Stendi mpya ya mabasi ya Magufuli haikuwa tayari kuanza kutumika

Stendi mpya ya mabasi ya Magufuli haikuwa tayari kuanza kutumika

Kwasisi wakazi wa kaskazini short cut ni barabara ya kimara mbezi via msitu wa pande kwenda kutokea Bunju ni rahisi lakini bado tunazungushwa tu mwenge ambapo ni mbali.

Hakukuwa na ulazima wa kufungua stand kama ilikuwa haijakamilika ,sasa kama maji hakuna,rough road si utopolo huo?
Na pia kwa kufungua stendi hii, inatakiwa barabara ya goba tegeta ikamilishwe haraka. Huwezi pitisha mibasi yote njia ya goba massana pale goig..
 
Na pia kwa kufungua stendi hii, inatakiwa barabara ya goba tegeta ikamilishwe haraka. Huwezi pitisha mibasi yote njia ya goba massana pale goig..

Yes Goba tegeta wazo inatakiwa ikamilishwe haraka ,pia kuwe na option ya shortcut ,Mbezi-Goba-Masana kanjia kadogo sana kale ,hakiwezi pitisha magari ya mkoani,halafu makona kona kibao na mabonde yatakuwa yanapinduka kila siku.
 
Habari za muda huu na ni matumaini mko wazima wa afya...
Straight to the matter, hiki kituo kipya cha mabasi ya mikoani hapa Dar es Salaam yaani Magufuli Bus terminal hakikuwa tayari kuanza kutumika. Ilitakiwa kipewe muda kidogo ili kiwe sawa.

Leo nimefika toka Morogoro muda huu kwa mara ya kwanza ktk hicho kituo na kuna changamoto nyingi. Nafikiri kina Jafo walifanya maamuzi kumridhisha tu bwana mkubwa.
baadhi ya vitu niliyoviona;
1. Mabasi hayana sehemu maalum ya kupandia au kushushia, yaani anayewahi eneo ndio kwa muda huo anatumia hilo eneo hivyo ni ngumu kwa abiria kujua eneo sahihi la kupandia au kushushia kwa kampuni fulani ya basi.

2. Nimetafuta sehemu ya kula ndani hamna zaidi ya wamama lishe waliozagaa zagaa kwa kupanga meza zao maeneo hayo hayo ya karibu na yanaposhushia mabasi abiria.

3. Nimeenda msalani kuna changamoto ya maji.

4. Eneo sehemu kubwa ni giza na kibaya zaidi ukitoka tu nje ya kituo hamna taa, kuelekea kituo cha daladala yaani ni giza na unapishana na vijana kwa muonekano wanaweza kuwa vibaka na wakatumia faida ya hilo giza kuibia watu.

5. Barabara ya kuingia na kutoka mabasi haiko sawa bado, ya vumbi.

6. Ukifika stendi ya daladala ya Mbezi kuna taa zimewekwa ila zimezimwa sijui mbovu houo eneo ni giza mpaka zimewashwa taa 'vibatari'.

7. Mwendokasi hamna...

8. nk

Nilitegemea wangekua wameshafanya research na kujua walau basic issues ambazo ilitakiwa ziwe tayari kabla ya kuanza kutumika kwa kituo.

viongozi waache kukurupuka maana wanaopata tabu kutokana na mikurupuko yao ni raia watumiaji wa hiyo miundo mbinu.
Si wangesubiria miondombinu ikamilike vizuri, barabara , maji kwenye vyoo, kumpangilia vizuri maeneo ya mabasi, taa za barabarani, abiria anapotoka safari jinsi gani atapata mabasi na kila usafiri kwa uhakika. Pia mpangilio wa sehemu wafanya biashara wadogo wakae kwa mpangilio. Kituo kinatakiwa kipangiliwe ili kiwe cha kimataifa.
 
Ahsante kwa taarifa...

Serikali itafanyia kazi changamoto zote...
 
Hata mazuri machache tuyaone na tuwatie moyo.

Hope everything will go smoothly upesi.
Hivi kwa akili ya kawaida unaweza kuzindua kituo kikubwa cha magari chenye kutumika na magari mengi pamoja na abiria wengi huku kikiwa vitu muhimu havijatengemaa kama vile barabara kisha uendelee na ukarabati kikiwa operational?
 
Hata mazuri machache tuyaone na tuwatie moyo.

