Songea Msamala kile ni kituo cha kimataifa mkuu😀Kabisa mkuu ile design ni kituko sana. Halafu wao wanadai inashindana na airport sijui ya wapi-total nonsense. Dodoma na Iringa bus stand wamehemka sana aibu tupu. Si heri wangejenga simple kama ya Songea tujue moja?
Songea Msamala kile ni kituo cha kimataifa mkuu😀
Dodoma bado wana eneo kubwa sana naamini kazi haijaisha...pale wenye basi zao wakihamishia ofisi pataonekana padogo..
Everyday is Saturday...........................😎
Huo ndio ujinga wa hali ya juu kabisaMagufuli aliwaruhusu kufanya biashara kama kawaida.
Kajenge ya kwako au hama nchi usilete ukima hapa...Ni stand ya hovyo ambayo sijawahi kuiona. Landscaping na planning yake ni hovyo sana. Gari ikishusha abiria lazima irudi nyumba ili iweze kutoka. Mbwembwe nyingi sana lakini dimensionaly imefeli pakubwa
Kama hutaki kutoa kodi nenda ukaishi Antarctica....KODI ZETU HIZI
Kama unakuwa huna hoja ni Bora ukanyamaza.Kajenge ya kwako au hama nchi usilete ukima hapa...
Wapi ulitoa hoja?...Kama unakuwa huna hoja ni Bora ukanyamaza.
Kumtukana mwenzako ni ukosefu ni matokea ya uelewa duni.
Tafadhali ujiheshimu Sana.
Boya katika ubora wako, hongera kwa kuchagua UJINGA 🤣🤣🤣Kama hutaki kutoa kodi nenda ukaishi Antarctica....
DuhHongera mno kwa serikali ya awamu ya tano chini ya Rais John Pombe Magufuli.Stand ni nzuri mno na imepangwa ikapangika.Kuna waiting lounge za kutosha,ofice za wakata ticket za kutosha.HONGERA nyingi mno.
Naomba uendeshaji au management iwe ya kisasa zaidi kama kilivyo kituo chenyewe,kwa mfano sasa hivi unapigwa muziki kama wa ndani ya baa ya kangara kiasi ambacho huwezi hata kuongea na simu.Hili linakipunguzia hadhi kituo.