Nakaziawe kwa ushamba wako wa Maswa inaonekana kabisa hujafika uwanja wa ndege. Inaonekana ni mfu unayetembea, maana kila siku ni kuongelea habari za wafu. Jitundike tu ujiunge na wafu wenzio. Stand imejengwa kwa kodi za watanzania. huyo marehemu wako mafao yake wanakula familia yake hakuna senti imetumika kujenga hiyo stand
Nyumbu wakipongezanaNakazia
Hivi unaijua Nyegezi?Isijeishia kuchakaa bila kutoa huduma stahii kama Ile ya Dom! Swala sio uzuriswala ni ipo kimkakati??
Huyu jamaa angekuwepo, hata airport ya Mwanza ingeshaisha na kuwa ya kisasa sana, sasa hivi ukipita ukiyaona yale magofu yalivokaa unacheka tu na kuendelea mambo yakoRIP JOSEPH POMBE JOHN MAGUFULI watashindanaaaaa kufuta Lagacy lakini hawataweza labda wapige mabomu ya Nyuklia kufuta alama zako. Wenye Akili tunaendelea kukukumbuka Daima.
Huo mpunga wa kujenga hapo umetoka hazina kuu ya serikali mjomba.Hizi si ni kazi za manispaa/halmashauri husika.Naona sifa zibaenda kwa watendaji wa serikali kuu
Mkuu umekosa wanyama wengine mpaka umemweka huyu kiumbe bhanaHongera sana watu wa Mwanza kitu ya ukweli sana imetulia hapo Nyegezi, wawajengee na Arusha ile stend yao nikama zizi la Nguruwe.
Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
Nimekwambia huna akili,abiria gani anaesafili anatozwa 200? yaani mtu awe na tiketi halafu atoe tena 200. Nani aliekueleza huo ujinga wako yaani mtu aache kupandia Nyamongolo apate siti kwakuogopa 200 apande daladala kwa zaidi ya 200 aende kisesa asubili Basi asimame. Halafu unajifanya eti unasafirisha watu yaani tata zirudi Buzuruga kufanya nini eleza sababu,hujui pale project inakuja ya Buzuruga Commercial Complex halafu unaleta ujuaji uchwara hapa.Eti stend ya Kisesa inazidi mapato Nyamongolo sijui hizo akili zikoje Halmashauri ya Magu yote makusanyo yake hayazidi B 3 wakati mwalo wa Kirumba pekee tu unakaribia hayo mapato kwa mwaka.Hicho unachosema ni matazamio ya huyo mkurugenzi wako! Mimi kila siku napita hapo kwa maana nasafirisha abiria ndo kazi yangu! Kwa sasa mkurugenz wako anapanga kurudisha magari madogo ya magu na sumve yaanzie buzuruga halaf unajifanya unajua kumbe hujui! Abiria wanakwepa tozo ya tsh 200 za pale terminal wanakimbilia kisesa! Tata nyingi zinaanzia kisesa.
Bila yeye usingeiona hiyo stendiYaan miradi ya serikali wananchi wanamlilie alielala miaka miwili nyuma.
Achana na hilo lijamaa ni liongo stend inafanya kazi vizuri kabisa!hakuna tozo ya kufuta hapo wanaotozwa ni wanaosindikiza sio abiria kwakuwa anakuwa na tiketi yake mkononi Ofisi zipo kwanje kwahiyo tiketi yake ndio inakuwa gate pass yao.sasa huyo sijui aliona lini abiria anatozwa 200 labda kama akienda kukatia tiketi ndani kwenye basi!sasa hapo atamlaumu nani wakati Ofisi za tiketi zimewekwa nje. ile stend inafanya kazi vizuri kabisa imejengwa kwa mpango wa mda mrefu yeye anataka ijae yote wakati stend nikubwa sana ile na inahudumia magali ya njia 1tu!malengo ya Halmashauri yamefikiwa kwa zaidi ya %100 achana na huyo.Kurudi Buzuruga haitawezekana, labda afute tu hiyo tozo ya 200
Na bila yeye ht barabara Dar to Mwanza usingeiona.Bila yeye usingeiona hiyo stendi
Sanduku la kura lingekuwa lina gnuvuWanatakiwa adhabu
Kweli kabisaMsukuma aliekuwa na akili na mipango ya kijerumani. Chuma hasaView attachment 2648010
Achana na hilo lijamaa ni liongo stend inafanya kazi vizuri kabisa!hakuna tozo ya kufuta hapo wanaotozwa ni wanaosindikiza sio abiria kwakuwa anakuwa na tiketi yake mkononi Ofisi zipo kwanje kwahiyo tiketi yake ndio inakuwa gate pass yao.sasa huyo sijui aliona lini abiria anatozwa 200 labda kama akienda kukatia tiketi ndani kwenye basi!sasa hapo atamlaumu nani wakati Ofisi za tiketi zimewekwa nje. ile stend inafanya kazi vizuri kabisa imejengwa kwa mpango wa mda mrefu yeye anataka ijae yote wakati stend nikubwa sana ile na inahudumia magali ya njia 1tu!malengo ya Halmashauri yamefikiwa kwa zaidi ya %100 achana na huyo.
Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
Tiketi sasa hivi ni onlineHapo jana nimekata tiketi ndani ya stand ya mabasi ya mkoani katika mkoa flani, na mpokea fedha nikamwambia nasafiri ila sikua na tiketi hapo, cha ajabu akachukua pesa na kupewa risiti, hili limekaaje mkuu? Au mpaka ukate online maana