mno kwa serikali ya awamu ya tano chini ya Rais John Pombe Magufuli.Stand ni nzuri mno na imepangwa ikapangika.Kuna waiting lounge za kutosha,ofice za wakata ticket za kutosha.HONGERA nyingi mno.

Naomba uendeshaji au management iwe ya kisasa zaidi kama kilivyo kituo chenyewe,kwa mfano sasa hivi unapigwa muziki kama wa ndani ya baa ya kangara kiasi ambacho huwezi hata kuongea na simu.Hili linakipunguzia hadhi kituo.
Duh
 
Back
Top Bottom