Stendi Kuu ya Mabasi Dodoma ni kama airport za mbele, Rais Magufuli afanya kweli

Stendi Kuu ya Mabasi Dodoma ni kama airport za mbele, Rais Magufuli afanya kweli

Naomba ukasome kitabu cha John Maxwel, HOW SUCCESSFUL PEOPLE THINK. Ukimaliza unitafute maana kichwa chako kiko empty sana.
Tofautisha vitu hivi
1. Things to work for and
2. Things to wait for
Acha hizo mkuu, usikariri, maisha hayana formular wala ulisoma vitabu vingapi. Maisha yana juhudi na kujituma huku ukiamini kile unachofanya, na sio kusoma story za wenzio ili ucopy na ku pest kwako.
Kama kusoma kwako kungekuwa kwa maana sana si ungekuwa billionaire zaidi ya Msuya, Bakhresa, Mengi nk na wala usingekuwa hapa ku type.
Nyie maskini wa mawazo ndio mnasoma theories za wenzenu. Wakati wewe una kariri theories za wenzio, wenzako wanatafuta pesa. Yule masai wa tanzanite ya b.7.8 alisoma kitabu gani? Bill Gate alisoma kitabu gani?
Ungekuwa unafikiri sawasawa usingekuwa unaishi uswahilini tanzania.
 
Acha hizo mkuu, usikariri, maisha hayana formular wala ulisoma vitabu vingapi. Maisha yana juhudi na kujituma huku ukiamini kile unachofanya, na sio kusoma story za wenzio ili ucopy na ku pest kwako.
Kama kusoma kwako kungekuwa kwa maana sana si ungekuwa billionaire zaidi ya Msuya, Bakhresa, Mengi nk na wala usingekuwa hapa ku type.
Nyie maskini wa mawazo ndio mnasoma theories za wenzenu. Wakati wewe una kariri theories za wenzio, wenzako wanatafuta pesa. Yule masai wa tanzanite ya b.7.8 alisoma kitabu gani? Bill Gate alisoma kitabu gani?
Ungekuwa unafikiri sawasawa usingekuwa unaishi uswahilini tanzania.
Ndo maana nimekuomba ukasome ili utengeneze great altitude ndani yako maana naona unaishi tu bila kuwa selective.
 
View attachment 1491881

Sasa nini cha ajabu katika hili jengo?

Hayo mataa kwenye hiyo video iliyochukuliwa usiku ndio yanakuchanganya?

Hatupingi kujenga hii stand na ni jambo jema na la kupongeza, ila tunapinga tabia yenu ya kukuza mambo kupita kiasi.

Hata UDOM au Jengo la Bunge lingejengwa awamu hii, kelele zingekuwa nyingi kupitiliza kisa ushamba wenu!!
Nendeni mkalipe kodi nasikia kijiofisi chenu kinadaiwa Kodi ya miezi 6 iliyopita
 
Mataa yamemchanganya huyo. Watu Kama hawa sokoni karume wanauziwa shati jeusi kwenye mwanga hafifu akifika nyumbani ndio anajua kaingizwa mkenge. Jamani mainjinia njoeni huku hiyo michoro vipi, ni parking ya IST au vipi. Maana sielewi gari inatokaje ikipaki hapo. Au ramani waligoogle.
Naifahamu Dodoma kuliko wote hapo, nimekuwepo hapo tangu 1990 ninachosema namaanisha, najua hata wewe unabisha tu ila unajua hakuna stand kama hii Africa mashariki na kati, haipo.
 
Ndo maana nimekuomba ukasome ili utengeneze great altitude ndani yako maana naona unaishi tu bila kuwa selective.
Mkuu, kuhusu altitude kwa upande wangu wala usihofu. Mimi natofautiana na wewe katika suala moja tu, la kukosoa kila kitu au kukosoa project nzima kwa kosa moja. Mi nafikiri, makosa unayoyaona sasa katika stand ile ni frusa baadae coz hata kwenye ujenzinwa nyumba kuna vitu huwa tuna badirisha baada ya muda so ni fursa kwa mafundi lakini sio kosa. Nakushauri acha tabia ya kuona kila usichokipenda wewe ni kibaya na hakifai, sababu tumetofautiana mawazo na fikra. Kama engineer ali design vile na serikali ikakubari kosa lipo wapi? walikubali kutokana na mahitaji yao na sio yako wewe.
Na ngoja nikufundishe mr. smart, huwezi kumridhisha kila mtu katika maisha so fanya kile unacho amini na ambacho hakitamuudhi au kumvunjia heshima mwenzio. Nafikiri hivyo vitabu vimekufundisha vizuri. Huwezi kumvunjia heshima engineer mwezio eti coz hajafikia expectations zako ndio umtoe akili kiasi kile. Hiyo sio professionalism kabisa. Hujauliza hata kwa nini walifanya hivyo. Change your altitude mkuu.
 
