Stendi mpya ya mabasi Nyegezi yaanza kazi, ni zaidi ya Airport

Stendi mpya ya mabasi Nyegezi yaanza kazi, ni zaidi ya Airport

Msamvu ni kibanda tu kwa sasa,Mwanza wanavyuma 2 vikali sana Nyamongolo Bus Terminal na hii Nyegezi.

Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
Morogoro ni kati kati, haihitaji stendi 2 maana magari yote lazima yapite hapo

Mwanza ni Start na Final Destination hivyo isingekuwa vyema gari zitoke Nyegezi kwenda Musoma au Mhongoro kwenda Sengerema
 
Hatuwezi kusahau ukatili wa yule mtu kwa vitu vidogo kama stendi ya mabasi.
 
Hatuwezi kusahau ukatili wa yule mtu kwa vitu vidogo kama stendi ya mabasi.
Watu wa mavyeti feki mnashida sana kwakweli! nani alikwambia uwe mavivu wa kusoma ukafeli ukaenda kufoji cheti?. Na unajua ni kinyume cha sheria acha chuki za kijinga hazikusaidii acha watu wampe mauwa yake.

Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
 
Watu wa mavyeti feki mnashida sana kwakweli! nani alikwambia uwe mavivu wa kusoma ukafeli ukaenda kufoji cheti?. Na unajua ni kinyume cha sheria acha chuki za kijinga hazikusaidii acha watu wampe mauwa yake.

Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
Maua uwa anapelekewa marehemu pale kaburini anapolazwa unono,mpekeeni maua yake kaburini acheni kutupigia kelele, kaburu kule SA alifanya makubwa kuliko aliyoyafanya huyo mungu wenu lakini tulipaza sauti ya kumkataa kwa sababu ya vitendo vyake viovu.
 
Stendi mpya ya mabasi ya Nyegezi jijini Mwanza imeanza kazi rasmi leo tarehe 5/6/2023 huku uzuri wake ukiwaacha hoi wananchi na kusema iko vizuri zaidi ya viwanja vingi vya ndege.

Ikumbukwe jiwe la msingi la ujenzi wa stendi hii liliwekwa na aliyekuwa Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli, hivyo wananchi wamemlilia tena kwenye uzinduzi wa stendi hii na kusema bila Magufuli kuwa Rais huenda ingewachukua miaka 50 kwa jiji la Mwanza kujengewa stendi nzuri kiasi hiki.


Zaidi ya Mbezi stand
 
Jambo wabongo wakilizindua wanaanzaga kwa mkwara,maneno
Mengi
Tutawaona mbeleni huko

Ova
 
RIP JOSEPH POMBE JOHN MAGUFULI watashindanaaaaa kufuta Lagacy lakini hawataweza labda wapige mabomu ya Nyuklia kufuta alama zako. Wenye Akili tunaendelea kukukumbuka Daima.

Wanashindana au munalazimisha awe juu watu tushasahau na mzoga ushaoza
 
Mimi sijawahi panda hizo ndege na pia sikuzungumzia stendi tu. Kipindi cha JPM miji mingi midogo midogo ilichipukia na kukua kwa kasi na hii ni kwa sababu alipeleka huduma za kijamii kama hospitali, pia aliweka lami na taa za barabarani kwenye vimiji vidogo vidogo mfano Katoro, Buseresere, Magugu, Igawa nk hii ilisaidia wafanyabiashara hasa wamachinga kufanya kazi hadi usiku.
Magugu!!!! huo mji ni mpya Nini mkuu?
 
Stendi mpya ya mabasi ya Nyegezi jijini Mwanza imeanza kazi rasmi leo tarehe 5/6/2023 huku uzuri wake ukiwaacha hoi wananchi na kusema iko vizuri zaidi ya viwanja vingi vya ndege.

Ikumbukwe jiwe la msingi la ujenzi wa stendi hii liliwekwa na aliyekuwa Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli, hivyo wananchi wamemlilia tena kwenye uzinduzi wa stendi hii na kusema bila Magufuli kuwa Rais huenda ingewachukua miaka 50 kwa jiji la Mwanza kujengewa stendi nzuri kiasi hiki.


Stendi ya mabasi sio airport. Ikifanana na airport basi ujue kuna matatizo.

Amandla...
 
Magufuli terminal vyoo vichafu vimeharibiwa hakuna matengenezo
Msamvu Morogoro vyoo vipo hoi vimebomoka uchafu kila sehemu
Dodoma stand kuu vyoo havifanyiwi matengenezo hakuna anayayejali
Hata hivyo vya Nyegezi vitaishia kuwa vya hovyo kama hakuna mikakati ya matunzo
Wanayotoza kwa huduma ya kunya na kukojoa hawatumii fungu kufanya malekebisho?
 
Back
Top Bottom