Kariobangi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2022
- 480
- 435
Mbona wa siku nyingi huoMagugu!!!! huo mji ni mpya Nini mkuu?
Nenda babati utaukuta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona wa siku nyingi huoMagugu!!!! huo mji ni mpya Nini mkuu?
Sawa!!Mbona wa siku nyingi huo
Nenda babati utaukuta
Stendi mpya ya mabasi ya Nyegezi jijini Mwanza imeanza kazi rasmi leo tarehe 5/6/2023 huku uzuri wake ukiwaacha hoi wananchi na kusema iko vizuri zaidi ya viwanja vingi vya ndege.
Ikumbukwe jiwe la msingi la ujenzi wa stendi hii liliwekwa na aliyekuwa Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli, hivyo wananchi wamemlilia tena kwenye uzinduzi wa stendi hii na kusema bila Magufuli kuwa Rais huenda ingewachukua miaka 50 kwa jiji la Mwanza kujengewa stendi nzuri kiasi hiki.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] pole yakeHizi nyuzi zenu ndio zinafanya Namba moja alale na ushungi.
Wanakula kwa urefu wa kamba zaoWanayotoza kwa huduma ya kunya na kukojoa hawatumii fungu kufanya malekebisho?
Stendi mpya ya mabasi ya Nyegezi jijini Mwanza imeanza kazi rasmi leo tarehe 5/6/2023 huku uzuri wake ukiwaacha hoi wananchi na kusema iko vizuri zaidi ya viwanja vingi vya ndege.
Ikumbukwe jiwe la msingi la ujenzi wa stendi hii liliwekwa na aliyekuwa Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli, hivyo wananchi wamemlilia tena kwenye uzinduzi wa stendi hii na kusema bila Magufuli kuwa Rais huenda ingewachukua miaka 50 kwa jiji la Mwanza kujengewa stendi nzuri kiasi hiki.
Stendi mpya ya mabasi ya Nyegezi jijini Mwanza imeanza kazi rasmi leo tarehe 5/6/2023 huku uzuri wake ukiwaacha hoi wananchi na kusema iko vizuri zaidi ya viwanja vingi vya ndege.
Ikumbukwe jiwe la msingi la ujenzi wa stendi hii liliwekwa na aliyekuwa Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli, hivyo wananchi wamemlilia tena kwenye uzinduzi wa stendi hii na kusema bila Magufuli kuwa Rais huenda ingewachukua miaka 50 kwa jiji la Mwanza kujengewa stendi nzuri kiasi hiki.
Tulijua tu wachaga wataumia na maendeleo ya MwanzaWatu wa mwanza ni washamba sana. Yani kimsingi mwanza bado kuna hulka za bush tupu. Sasa hicho ni kitu cha kurukaruka? Kushangaa?[emoji23][emoji23] Kwanza mabasi yenyewe ya hovyohovyo tu.
Tulijua tu wachaga wataumia na maendeleo ya Mwanza, mtakoma na kimanispaa chenu kilichodumaa.Wasukuma buana, eti zaidi ya airport...
Stendi mpya ya mabasi ya Nyegezi jijini Mwanza imeanza kazi rasmi leo tarehe 5/6/2023 huku uzuri wake ukiwaacha hoi wananchi na kusema iko vizuri zaidi ya viwanja vingi vya ndege.
Ikumbukwe jiwe la msingi la ujenzi wa stendi hii liliwekwa na aliyekuwa Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli, hivyo wananchi wamemlilia tena kwenye uzinduzi wa stendi hii na kusema bila Magufuli kuwa Rais huenda ingewachukua miaka 50 kwa jiji la Mwanza kujengewa stendi nzuri kiasi hiki.
Kufanya nini?Kwahiyo umehamia hapo!
Wachaga waliwala babu zenu au? Arusha kwani ni kwa wachaga? Acheni ushamba ndio maana mnadharaulika. Wachagga wa watu hawana ata muda na nyie ila nyie kutwa kuwasimanga na kuwabagua. Hayo nayo maendeleo kwa akili zenu? 2023?Tulijua tu wachaga wataumia na maendeleo ya Mwanza
Wachaga na kimanispaa chao kilichodumaa wanawivu sana na maendeleo ya WasukumaWachaga waliwala babu zenu au? Arusha kwani ni kwa wachaga? Acheni ushamba ndio maana mnadharaulika. Wachagga wa watu hawana ata muda na nyie ila nyie kutwa kuwasimanga na kuwabagua. Hayo nayo maendeleo kwa akili zenu? 2023?
Arusha kuna makabila ya waarusha na wameru ficha ujinga na ujuha mshamba wa kisukuma.Wachaga na kimanispaa chao kilichodumaa wanawivu sana na maendeleo ya Wasukuma
moshi stend yao bado haijakamilika kwaniWachaga na kimanispaa chao kilichodumaa wanawivu sana na maendeleo ya Wasukuma
Wasukuma washamba sana achana nao.moshi stend yao bado haijakamilika kwani