Stendi Kuu ya Mabasi Dodoma ni kama airport za mbele, Rais Magufuli afanya kweli

Stendi Kuu ya Mabasi Dodoma ni kama airport za mbele, Rais Magufuli afanya kweli

Ni stand ya hovyo ambayo sijawahi kuiona. Landscaping na planning yake ni hovyo sana. Gari ikishusha abiria lazima irudi nyumba ili iweze kutoka. Mbwembwe nyingi sana lakini dimensionaly imefeli pakubwa
[/QUOTE
Umetumia maneno makali sana..kina vitu vingi sana vizuri vinefanyika ambavyo vinaweza account walau 80-85% ya ubora kati ya 100%..wanahitaji pongezi kwa kweli.

Then ungeshauri kitaalam na kwa hekima mawazo yako elekezi ya nini unadhani kifanyike ili kuiboresha, tunatakiwa tuipende hii nchi, bila kuweka chochote mbele, hata wanasiasa waelewe,watanzania wanaipenda nchi yao na hawana na hawataki mchezo na maslahi ya nchi, kuheshimiana kutaanzia hapo!
 
Mh Rais Magufuli inatosha, wapinzani watakufa kwa presha jamani. Millard Ayo aimulika kila kona, angalia hapa. Kadi za CCM zipo kila shina, mwone kiongozi wa shina ktk mtaa wako
Watanzania sio wastaarabu kwenye siasa tu. Nakuambia watanyea hivyo vidude vya kukojolea, watatupa makopo kwenye vyoo, wataiba mabomba na masinki ya chooni!
 
Mawakala wa Chadema mna kazi sana. Upinzani umeshindwa kuwaunganisha Watanzania wawe kitu kimoja ili kurahisisha ushindi kwenye chaguzi badala yake mnawatukana walio na itikadi tofauti na nyie kwamba ni mazezeta, unategemea kuvuna kitu gani kama wengi na usiowataka ni mazezeta?
Wanahisi watakubadilisha wakikuita zezeta
 
Tuache kujidanganya, hii stendi unaweza kuifananisha na airport gani? Kuwa mwana CCM lazima uwe zezeta, kazi yako ni kusifu na kuabudu bila kufanya reasoning ya kile unachokisifu na kukiabudia
Ushamwita zezeta afu unategemea kura zake nyumbu mshike madaraka.
Unadhan atawachagua?
 
Tatizo ni Utunzaji. Watanzania si wastaarabu labda kwa fimbo
Maintenance ni ngumu SANA...sijui kwanini?
Watakusanya mapato lakini hawatajiwekea fungu la maintenance...vyoo vipe miezi miwili mitatu vyoo vitafungwa, maji tiririka kila mahali..

Everyday is Saturday........................... 😎
 
Tatizo laanza na sisi watumiaji hatujali
Maintenance ni ngumu SANA...sijui kwanini?
Watakusanya mapato lakini hawatajiwekea fungu la maintenance...vyoo vipe miezi miwili mitatu vyoo vitafungwa, maji tiririka kila mahali..

Everyday is Saturday........................... 😎
 
Ni stand ya hovyo ambayo sijawahi kuiona. Landscaping na planning yake ni hovyo sana. Gari ikishusha abiria lazima irudi nyumba ili iweze kutoka. Mbwembwe nyingi sana lakini dimensionaly imefeli pakubwa
ujinga mtupu, unawaona waliotengeneza gari na kuweka reverse gear ni wajinga kama wewe? Mbona hata ndege huwa zinarudi nyuma baada ya kupakia au kushusha?
 
Tatizo ni Utunzaji. Watanzania si wastaarabu labda kwa fimbo
Hahaha wewe vipi mbona tena unaleta habari za kuchapana fimbo binadamu.

Wewe unachapwa hapo ulipo?! Au wewe siyo mtanzania?!

Unasema Watanzania sio wastaarabu, nani awe anatuchapa viboko sasa?!

Na ukichapwa bila kufundishwa unaelewaje?!

Mi nadhani ungeomba wasioelewa wafundishwe au waelekezwe, sio kuchapwa viboko.
Tuna background na experience tofauti, hata exposure pia, lakini tunafundishika, sio kuchapana fimbo.

Wewe unapokosea ukichapwa utafurahi?!
 
