SI KWELI Stendi ya Mabasi ya Magufuli (Mbezi Luis) Imebadilishwa Jina

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Jina limeng'olewa .
 
Hao waliokupa hiyo taarifa,, deal nao waendelee kukupa feedback pia ya nini kinachoendelea??
 
Sasa mkuu hapa umeongea nini na unakubali na kupinga nini? Magufuli hakulazimisha hilo jina bhana kila mtu anajua
Angekataa kwa kumaanisha lisingewekwa, hivi ni nani mwenye uthubutu wa kufanya Jambo ambalo rais amelikataza, tena rais mwenyewe Magu
 
Vilaza FC inaundwa na Mbowe form four failure, Msigwa babantilie la Tatu aliyeacha shule, Lema mwizi wa magari form two failure,sugu bwana mitepesho matakoni la 3D failure alizungusha Hisabati na masomo ya akapata wastani wa F
Wewe ulipata div 1 ila unaishi kwenye umaskini wa kutupwa unaowaita failure ni mabilionea
 
Wanajidanganya !! πŸ˜…πŸ™
 
Alikuwa anaelekea kwenda kuwashighulikia wote na skendo zote ulizozitaja kama asingeondoka !!
Na ndio maana uchaguzi ulikuwa vile !!
Kuna watu wangejuta kuzaliwa !!
 
Duh πŸ™„ Asalaleee !!
Kumbe Kivuli chake bado kinaendelea kutesa baadhi ya watu ??! 🀣🀣
Wangemuachia tu hilo jina lake maana hata Mwalimu Nyerere pamoja na siasa ya ujamaa kutupiliwa mbali lakini jina lake bado linaishi sana tu !
Wengine wameshasahaulika kitambo !!πŸ™πŸ™
 
Kwenye system majangili yote yamerudi hivyo lazima washughulike na Magu sababu aliwatosa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…