Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchafu ni jadi yenu nyie wa Mkoa wa DarUpo sahihi, wamekurupuka kutokana na woga kwa Mfalme.
Changamoto nyingine kubwa zaidi itakayofuata ni UCHAFU, utashangaa siku si nyingi kuta zimeloa mikojo na chini kuna vichupa vya mikojo kila pahala.
Wabongo wengi wachafu, si wastaarabu na zaidi sio watunzaji wa vitu vizuri.
Hahahaa kumbe Papo kwa papo wale watu Slow slow kawapanga!!
Waacheni professionals wafanye kazi zao, msiingize siasa zenu chafu kwenye MiradiUnshairi nini mkuu!
Mimi si wa mkoa huo, mimi ni wa ule mkoa msafi zaidi Tz, ila nakubali kuwa ni jadi yao watu wa DsmUchafu ni jadi yenu nyie wa Mkoa wa Dar
Shida mzee hazingatii ubora anazingatia namba. Furaha yake ni kuona anazindua miradi kila siku. Mradi mzuri km huo hakukuwa na sababu za kuukimbiza kimbiza. Ndio maana JK alikataa nyumba yake kuharakishwa.Waacheni professionals wafanye kazi zao, msiingize siasa zenu chafu kwenye Miradi
Umesahau kilichomkuta aliyepiga picha eksipansheni jointi?Bila picha unategemea member wakuelewe
Namba 2 sijapenda aisee, yaani meza zimepangwa tuHabari za muda huu na ni matumaini mko wazima wa afya...
Straight to the matter, hiki kituo kipya cha mabasi ya mikoani hapa Dar es Salaam yaani Magufuli Bus terminal hakikuwa tayari kuanza kutumika. Ilitakiwa kipewe muda kidogo ili kiwe sawa.
Leo nimefika toka Morogoro muda huu kwa mara ya kwanza ktk hicho kituo na kuna changamoto nyingi. Nafikiri kina Jafo walifanya maamuzi kumridhisha tu bwana mkubwa.
baadhi ya vitu niliyoviona;
1. Mabasi hayana sehemu maalum ya kupandia au kushushia, yaani anayewahi eneo ndio kwa muda huo anatumia hilo eneo hivyo ni ngumu kwa abiria kujua eneo sahihi la kupandia au kushushia kwa kampuni fulani ya basi.
2. Nimetafuta sehemu ya kula ndani hamna zaidi ya wamama lishe waliozagaa zagaa kwa kupanga meza zao maeneo hayo hayo ya karibu na yanaposhushia mabasi abiria.
3. Nimeenda msalani kuna changamoto ya maji.
4. Eneo sehemu kubwa ni giza na kibaya zaidi ukitoka tu nje ya kituo hamna taa, kuelekea kituo cha daladala yaani ni giza na unapishana na vijana kwa muonekano wanaweza kuwa vibaka na wakatumia faida ya hilo giza kuibia watu.
5. Barabara ya kuingia na kutoka mabasi haiko sawa bado, ya vumbi.
6. Ukifika stendi ya daladala ya Mbezi kuna taa zimewekwa ila zimezimwa sijui mbovu houo eneo ni giza mpaka zimewashwa taa 'vibatari'.
7. Mwendokasi hamna...
8. nk
Nilitegemea wangekua wameshafanya research na kujua walau basic issues ambazo ilitakiwa ziwe tayari kabla ya kuanza kutumika kwa kituo.
viongozi waache kukurupuka maana wanaopata tabu kutokana na mikurupuko yao ni raia watumiaji wa hiyo miundo mbinu.
Heeeeeh?Binafsi nashangazwa Sana kutumika wakati ni just tu nilipelekakifusi Cha kambodia pale kumwaga hata week mbili haijaisha na ilikuwaa bado Sana mchina ananiambia kuwaa ni mpk labda mwakani ndio ingekuwa taayar sasa sasahv wanalipua tu ilimradi wamridhishe raisi magufuli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uwe unashukia Kibaha mkuu
hiyo tunasema ni unkwepao inshuuu 🤣Upo sahihi, wamekurupuka kutokana na woga kwa Mfalme.
Changamoto nyingine kubwa zaidi itakayofuata ni UCHAFU, utashangaa siku si nyingi kuta zimeloa mikojo na chini kuna vichupa vya mikojo kila pahala.
Wabongo wengi wachafu, si wastaarabu na zaidi sio watunzaji wa vitu vizuri.
Ni kweli ila hakukua na haja ya kuanza kutumia kituo wakati hakiko tayari. Sasa hivi watalipua tu na hakitakua ktk ubora. Maana watakua wanafanya kazi huku abiria na basi ziko saiti ni kazi ngumu...Hata mazuri machache tuyaone na tuwatie moyo.
Hope everything will go smoothly upesi.
Niliyoyasema amini. Muda huo naandika huu uzi ndio nilikua nimepata usafiri ktk daladala kutoka safari ya morogoro. Nilishukia hapo terminal na nilitumia dk kama saa hivyo nilitambua hivyo vitu.Bila picha unategemea member wakuelewe
Kwa nini?Uwe unashukia Kibaha mkuu
Kihuduma mpaka sasa ukilinganisha na hii terminal ubungo iko nafuu sana. Mkuu unahitaji kwenda pale kituoni ili uelewe hizi changamoto.Unashangaa nini? Kwani hiyo na Ubungo wapi nafuu???
Acheni majungu chapeni kazi.