Tuache kujidanganya, hii stendi unaweza kuifananisha na airport gani? Kuwa mwana CCM lazima uwe zezeta, kazi yako ni kusifu na kuabudu bila kufanya reasoning ya kile unachokisifu na kukiabudia
Utafariki kwa wivu.
 
ujinga mtupu, unawaona waliotengeneza gari na kuweka reverse gear ni wajinga kama wewe? Mbona hata ndege huwa zinarudi nyuma baada ya kupakia au kushusha?
Sina haja ya kubishana na wewe. Maana hujui taaluma ya traffic management, kwa nn U turn huwa chache katika barabara yoyote ile. Wala hujui traffic conflict. Kwa nn utengeneze diverging na merging conflict kwa wakati moja kwenye parking. Hizo delay zinazotokea ni za nani? Gari kuwa na reverse gia siyo kwamba muda wote itumike.
Endeleeni kusifu kwa kila jambo.
Kwa Tanzania hii stand bora ni ya Morogoro na Singida, layout yake iko poa sana
 
Tuache kujidanganya, hii stendi unaweza kuifananisha na airport gani? Kuwa mwana CCM lazima uwe zezeta, kazi yako ni kusifu na kuabudu bila kufanya reasoning ya kile unachokisifu na kukiabudia
Mzee Roho inakuuma ?
Kubali yaishe Magu siyo saizi yako. Msukuma wa chato anatwanga kisawasawa. Mingumi itakumaliza bado SGR.
 
Nimependa walivyoweka sehemu za kuabudia, ila mh rais kanikwaza kuruhusu wamachinga humo,
 
Mh Rais Magufuli inatosha, wapinzani watakufa kwa presha jamani. Millard Ayo aimulika kila kona, angalia hapa. Kadi za CCM zipo kila shina, mwone kiongozi wa shina ktk mtaa wako

Kwa ujinga wako unataka wapinzani nao wangejenga! Wewe na shangazi yako mnawapa kodi zenu wapinzani.
 
Tuache kujidanganya, hii stendi unaweza kuifananisha na airport gani? Kuwa mwana CCM lazima uwe zezeta, kazi yako ni kusifu na kuabudu bila kufanya reasoning ya kile unachokisifu na kukiabudia
Vp Mzee Baba unakerwa na maendeleo...
 
Sina haja ya kubishana na wewe. Maana hujui taaluma ya traffic management, kwa nn U turn huwa chache katika barabara yoyote ile. Wala hujui traffic conflict. Kwa nn utengeneze diverging na merging conflict kwa wakati moja kwenye parking. Hizo delay zinazotokea ni za nani? Gari kuwa na reverse gia siyo kwamba muda wote itumike.
Endeleeni kusifu kwa kila jambo.
Kwa Tanzania hii stand bora ni ya Morogoro na Singida, layout yake iko poa sana
Hata ya moro ina sehemu ambazo parking yake lazima urudi nyuma ili utoke. ila kuna zile za kushusha na kuondoka.
Sidhani kama wewe unajua sana kuliko waliotengeneza hizo parking la sivyo wangekuita wewe ukatolee hiyo michoro.
Waliotengeza hapo sio ccm wala serikali, ni engineers wenzio wanaojua kama, serikali ni facilitator tu.
Km unajua ilikuwaje ukakosa hiyo tenda? Ni vizuri ungejua kipi kilipelekea hadi wakajenga. Najua katika engineering kuna factors nyingi utumika na hasa data za traffic flow, eneo na projection ya traffic after some years.
Sioni sababu ya wewe kulalamika.kama uliomba tenda na kunyimwa.
 
Tuache kujidanganya, hii stendi unaweza kuifananisha na airport gani? Kuwa mwana CCM lazima uwe zezeta, kazi yako ni kusifu na kuabudu bila kufanya reasoning ya kile unachokisifu na kukiabudia
MATAGA wanasifia hata mtu aki-puu watasema ana puu nzuri kuliko zozote duniani.
 
Sina haja ya kubishana na wewe. Maana hujui taaluma ya traffic management, kwa nn U turn huwa chache katika barabara yoyote ile. Wala hujui traffic conflict. Kwa nn utengeneze diverging na merging conflict kwa wakati moja kwenye parking. Hizo delay zinazotokea ni za nani? Gari kuwa na reverse gia siyo kwamba muda wote itumike.
Endeleeni kusifu kwa kila jambo.
Kwa Tanzania hii stand bora ni ya Morogoro na Singida, layout yake iko poa sana
MATAGA wil never understand what you are saying
 
Hata ya moro ina sehemu ambazo parking yake lazima urudi nyuma ili utoke. ila kuna zile za kushusha na kuondoka.
Sidhani kama wewe unajua sana kuliko waliotengeneza hizo parking la sivyo wangekuita wewe ukatolee hiyo michoro.
Waliotengeza hapo sio ccm wala serikali, ni engineers wenzio wanaojua kama, serikali ni facilitator tu.
Km unajua ilikuwaje ukakosa hiyo tenda? Ni vizuri ungejua kipi kilipelekea hadi wakajenga. Najua katika engineering kuna factors nyingi utumika na hasa data za traffic flow, eneo na projection ya traffic after some years.
Sioni sababu ya wewe kulalamika.kama uliomba tenda na kunyimwa.
Naomba ukasome kitabu cha John Maxwel, HOW SUCCESSFUL PEOPLE THINK. Ukimaliza unitafute maana kichwa chako kiko empty sana.
Tofautisha vitu hivi
1. Things to work for and
2. Things to wait for
 
Back
Top Bottom