jogoo_dume
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 2,204
- 1,939
- Thread starter
-
- #41
Na pia kwa kufungua stendi hii, inatakiwa barabara ya goba tegeta ikamilishwe haraka. Huwezi pitisha mibasi yote njia ya goba massana pale goig..Kwasisi wakazi wa kaskazini short cut ni barabara ya kimara mbezi via msitu wa pande kwenda kutokea Bunju ni rahisi lakini bado tunazungushwa tu mwenge ambapo ni mbali.
Hakukuwa na ulazima wa kufungua stand kama ilikuwa haijakamilika ,sasa kama maji hakuna,rough road si utopolo huo?
Namba 2 sijapenda aisee,
Sijajua kwa mchana ila usiku huo wa saa tano hakukua na sehemu ya chakula zaidi ya mama lishe waliozagaa zagaa na vimeza vyao pembezoni mwa mabasi.Namba 2 sijapenda aisee, yaani meza zimepangwa tu
Na pia kwa kufungua stendi hii, inatakiwa barabara ya goba tegeta ikamilishwe haraka. Huwezi pitisha mibasi yote njia ya goba massana pale goig..
Kukamilisha ujenzi ukiwa ndani ya nyumba in gharama sana Mam, wanachokisema kina mantiki.Hata mazuri machache tuyaone na tuwatie moyo.
Hope everything will go smoothly upesi.
Si wangesubiria miondombinu ikamilike vizuri, barabara , maji kwenye vyoo, kumpangilia vizuri maeneo ya mabasi, taa za barabarani, abiria anapotoka safari jinsi gani atapata mabasi na kila usafiri kwa uhakika. Pia mpangilio wa sehemu wafanya biashara wadogo wakae kwa mpangilio. Kituo kinatakiwa kipangiliwe ili kiwe cha kimataifa.Habari za muda huu na ni matumaini mko wazima wa afya...
Straight to the matter, hiki kituo kipya cha mabasi ya mikoani hapa Dar es Salaam yaani Magufuli Bus terminal hakikuwa tayari kuanza kutumika. Ilitakiwa kipewe muda kidogo ili kiwe sawa.
Leo nimefika toka Morogoro muda huu kwa mara ya kwanza ktk hicho kituo na kuna changamoto nyingi. Nafikiri kina Jafo walifanya maamuzi kumridhisha tu bwana mkubwa.
baadhi ya vitu niliyoviona;
1. Mabasi hayana sehemu maalum ya kupandia au kushushia, yaani anayewahi eneo ndio kwa muda huo anatumia hilo eneo hivyo ni ngumu kwa abiria kujua eneo sahihi la kupandia au kushushia kwa kampuni fulani ya basi.
2. Nimetafuta sehemu ya kula ndani hamna zaidi ya wamama lishe waliozagaa zagaa kwa kupanga meza zao maeneo hayo hayo ya karibu na yanaposhushia mabasi abiria.
3. Nimeenda msalani kuna changamoto ya maji.
4. Eneo sehemu kubwa ni giza na kibaya zaidi ukitoka tu nje ya kituo hamna taa, kuelekea kituo cha daladala yaani ni giza na unapishana na vijana kwa muonekano wanaweza kuwa vibaka na wakatumia faida ya hilo giza kuibia watu.
5. Barabara ya kuingia na kutoka mabasi haiko sawa bado, ya vumbi.
6. Ukifika stendi ya daladala ya Mbezi kuna taa zimewekwa ila zimezimwa sijui mbovu houo eneo ni giza mpaka zimewashwa taa 'vibatari'.
7. Mwendokasi hamna...
8. nk
Nilitegemea wangekua wameshafanya research na kujua walau basic issues ambazo ilitakiwa ziwe tayari kabla ya kuanza kutumika kwa kituo.
viongozi waache kukurupuka maana wanaopata tabu kutokana na mikurupuko yao ni raia watumiaji wa hiyo miundo mbinu.
AiseeeeeMbwawaccmnamagukufulikumatu
Hivi kwa akili ya kawaida unaweza kuzindua kituo kikubwa cha magari chenye kutumika na magari mengi pamoja na abiria wengi huku kikiwa vitu muhimu havijatengemaa kama vile barabara kisha uendelee na ukarabati kikiwa operational?Hata mazuri machache tuyaone na tuwatie moyo.
Hope everything will go smoothly upesi.
Hakuna kibaya alichoandika mleta mada.Mengi Ni changamoto za kutatua tu haraka mfano taa, maji nkHata mazuri machache tuyaone na tuwatie moyo.