Hope everything will go smoothly upesi.
Hakuna kibaya alichoandika mleta mada.Mengi Ni changamoto za kutatua tu haraka mfano taa, maji nk

Na pia ametoa mtazamo wake kuwa kulihitajika muda kidogo ndiyo stendi ianze kutumika.

Ila naona ishakuwa ugonjwa, kuwa ninyi ni watu mnafanya mambo mazuri na hamuwezi kushauriwa, kukosolewa Bali lolote mfanyalo mnahitaji makofi
 
Serikali ya ajabu sana hii, Kunenge na Jaffo waliona mzee akipita bila kuzindua wanaweza kuwekwa pembeni.
 
Kila nikiona picha mtandaoni na nikiona hali halisi ni vitu viwili tofauti kabisa
 
Niliyoyasema amini. Muda huo naandika huu uzi ndio nilikua nimepata usafiri ktk daladala kutoka safari ya morogoro. Nilishukia hapo terminal na nilitumia dk kama saa hivyo nilitambua hivyo vitu.
Noma kweli wanaharakia maendeleo
 
Habari za muda huu na ni matumaini mko wazima wa afya...
Straight to the matter, hiki kituo kipya cha mabasi ya mikoani hapa Dar es Salaam yaani Magufuli Bus terminal hakikuwa tayari kuanza kutumika. Ilitakiwa kipewe muda kidogo ili kiwe sawa.

Leo nimefika toka Morogoro muda huu kwa mara ya kwanza ktk hicho kituo na kuna changamoto nyingi. Nafikiri kina Jafo walifanya maamuzi kumridhisha tu bwana mkubwa.
baadhi ya vitu niliyoviona;
1. Mabasi hayana sehemu maalum ya kupandia au kushushia, yaani anayewahi eneo ndio kwa muda huo anatumia hilo eneo hivyo ni ngumu kwa abiria kujua eneo sahihi la kupandia au kushushia kwa kampuni fulani ya basi.

2. Nimetafuta sehemu ya kula ndani hamna zaidi ya wamama lishe waliozagaa zagaa kwa kupanga meza zao maeneo hayo hayo ya karibu na yanaposhushia mabasi abiria.

3. Nimeenda msalani kuna changamoto ya maji.

4. Eneo sehemu kubwa ni giza na kibaya zaidi ukitoka tu nje ya kituo hamna taa, kuelekea kituo cha daladala yaani ni giza na unapishana na vijana kwa muonekano wanaweza kuwa vibaka na wakatumia faida ya hilo giza kuibia watu.

5. Barabara ya kuingia na kutoka mabasi haiko sawa bado, ya vumbi.

6. Ukifika stendi ya daladala ya Mbezi kuna taa zimewekwa ila zimezimwa sijui mbovu houo eneo ni giza mpaka zimewashwa taa 'vibatari'.

7. Mwendokasi hamna...

8. nk

Nilitegemea wangekua wameshafanya research na kujua walau basic issues ambazo ilitakiwa ziwe tayari kabla ya kuanza kutumika kwa kituo.

viongozi waache kukurupuka maana wanaopata tabu kutokana na mikurupuko yao ni raia watumiaji wa hiyo miundo mbinu.
Huuwotenjiupuuziwasisiempamojannananiiihsjshdnsnsjnsbsssiolazimanueleweyote
 
2. Nimetafuta sehemu ya kula ndani hamna zaidi ya wamama lishe waliozagaa zagaa kwa kupanga meza zao maeneo hayo hayo ya karibu na yanaposhushia mabasi abiria.

3. Nimeenda msalani kuna changamoto ya maji.

4. Eneo sehemu kubwa ni giza na kibaya zaidi ukitoka tu nje ya kituo hamna taa, kuelekea kituo cha daladala yaani ni giza na unapishana na vijana kwa muonekano wanaweza kuwa vibaka na wakatumia faida ya hilo giza kuibia watu.

5. Barabara ya kuingia na kutoka mabasi haiko sawa bado, ya vumbi.

6. Ukifika stendi ya daladala ya Mbezi kuna taa zimewekwa ila zimezimwa sijui mbovu houo eneo ni giza mpaka zimewashwa taa 'vibatari'.

7. Mwendokasi hamna...
Wamejineemesha wao, siku zote wanatengeneza vizuri maeneo wnayonufaika nayo wao kama pale airport na station ya SGR nako unasikia VIP lounge nk

Ni aibu sana stand ile kukosa maji wakati ina mapaa ya bati mengi kabisa, wangeweza kujenga matank makubwa na wakavuna maji yakatumika hapo
 
Back
Top Bottom