Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Si kama mkubwa anavyosema mimi ni rais wa wanyonge.kwa picha za kuvutia hatujambo ila njoo kwenye uhalisia sasa
Ila kiuhalisia anamanisha kuwanyonga.
-load board 15%
-kama umesoma privte no loan. Ila yy alisoma private na kasomeshwa tena elimu ya watu wazima na mshahara juu kwa kuunga unga.
- alijaribu kuwaombea wakina jesica mkopo pia.
— rais wa vyana vyote. Hapo hapo lisu kwachuu. Sugu ndani