Stendi mpya ya mabasi Nyegezi yaanza kazi, ni zaidi ya Airport

Stendi mpya ya mabasi Nyegezi yaanza kazi, ni zaidi ya Airport

Stendi mpya ya mabasi ya Nyegezi jijini Mwanza imeanza kazi rasmi leo tarehe 5/6/2023 huku uzuri wake ukiwaacha hoi wananchi na kusema iko vizuri zaidi ya viwanja vingi vya ndege.

Ikumbukwe jiwe la msingi la ujenzi wa stendi hii liliwekwa na aliyekuwa Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli, hivyo wananchi wamemlilia tena kwenye uzinduzi wa stendi hii na kusema bila Magufuli kuwa Rais huenda ingewachukua miaka 50 kwa jiji la Mwanza kujengewa stendi nzuri kiasi hiki.


Hizi nyuzi zenu ndio zinafanya Namba moja alale na ushungi.
 
Stendi mpya ya mabasi ya Nyegezi jijini Mwanza imeanza kazi rasmi leo tarehe 5/6/2023 huku uzuri wake ukiwaacha hoi wananchi na kusema iko vizuri zaidi ya viwanja vingi vya ndege.

Ikumbukwe jiwe la msingi la ujenzi wa stendi hii liliwekwa na aliyekuwa Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli, hivyo wananchi wamemlilia tena kwenye uzinduzi wa stendi hii na kusema bila Magufuli kuwa Rais huenda ingewachukua miaka 50 kwa jiji la Mwanza kujengewa stendi nzuri kiasi hiki.


Lakini mabasi si yanaingia yaleyale?
 
Stendi mpya ya mabasi ya Nyegezi jijini Mwanza imeanza kazi rasmi leo tarehe 5/6/2023 huku uzuri wake ukiwaacha hoi wananchi na kusema iko vizuri zaidi ya viwanja vingi vya ndege.

Ikumbukwe jiwe la msingi la ujenzi wa stendi hii liliwekwa na aliyekuwa Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli, hivyo wananchi wamemlilia tena kwenye uzinduzi wa stendi hii na kusema bila Magufuli kuwa Rais huenda ingewachukua miaka 50 kwa jiji la Mwanza kujengewa stendi nzuri kiasi hiki.


Watu wa mwanza ni washamba sana. Yani kimsingi mwanza bado kuna hulka za bush tupu. Sasa hicho ni kitu cha kurukaruka? Kushangaa?😂😂 Kwanza mabasi yenyewe ya hovyohovyo tu.
 
Watu wa mwanza ni washamba sana. Yani kimsingi mwanza bado kuna hulka za bush tupu. Sasa hicho ni kitu cha kurukaruka? Kushangaa?[emoji23][emoji23] Kwanza mabasi yenyewe ya hovyohovyo tu.
Tulijua tu wachaga wataumia na maendeleo ya Mwanza
 
Wasukuma buana, eti zaidi ya airport...
 
Stendi mpya ya mabasi ya Nyegezi jijini Mwanza imeanza kazi rasmi leo tarehe 5/6/2023 huku uzuri wake ukiwaacha hoi wananchi na kusema iko vizuri zaidi ya viwanja vingi vya ndege.

Ikumbukwe jiwe la msingi la ujenzi wa stendi hii liliwekwa na aliyekuwa Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli, hivyo wananchi wamemlilia tena kwenye uzinduzi wa stendi hii na kusema bila Magufuli kuwa Rais huenda ingewachukua miaka 50 kwa jiji la Mwanza kujengewa stendi nzuri kiasi hiki.


Kwahiyo umehamia hapo!
 
Hii stand kama imejengwa pale pale ilipokuwepo stand ya zamani kwa maoni yangu naona ni padogo na baada ya miaka kumi patakuwa hapatoshi. Kwa nini waliendelea kupang'angania pale Nyegezi badala ya kutafuta eneo kubwa?

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Tulijua tu wachaga wataumia na maendeleo ya Mwanza
Wachaga waliwala babu zenu au? Arusha kwani ni kwa wachaga? Acheni ushamba ndio maana mnadharaulika. Wachagga wa watu hawana ata muda na nyie ila nyie kutwa kuwasimanga na kuwabagua. Hayo nayo maendeleo kwa akili zenu? 2023?
 
Wachaga waliwala babu zenu au? Arusha kwani ni kwa wachaga? Acheni ushamba ndio maana mnadharaulika. Wachagga wa watu hawana ata muda na nyie ila nyie kutwa kuwasimanga na kuwabagua. Hayo nayo maendeleo kwa akili zenu? 2023?
Wachaga na kimanispaa chao kilichodumaa wanawivu sana na maendeleo ya Wasukuma
 
Back
Top Bottom