Hope everything will go smoothly upesi.
Ndio nn hiiMbwawaccmnamagukufulikumatu
Acha kukariri mambo! Rudi Facebook kwenye tupichapicha twa watoto wenzako! Mleta mada ameeleza vizuri changamoto za kituo,wewe unaleta ukil.aza wako hapa.Bila picha unategemea member wakuelewe
Noma kweli wanaharakia maendeleoNiliyoyasema amini. Muda huo naandika huu uzi ndio nilikua nimepata usafiri ktk daladala kutoka safari ya morogoro. Nilishukia hapo terminal na nilitumia dk kama saa hivyo nilitambua hivyo vitu.
Sawa bhabhaAcha kukariri mambo! Rudi Facebook kwenye tupichapicha twa watoto wenzako! Mleta mada ameeleza vizuri changamoto za kituo,wewe unaleta ukil.aza wako hapa.
Tumia akili kujibu picha ni kuonaPicha uma mfinance kupiga hizo picha? Acha ujinga
Tumia akili kujibu picha ni kuonaPicha uma mfinance kupiga hizo picha? Acha ujinga
HuuwotenjiupuuziwasisiempamojannananiiihsjshdnsnsjnsbsssiolazimanueleweyoteHabari za muda huu na ni matumaini mko wazima wa afya...
Straight to the matter, hiki kituo kipya cha mabasi ya mikoani hapa Dar es Salaam yaani Magufuli Bus terminal hakikuwa tayari kuanza kutumika. Ilitakiwa kipewe muda kidogo ili kiwe sawa.
Leo nimefika toka Morogoro muda huu kwa mara ya kwanza ktk hicho kituo na kuna changamoto nyingi. Nafikiri kina Jafo walifanya maamuzi kumridhisha tu bwana mkubwa.
baadhi ya vitu niliyoviona;
1. Mabasi hayana sehemu maalum ya kupandia au kushushia, yaani anayewahi eneo ndio kwa muda huo anatumia hilo eneo hivyo ni ngumu kwa abiria kujua eneo sahihi la kupandia au kushushia kwa kampuni fulani ya basi.
2. Nimetafuta sehemu ya kula ndani hamna zaidi ya wamama lishe waliozagaa zagaa kwa kupanga meza zao maeneo hayo hayo ya karibu na yanaposhushia mabasi abiria.
3. Nimeenda msalani kuna changamoto ya maji.
4. Eneo sehemu kubwa ni giza na kibaya zaidi ukitoka tu nje ya kituo hamna taa, kuelekea kituo cha daladala yaani ni giza na unapishana na vijana kwa muonekano wanaweza kuwa vibaka na wakatumia faida ya hilo giza kuibia watu.
5. Barabara ya kuingia na kutoka mabasi haiko sawa bado, ya vumbi.
6. Ukifika stendi ya daladala ya Mbezi kuna taa zimewekwa ila zimezimwa sijui mbovu houo eneo ni giza mpaka zimewashwa taa 'vibatari'.
7. Mwendokasi hamna...
8. nk
Nilitegemea wangekua wameshafanya research na kujua walau basic issues ambazo ilitakiwa ziwe tayari kabla ya kuanza kutumika kwa kituo.
viongozi waache kukurupuka maana wanaopata tabu kutokana na mikurupuko yao ni raia watumiaji wa hiyo miundo mbinu.
Ushauri wa bure😂Uwe unashukia Kibaha mkuu
Wamejineemesha wao, siku zote wanatengeneza vizuri maeneo wnayonufaika nayo wao kama pale airport na station ya SGR nako unasikia VIP lounge nk2. Nimetafuta sehemu ya kula ndani hamna zaidi ya wamama lishe waliozagaa zagaa kwa kupanga meza zao maeneo hayo hayo ya karibu na yanaposhushia mabasi abiria.
3. Nimeenda msalani kuna changamoto ya maji.
4. Eneo sehemu kubwa ni giza na kibaya zaidi ukitoka tu nje ya kituo hamna taa, kuelekea kituo cha daladala yaani ni giza na unapishana na vijana kwa muonekano wanaweza kuwa vibaka na wakatumia faida ya hilo giza kuibia watu.
5. Barabara ya kuingia na kutoka mabasi haiko sawa bado, ya vumbi.
6. Ukifika stendi ya daladala ya Mbezi kuna taa zimewekwa ila zimezimwa sijui mbovu houo eneo ni giza mpaka zimewashwa taa 'vibatari'.
7. Mwendokasi hamna...