sundoka
JF-Expert Member
- Oct 9, 2011
- 2,067
- 2,759
Hiyo stend yenyewe ya Kyakairabwa ni vichekesho tu ukilinganisha na stend za kisasa zinazijengwa sasa hivi mikoaniHiv kule kyakairabwa si walishaweka lami. Kwan nini wasiiamishie kule hata kama haijaisha kama walivyofanya tanga.
Bukoba sijui tatizo huwa ni nini