Kweli kabisa ndiyo mwisho wa akili za watz, ila nakuomba kwa akili za wasiyo watanzania inatakiwa au ilitakiwa kuwa vipi?.Hahahaha hapa ndio mwisho wa akili nyingi za Watanzania
Ingejengwa tu. Uwanja wa ndege MwanzaStendi mpya ya mabasi ya Nyegezi jijini Mwanza imeanza kazi rasmi leo tarehe 5/6/2023 huku uzuri wake ukiwaacha hoi wananchi na kusema iko vizuri zaidi ya viwanja vingi vya ndege.
Ikumbukwe jiwe la msingi la ujenzi wa stendi hii liliwekwa na aliyekuwa Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli, hivyo wananchi wamemlilia tena kwenye uzinduzi wa stendi hii na kusema bila Magufuli kuwa Rais huenda ingewachukua miaka 50 kwa jiji la Mwanza kujengewa stendi nzuri kiasi hiki.
Bukoba ni kama Moshi tu wana majungu sana hao watu acha wakae hivyohivyoBukoba wao walishajikatia tamaa kitambo....
Magufuli aliwaambia walikosea kuchagua upinzani miaka ile...
Sasa kuna mbunge wa CCM lakin leo tupo 2023 nothing new
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Zitajengwa nyingi na nzuri kuliko hiyo. Subiri.RIP JOSEPH POMBE JOHN MAGUFULI watashindanaaaaa kufuta Lagacy lakini hawataweza labda wapige mabomu ya Nyuklia kufuta alama zako. Wenye Akili tunaendelea kukukumbuka Daima.
Hizo stendi hazijajengwa miji yote. Tembea uone au wewe unasafiri kwa ndege tu.Daaah bila JPM miji mingi ingekuwa bado ya kizamani sana.
Sasa atajenga nani wakati mnasema mjengaji kafwaNi sawa tu ,inajengwa nyingine nzuri zaidi
Kurudi Buzuruga haitawezekana, labda afute tu hiyo tozo ya 200Hicho unachosema ni matazamio ya huyo mkurugenzi wako! Mimi kila siku napita hapo kwa maana nasafirisha abiria ndo kazi yangu! Kwa sasa mkurugenz wako anapanga kurudisha magari madogo ya magu na sumve yaanzie buzuruga halaf unajifanya unajua kumbe hujui! Abiria wanakwepa tozo ya tsh 200 za pale terminal wanakimbilia kisesa! Tata nyingi zinaanzia kisesa.
We jamaa ni kibaguzi sana!Arusha na Kilimanjaro hata wasipowajengea poa tu
Msamvu itabaki kuwa stemdi bora kabisa ,Nyege wameinenga kwenye korido,ilitakiwa ijengwe nyuma ya Usagala,na Buzuluga ingejengwa mbele ya KisesaDaaah ila MSAMVU ishakuwa historia kwa hii mistendi ya Sasahivi Tz
Kama nyie mnavyowabagua watu wa ChatoWe jamaa ni kibaguzi sana!
Unatabia ya ubaguzi kama unae mtukuzaga.
Gaidi atajengaSasa atajenga nani wakati mnasema mjengaji kafwa
Mimi sijawahi panda hizo ndege na pia sikuzungumzia stendi tu. Kipindi cha JPM miji mingi midogo midogo ilichipukia na kukua kwa kasi na hii ni kwa sababu alipeleka huduma za kijamii kama hospitali, pia aliweka lami na taa za barabarani kwenye vimiji vidogo vidogo mfano Katoro, Buseresere, Magugu, Igawa nk hii ilisaidia wafanyabiashara hasa wamachinga kufanya kazi hadi usiku.Hizo stendi hazijajengwa miji yote. Tembea uone au wewe unasafiri kwa ndege tu.
Eti ht stand nayo ni legacy!!Wale wapinga legacy pasukeni mfe basi[emoji57][emoji57]
Msamvu stend au banda la kuku stend Nzuri itabaki kuwa Magufuri Mbezi tu then inafuata Dom, Mwanza na stend nyengine mpya Msamvu ilipendelewa kipindi hiko inahitaji ijengwe ya kisasaMsamvu itabaki kuwa stemdi bora kabisa ,Nyege wameinenga kwenye korido,ilitakiwa ijengwe nyuma ya Usagala,na Buzuluga ingejengwa mbele ya Kisesa
Pamoja na maganda ya miwaWasukuma muitunze sasa stendi yenu sio baada ya miezi sita stendi inamejaa uchafu na mavi tupu.
[emoji38][emoji38]Pamoja na maganda ya miwa
Uko sahihiMimi sijawahi panda hizo ndege na pia sikuzungumzia stendi tu. Kipindi cha JPM miji mingi midogo midogo ilichipukia na kukua kwa kasi na hii ni kwa sababu alipeleka huduma za kijamii kama hospitali, pia aliweka lami na taa za barabarani kwenye vimiji vidogo vidogo mfano Katoro, Buseresere, Magugu, Igawa nk hii ilisaidia wafanyabiashara hasa wamachinga kufanya kazi hadi usiku.
Good comment mkuu, ila kuna mtu hapo juu ametamka sio maneno mazuri dhidi ya wasukumaWazingatie usafi tu maana huo ndio mtihani mkubwa