mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Itachakaa tuIsijeishia kuchakaa bila kutoa huduma stahii kama Ile ya Dom! Swala sio uzuriswala ni ipo kimkakati??
Wabongo utunzaji sifuri
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itachakaa tuIsijeishia kuchakaa bila kutoa huduma stahii kama Ile ya Dom! Swala sio uzuriswala ni ipo kimkakati??
Woo hizi ni Kodi za raia..yeye alipewa dhamana TU ya kusimamia hizi Kodi.Bila yeye usingeiona hiyo stendi
Kwani sasa hivi raia hawalipi kodi?Woo hizi ni Kodi za raia..yeye alipewa dhamana TU ya kusimamia hizi Kodi.
Morogoro ni kati kati, haihitaji stendi 2 maana magari yote lazima yapite hapoMsamvu ni kibanda tu kwa sasa,Mwanza wanavyuma 2 vikali sana Nyamongolo Bus Terminal na hii Nyegezi.
Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
Watu wa mavyeti feki mnashida sana kwakweli! nani alikwambia uwe mavivu wa kusoma ukafeli ukaenda kufoji cheti?. Na unajua ni kinyume cha sheria acha chuki za kijinga hazikusaidii acha watu wampe mauwa yake.Hatuwezi kusahau ukatili wa yule mtu kwa vitu vidogo kama stendi ya mabasi.
Maua uwa anapelekewa marehemu pale kaburini anapolazwa unono,mpekeeni maua yake kaburini acheni kutupigia kelele, kaburu kule SA alifanya makubwa kuliko aliyoyafanya huyo mungu wenu lakini tulipaza sauti ya kumkataa kwa sababu ya vitendo vyake viovu.Watu wa mavyeti feki mnashida sana kwakweli! nani alikwambia uwe mavivu wa kusoma ukafeli ukaenda kufoji cheti?. Na unajua ni kinyume cha sheria acha chuki za kijinga hazikusaidii acha watu wampe mauwa yake.
Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
Stendi mpya ya mabasi ya Nyegezi jijini Mwanza imeanza kazi rasmi leo tarehe 5/6/2023 huku uzuri wake ukiwaacha hoi wananchi na kusema iko vizuri zaidi ya viwanja vingi vya ndege.
Ikumbukwe jiwe la msingi la ujenzi wa stendi hii liliwekwa na aliyekuwa Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli, hivyo wananchi wamemlilia tena kwenye uzinduzi wa stendi hii na kusema bila Magufuli kuwa Rais huenda ingewachukua miaka 50 kwa jiji la Mwanza kujengewa stendi nzuri kiasi hiki.
Tiketi sasa hivi ni online
RIP JOSEPH POMBE JOHN MAGUFULI watashindanaaaaa kufuta Lagacy lakini hawataweza labda wapige mabomu ya Nyuklia kufuta alama zako. Wenye Akili tunaendelea kukukumbuka Daima.
NdiyoNa wakijijini ni online
Ndiyo
MhSio wote wana uwezo wa kutumia huduma hiyo
Magugu!!!! huo mji ni mpya Nini mkuu?Mimi sijawahi panda hizo ndege na pia sikuzungumzia stendi tu. Kipindi cha JPM miji mingi midogo midogo ilichipukia na kukua kwa kasi na hii ni kwa sababu alipeleka huduma za kijamii kama hospitali, pia aliweka lami na taa za barabarani kwenye vimiji vidogo vidogo mfano Katoro, Buseresere, Magugu, Igawa nk hii ilisaidia wafanyabiashara hasa wamachinga kufanya kazi hadi usiku.
Moshi ujenzi umesimama! Kumbuka kilimanjaro ni sehemu ya kwanza Tanzania kuwa na stand ya maana! Usijitoe ufahamu!Arusha na Kilimanjaro hata wasipowajengea poa tu
MmhMoshi ujenzi umesimama! Kumbuka kilimanjaro ni sehemu ya kwanza Tanzania kuwa na stand ya maana! Usijitoe ufahamu!
Stendi mpya ya mabasi ya Nyegezi jijini Mwanza imeanza kazi rasmi leo tarehe 5/6/2023 huku uzuri wake ukiwaacha hoi wananchi na kusema iko vizuri zaidi ya viwanja vingi vya ndege.
Ikumbukwe jiwe la msingi la ujenzi wa stendi hii liliwekwa na aliyekuwa Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli, hivyo wananchi wamemlilia tena kwenye uzinduzi wa stendi hii na kusema bila Magufuli kuwa Rais huenda ingewachukua miaka 50 kwa jiji la Mwanza kujengewa stendi nzuri kiasi hiki.
Wanayotoza kwa huduma ya kunya na kukojoa hawatumii fungu kufanya malekebisho?Magufuli terminal vyoo vichafu vimeharibiwa hakuna matengenezo
Msamvu Morogoro vyoo vipo hoi vimebomoka uchafu kila sehemu
Dodoma stand kuu vyoo havifanyiwi matengenezo hakuna anayayejali
Hata hivyo vya Nyegezi vitaishia kuwa vya hovyo kama hakuna mikakati ya matunzo