Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 8,013
- 14,263
kodi zetu hizo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu naomba tuheshimiane. Sina maisha ya kupuuzi. Tusilete siasa kwa jambo la Kihandisi.Acha wivu wewe Freeman Mbowe, kwanza umesikia pombe zimezuiliwa bongo? Nakutania bana ucje ukafa bure
Kwani nimefanyaje ndugu Mbowe? Mbona unapandisha mori? Au hujapata faru John leo?Mkuu naomba tuheshimiane. Sina maisha ya kupuuzi. Tusilete siasa kwa jambo la Kihandisi.
Jibu hoja acha kuongea lugha ya jikoni ya akina mama kuunguza mboga.Mawakala wa Chadema mna kazi sana. Upinzani umeshindwa kuwaunganisha Watanzania wawe kitu kimoja ili kurahisisha ushindi kwenye chaguzi badala yake mnawatukana walio na itikadi tofauti na nyie kwamba ni mazezeta, unategemea kuvuna kitu gani kama wengi na usiowataka ni mazezeta?
Terminal III ipo kama hiyoTuache kujidanganya, hii stendi unaweza kuifananisha na airport gani? Kuwa mwana CCM lazima uwe zezeta, kazi yako ni kusifu na kuabudu bila kufanya reasoning ya kile unachokisifu na kukiabudia
Acha uongo wee chaliiMh Rais Magufuli inatosha, wapinzani watakufa kwa presha jamani. Millard Ayo aimulika kila kona, angalia hapa. Kadi za CCM zipo kila shina, mwone kiongozi wa shina ktk mtaa wako
Na ile inayojengwa ngangamfumoni moshi ikikamilika sijui mtafananisha na niniMh Rais Magufuli inatosha, wapinzani watakufa kwa presha jamani. Millard Ayo aimulika kila kona, angalia hapa. Kadi za CCM zipo kila shina, mwone kiongozi wa shina ktk mtaa wako
Tatizo hawaelewi na nyingine mikopoKODI ZETU HIZI
Vile vyoo vya msamvu yaani ukishuka na gari pale hiyo nyomi kwanza inayogombania kiingia humo doo ni shida wangeongeza vyoo vingine kwa kweliKaangalie Msamvu. Kaanze na vyoo utajua Watz si watu
kuna tatizo gani basi kurudi reverse? si ndio maana magari yana reverse sababu hiyo ama? yani katika point zote mnaona hii ndo point watanzania nani kawarogaKiukweli stendi ni nzuri sana ila Hilo suala la basi ikishusha au kupakia abiria lazima irudi nyuma nimeliona na kwakweli sijui watalaam wetu/designers hawakuona au makusudi. Nilitarajia gari wakati wa kutoka iende mbele na sio kuanza kurudi riverse
Mkuu binafsi nimesema hiyo stendi ni nzuri sana lkn hiyo haizuii mtu kukosoa mapungufu. Mapungufu ndio kujifunza siku zijazo.kuna tatizo gani basi kurudi reverse? si ndio maana magari yana reverse sababu hiyo ama? yani katika point zote mnaona hii ndo point watanzania nani kawaroga
Mataa yamemchanganya huyo. Watu Kama hawa sokoni karume wanauziwa shati jeusi kwenye mwanga hafifu akifika nyumbani ndio anajua kaingizwa mkenge. Jamani mainjinia njoeni huku hiyo michoro vipi, ni parking ya IST au vipi. Maana sielewi gari inatokaje ikipaki hapo. Au ramani waligoogle.View attachment 1491881
Sasa nini cha ajabu katika hili jengo?
Hayo mataa kwenye hiyo video iliyochukuliwa usiku ndio yanakuchanganya?
Hatupingi kujenga hii stand na ni jambo jema na la kupongeza, ila tunapinga tabia yenu ya kukuza mambo kupita kiasi.
Hata UDOM au Jengo la Bunge lingejengwa awamu, hii kelele zingekuwa nyingi kupitiliza kisa ushamba wenu!!
Mh Rais Magufuli inatosha, wapinzani watakufa kwa presha jamani. Millard Ayo aimulika kila kona, angalia hapa. Kadi za CCM zipo kila shina, mwone kiongozi wa shina ktk mtaa wako
Hilo jina lako linasadifu ubongo wako tukiondoa neno pilipiliJibu hoja acha kuongea lugha ya jikoni ya akina mama kuunguza mboga.
Hakuna Jambo jipya linalotekelezwa na serikali ambalo upinzani hakulipigia debe bungeni toka enzi za bunge la Tisa Hadi la kumi la spika la mama Makinda hoja zote walizozipigia kelele wakati huo ndo Rais anazifanyia kaz ni hoja za wapinzani ndo ccm.wanajinadi nazo uwe na kumbuka kuanzia 2015 Hadi 1992 utanielewa nautaelewa taifa lipo wap kwa sasaMawakala wa Chadema mna kazi sana. Upinzani umeshindwa kuwaunganisha Watanzania wawe kitu kimoja ili kurahisisha ushindi kwenye chaguzi badala yake mnawatukana walio na itikadi tofauti na nyie kwamba ni mazezeta, unategemea kuvuna kitu gani kama wengi na usiowataka ni mazezeta?