Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha wivu wewe Freeman Mbowe, kwanza umesikia pombe zimezuiliwa bongo? Nakutania bana ucje ukafa bureNi stand ya hovyo ambayo sijawahi kuiona. Landscaping na planning yake ni hovyo sana. Gari ikishusha abiria lazima irudi nyumba ili iweze kutoka. Mbwembwe nyingi sana lakini dimensionaly imefeli pakubwa
Hilo ndilo jambo litawafanya wapinzani muishi kwa msongo mpaka kiama hapa Tanzania. Mnakosa maarifa ya kuwavuta wengi wasio upande wenu ili wawaunge mkono! Kazi yenu mnabaki kuwatukana. Hivi unadhani una mtu anaweza kuvutiwa kuja upande wako kwa matusi, dharau na mihemuko?Tuache kujidanganya, hii stendi unaweza kuifananisha na airport gani? Kuwa mwana CCM lazima uwe zezeta, kazi yako ni kusifu na kuabudu bila kufanya reasoning ya kile unachokisifu na kukiabudia
Makamanda njooni huku😂😂😂😂Ufisadi ukidhibitiwa sawasawa hata Chadema watajenga Ofsi za Chama nchi nzima tena za kisasa kabisa
Kila mahali wapi mwaiona hiyo mijengo ya kisasa? Kupita barabarani tuu tayari ulishajua hata msikiti ndani humo umejengwaje?Hiyo stand mbona ni ya kawaida tu?Mimi tangu inajengwa mpaka inakamilika karibu kila siku napita mitaa hapo ambapo ni jirani kabisa na barabara kuu ya Dar to Dodoma.
Haina tofauti na mijengo mingine ya kisasa tunayoiona kila mahali leo hii.
Ushauri mzuri.Wangeweza hata surveillance cameras Kwa ajili ya usalama na kukamata wadokozi
Hilo umenena, ngoja mkurugenzi wa takukuru amalize kazi yake. Kila msingi wa CHADEMA utakuwa na ofisi nzuri.Ufisadi ukidhibitiwa sawasawa hata Chadema watajenga Ofsi za Chama nchi nzima tena za kisasa kabisa
kwahiyo unataka kusema kwamba miaka yote hiyo ambayo hii miradi haikujengwa wapinzani ndio walikua madarakani? sasa hivi ndio imeingia ccm sasa kuprove au vipi?Mh Rais Magufuli inatosha, wapinzani watakufa kwa presha jamani. Millard Ayo aimulika kila kona, angalia hapa. Kadi za CCM zipo kila shina, mwone kiongozi wa shina ktk mtaa wako
Kiukweli stendi ni nzuri sana ila Hilo suala la basi ikishusha au kupakia abiria lazima irudi nyuma nimeliona na kwakweli sijui watalaam wetu/designers hawakuona au makusudi. Nilitarajia gari wakati wa kutoka iende mbele na sio kuanza kurudi riverseAcha wivu wewe Freeman Mbowe, kwanza umesikia pombe zimezuiliwa bongo? Nakutania bana ucje ukafa bure
Kwanza nashangaa muonekano wa hilo jengo na sifa zilizokuwa zinatolewa kabla ya kuanza kujengwa maana ni la kawaida tu na ukubwa wa eneo haongezi ubora wa jengo hivyo msichanganye mambo kama baadhi ya watu wanavyochanganya.Kila mahali wapi mwaiona hiyo mijengo ya kisasa? Kupita barabarani tuu tayari ulishajua hata msikiti ndani humo umejengwaje?
reverse.Kiukweli stendi ni nzuri sana ila Hilo suala la basi ikishusha au kupakia abiria lazima irudi nyuma nimeliona na kwakweli sijui watalaam wetu/designers hawakuona au makusudi. Nilitarajia gari wakati wa kutoka iende mbele na sio kuanza kurudi riverse
Hivi Mbowe amejenga hata mfereji wa maji taka magetoni kwake?😂Stand ya kishamba Tu ni kama pale ubungo fyl over hakuna lolote jipya
Angalia video kwanza au umeshapiga faru joni? Mpe hi DJ GambeKwanza nashangaa muonekano wa hilo jengo na sifa zilizokuwa zinatolewa kabla ya kuanza kujengwa maana ni la kawaida tu na ukubwa wa eneo haongezi ubora wa jengo hivyo msichanganye mambo kama baadhi ya watu wanavyochanganya.
Hata Soko la Ndugai lilojengwa jirani na stand hii mjengo wake nao ni wa kawaida tu hivyo hakuna cha kushangaza au ambacho ni very special katika majengo haya.
Angalia video kwanza au umeshapiga faru joni? Mpe hi DJ Gambe
Mkuu hili siyo tatizo saana, maana hata huko kwaa wakoloni nimewahi kukutana na aina hii ya stand yaani bus linaingia kupakia, kushusha alafu linarudi nyuma then mnasonga.Gari ikishusha abiria lazima irudi nyumba ili iweze kutoka