Mkuu, kuhusu altitude kwa upande wangu wala usihofu. Mimi natofautiana na wewe katika suala moja tu, la kukosoa kila kitu au kukosoa project nzima kwa kosa moja. Mi nafikiri, makosa unayoyaona sasa katika stand ile ni frusa baadae coz hata kwenye ujenzinwa nyumba kuna vitu huwa tuna badirisha baada ya muda so ni fursa kwa mafundi lakini sio kosa. Nakushauri acha tabia ya kuona kila usichokipenda wewe ni kibaya na hakifai, sababu tumetofautiana mawazo na fikra. Kama engineer ali design vile na serikali ikakubari kosa lipo wapi? walikubali kutokana na mahitaji yao na sio yako wewe.
Na ngoja nikufundishe mr. smart, huwezi kumridhisha kila mtu katika maisha so fanya kile unacho amini na ambacho hakitamuudhi au kumvunjia heshima mwenzio. Nafikiri hivyo vitabu vimekufundisha vizuri. Huwezi kumvunjia heshima engineer mwezio eti coz hajafikia expectations zako ndio umtoe akili kiasi kile. Hiyo sio professionalism kabisa. Hujauliza hata kwa nini walifanya hivyo. Change your altitude mkuu.
Sasa mbona unakataa kusema mapungufu ambayo yapo. Limitation katika ulimwengu huu ni uwezo wako wa kufikiri unapoishia hiyo ndiyo limitation yako.
 
Wamejitahidi kiasi chake, ila haifanani na airport... ni kituo cha mabasi cha kawaida kabisa. Bado kuna maboresho yanatakiwa kufanywa hasa kwenye eneo la kushukia abiria kutoka kwenye basi kwenda kwenye jengo, kwa hali ilivyo sasa abiria akishuka wakati wa mvua ni shida..... Wafikirie kuweka madaraja ili abiria akitoka kwenye basi aingie kwenye mjengo ndani kwa ndani, kwa kufanya hivyo angalau tutapata picha ya airport!.
 
Mhe. Rais Magufuli inatosha, wapinzani watakufa kwa presha jamani. Millard Ayo aimulika kila kona, angalia hapa. Kadi za CCM zipo kila shina, mwone kiongozi wa shina katika mtaa wako

Mujitu mishamba kutoka kolomije utaijua tu
 
Mhe. Rais Magufuli inatosha, wapinzani watakufa kwa presha jamani. Millard Ayo aimulika kila kona, angalia hapa. Kadi za CCM zipo kila shina, mwone kiongozi wa shina katika mtaa wako

Milard Ayo anatafuta ubunge wa Rombo ila anakwenda kushindwa na dogo wa CHADEMA kama mnavyojua.
 
Mhe. Rais Magufuli inatosha, wapinzani watakufa kwa presha jamani. Millard Ayo aimulika kila kona, angalia hapa. Kadi za CCM zipo kila shina, mwone kiongozi wa shina katika mtaa wako
Hivi airport za ughaibuni unazifahamu kweli wewe?? Usizilinganishe na huo ujinga wako
 
Tuache kujidanganya, hii stendi unaweza kuifananisha na airport gani? Kuwa mwana CCM lazima uwe zezeta, kazi yako ni kusifu na kuabudu bila kufanya reasoning ya kile unachokisifu na kukiabudia
Unapataje nguvu ya kuandika kuhusu ccm hata ofisi ya chama chadema kama uwanja wa namfua singida huoni aibu hl huwezi kwenda kumwambia mwamba faru john mbowe
 
Back
Top Bottom